Kama umeoa mke mwenye sifa hizi, fukuza kabla mambo hayajaharibika sana

Mwanaume wa pili ni wewe baada ya mimi G4N
 
Hata akiwa ananyoa denge mzee akiamua kuliwa ataliwa tu
Hivi mwanaume mwenye Akili za hivi uwa ni wanaume kweli au kwa vile hatujuani hivi mwanaume huna wivU unapata wapi ujasiri wa kujitambulisha kwamba we ni wa kiume hivi hamjui vijana kwamba kila kitu kina sehemu yake yaani mkeo akivaa kikaaba kwamba fresh haina shida ila poa hapa ndo duniani.
 
Qc
Mtoa Mada ni Mshamba sana LIMBUKENI
 
When we tell them judge a woman harshly based on her past they think we are joking.

Whatever you torelate while dating will multiply 10x in marriage. Marriage doesn't fix disfunction, it reveals it all.
Mwamba kama kawa
 
Mke wa nani?
Sihitaji na wala sina mpango wa kuoa
 
Hao wa kucha ndefu chakula Chao nikila naweza kutapika
 
Unamaanisha wa hivi
 

Attachments

  • Screenshot_20241208_221512.jpg
    341.1 KB · Views: 1
Unawajua wasabato wewe,hawana hayo yote lakini ni vicheche vibaya mno
 
Mtu wa miaka 35+ unampaje mzigo?
Umeelewa swali?
Kama wewe huwezi kuoa mwanamke mwenye tabia za aina hiyo, kwa sababu atakuwa mzigo kwako, huoni utawatesa watoto wako kwa kuwapa mama mzigo, ambao wewe mwenyewe umekataa/umeshindwa kuubeba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…