Kama umeoa mke mwenye sifa hizi, fukuza kabla mambo hayajaharibika sana

[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Ni kweli mkuu, unaemuona kabla ya ndoa ndiye yeye halisi maana kama angeona anastahili kubadilika kwa ajili yako angefanya hivyo kabla ya ndoa. Ila kuitumia ndoa kama kigezo cha mabadiliko kwa mtu ambaye haoni thamani au umuhimu wako ni kujipa false hopes
 
Mm ninachojua ulivyotaja ni urembo wa kumfanya mwanamke au binti yeyote apendeze zaidi ....... au kumfanya avutie zaidi ya alivyokuwa mwanzo.....

Pili, kuhusu wanawake wanaovaa wigs, kope, sijui kucha unataka kusema wasivae kisa wewe umetaka ?

Hujui hizo wigs, kope, kucha, makeup ni biashara ambazo zinaingizia watu vipato ?

Na jee ukiwa kama mwanaume kwani kama hutaki mkeo asivae urembo wowote unashindwa kumwambia

Mimi at least apendeze japo inategemea anaenda sehemu gani lakini sioni ubaya wa hivyo vitu sana sana Kucha sizikubali hasa zikiwa ndefu.... Lakini kila mtu mwache atumie uhuru alio nao
 
Mm ninachojua ulivyotaja ni urembo wa kumfanya mwanamke au binti yeyote apendeze zaidi ....... au kumfanya avutie zaidi ya alivyokuwa mwanzo.....
Avutie na amvute nani wakati kishaolewa??
 
5. Ana Tattoo
 
Reactions: G4N
Hamna mwanaune tz hii ambaye hachapiwi mke au mwanamke bro usinidanganye.
Sehemu peke mke wako yupo salama ni afghanistan tuu. Bongo hii watu tunashare mbusush vizuri tuu
Mmmh nimecheka....Afghanistan tena si kuna wale mataleban wanajichaguliaga wanae mtaka
 
Mmmh nimecheka....Afghanistan tena si kuna wale mataleban wanajichaguliaga wanae mtaka
Wale hawagegedi hovyo hovyo.
Kwanza kule mwanamke akisismama pembeni na mwanaume ambaye sio mume wake wnamla kichwa.

Huku mishangazi mipaja matiti nje nje tuu kazi kudindisha vibamia vyetu
 
Kwa hiyo no.3 hakuna atakayebaki kwenye ndoa...
 
Kwa hiyo Brazillian yangu niitupe?we kaka wewe?unajua nimenunua bei ya kiwanja Fokayosi 20×20
 
Reactions: G4N
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…