Kama umeolewa, changanya na zako ukiwa humu JF

Kama umeolewa, changanya na zako ukiwa humu JF

Sisi ndoa yetu ni paradiso, tunamshirikisha Mungu kila panapo tokea migongano.
Nakupenda na wewe unanitii..... Sasa lini tutaja gombana love....[emoji45] [emoji45]
Ebu tuwaachage wapambane na ndoano zao....[emoji12] [emoji12]
Umeonaeee
Ila usiku usisahau bae
 
Samahani naomba kusaidiwa, hoja ya msingi Kwenye huu Uzi ni ipi hasa?
Kwamba wanawake wenye umri wa kuanzia 30 na kuendelea ambao hawajaelewa ni kwasababu ya kutaka wanaume wenye Pesa Au?
Kama Jibu ni Ndiyo basi naomba kuchangia Kama ifuatavyo;
Kwanza hiyo haiwezi kuwa sababu ya pekee ya kufanya binti/mwanamke achelewe Au asiolewe!
Tujaribu kuwa fair jamani!
Halafu ni zana potofu kutaka kujaribu kudharau wanawake ambao bado hawajajajaliwa kuolewa !
Kuna wanawake ambao wako na umri ambao ni zaidi ya huo wa miaka 30 ambao ni mabikra, wengine ni watulivu kabisa na wenye tabia njema ya kuwa wake Za Watu !
Wapo makanisani na misikitini!
Siyo wote ni wahuni Au wenye tamaa na kutaka wanaume matajiri Kama mnavyosema!
Kwa asilimia flani ni Kweli nakubaliana na mleta mada lakini naona Kama tutaishia ku conclude hivyo kwa wote haitakuwa sahihi Hata kidogo!
Maisha hayana kanuni ya aina moja!
Maisha hayana jibu la aina moja!
Tuheshimiane sote bila kujali chochote Kile !
Acha uongo huyo mwanamke miaka 30 bado bikra utampata wapi?! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Msg nzuri sana. Watakuja waseme wao ni michepuko wanapendwa zaidi. Ila ukweli utabaki palepale ndoa ina raha na hasa mkijuana vyema. Mm nawaambiaga wadada nyie chepukeni tuu ila ukweli utabaki kua fulani ni mume wa fulani. Halafu mwanamke ulieolewa halafu hujielewi inashangaza ,sasa ww utachukuaje ushauri wa humu ukaufanyia kazi ilihali ni wa kubomoa?? Hebu tufurahi na ndoa zetu Mungu alizotujaalia kwa kweli Asante Mungu kwa kunipa Mume na kupata familia.
 
Msg nzuri sana. Watakuja waseme wao ni michepuko wanapendwa zaidi. Ila ukweli utabaki palepale ndoa ina raha na hasa mkijuana vyema. Mm nawaambiaga wadada nyie chepukeni tuu ila ukweli utabaki kua fulani ni mume wa fulani. Halafu mwanamke ulieolewa halafu hujielewi inashangaza ,sasa ww utachukuaje ushauri wa humu ukaufanyia kazi ilihali ni wa kubomoa?? Hebu tufurahi na ndoa zetu Mungu alizotujaalia kwa kweli Asante Mungu kwa kunipa Mume na kupata familia.
Hongera sana....
 
Acha uongo huyo mwanamke miaka 30 bado bikra utampata wapi?! [emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu inawezekana wakawepo! [emoji4][emoji4][emoji4]!
Kuna Watu wametulia MashaAllah!
Halafu mbaya zaidi wanaume huwa hawawezi kuwatambua !
Wanaume wengi mmm
Mungu anawatu jamani!
 
Utasikia hata hapa hapa kwenye huu uzi,nina pesa sijui nina elimu,mwanangu nitamlea mwenyewe wakati ikifika usiku akijikuta mwenyewe with that huge bed alone haaaaa anawawaza hadi ma bff wa shule ya msingi.
Nishakua single na baada ya kuolewa nimegundua ni best part of the life.hawa wanaoongea -ve kuhusu maisha ya ndoa hawajapata hiyo nafasi
Mrs Dee. Umenifungua akili.. kumbe stress zote hiz ni sababu hawakupata bahati ya kuolewa.

Mawili. - tabia zao zimekuwa zikiwavutia wanaume ambao hawana malengo. Mwishowe kujikuta wanachezewa na kuachwa.

-kuishi maisha feki all the time.
 
Mwanamke ambaye hajaolewa kabla hata hajakutana na mwanamke mwenye mme tayari (wanamgogoro wa nafsi).

Kama ilivyo mtu mfupi na mrefu kabla hawajakutana wanamgogoro wa nafsi.
Kama kweli hii ni kauli yqko orijinoo na hujacopy sehemu basi unatakiwa upewe cheo cha filosofa.
 
ndo wengi hivyo mi nakwambia...hata ukiwa nazo usimuoneshe kwanza uone kama kweli atataka kuolewa kwa dhati
Leo naona UMEAMUA KUVUNJA BOTI LENU KATIKATI YA BAHARI mugawane mbao...ahahahahhah

SIRI ZA WANA JF WA KIKE ZOOOTE UMEMWAGILIA NJE KUKU NA NJIWA WAFAIDI MTAMA.
 
"Yanini tungule wakati mume majaliwa.....Usije itaka harusi kwa pupa, usijeitaka harusi ukarudi na talaka, usikimbilie mume ukaukondesha moyo....."

hehehe ujumbe murua kabisa kama kisu basi kimegonga mfupa.
Hehehehe umeona eehh mule mule
 
Hivi mbona mtoa mada nikikusoma vizuri kama kuna shida sasa wewe ndio unatoa stress!! Au mimi ndio sijui kusoma katikati ya mistari!!!
 
Kumbe wanatudharau eeh asante kwa taarifa.
 
Hahaha espy njoo unisaidie kucheka huku, eti atakulazimisha tu kuwa una stress, as if waliopo ndoani wote hawajui kitu stress, wanacheka tu maisha yao yote. Wakati maisha ya aina yoyote yale, stress hazikosekani
Mie nilivyosoma hii mada mwanzo niliishia tu kucheka kwakweli.

Wewe jishebedue tu hapo na stress zako za kukosa mume kaone!!! Hebu olewa hukobuwe na heshima kwa jamii na uwe na furaha ya milele ebo!!!!
 
Back
Top Bottom