Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,931
- 3,177
Ujumbe maridhawa kabisa japo kuna kale kamsemo " usikimbilie mume ukaukondesha moyo"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaanadhan Mungu kakusikia
"Yanini tungule wakati mume majaliwa.....Usije itaka harusi kwa pupa, usijeitaka harusi ukarudi na talaka, usikimbilie mume ukaukondesha moyo....."Ujumbe maridhawa kabisa japo kuna kale kamsemo " usikimbilie mume ukaukondesha moyo"
He heHuku ni kuchafukwa kwa bahari.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ninong'oneze hebuMkuu.....
Ile I'd yako ya zamani "inayo julikana" mbona hauitumii skuizi...!!??
Na mwanaume aliyeachika je ?Wapo watakaokuelewa na wapo wengi watakukashifu.
Kwa kifupi mwanamke aliyeolewa akawa ana familia yake hata nyumbani kwa wazazi huwa anaeshimika sn
Ameniomba nikaushe....[emoji12] [emoji12]Ninong'oneze hebu
Na mwanaume aliyeachika je ?
Amechafukwa na ndoano, huko ndani hapakaliko sahivi.He he
Kuna mtu kaibiwa kwani
EwaaaAmeniomba nikaushe....[emoji12] [emoji12]
Lakini wewe nitaku nong'oneza usiku wakati wa kulala
Mwanaume aliyeachika anaheshimika na nani ?Mwanaume haachiki anaacha.
Labda kwa mwanamke aliyezaa hovyo kila mtt na baba yake ndio anaweza kujisifia aliacha mwanaume
Kile chenye unanipaga, tayari nilisha tosheka hun.....Ewaaa
Sijui nkupe nini usisahau kipenzi
Mwanaume aliyeachika anaheshimika na nani ?
Mbona sie hatugombani bae, mie naona ni mada kaleta bwana msimshambulie yeye ka yeye kipenzi!!!! Kila mahali kuna changamoto na kila mmoja ako na namna ya kutatua hizo changamoto. Wa kumwelewa kaelewa wa kuona ako na shida kwa ndoa ni sawa pia.... Ilimradi hatumuathiri kwa lolote acha iwe hivyoAmechafukwa na ndoano, huko ndani hapakaliko sahivi.
Hapa kuna mtu anatafuta faraja tu...[emoji13] [emoji13]
HahaKike chenye unanipaga, tayari nilisha tosheka hun.....
Wasiwasi wangu tu niunavyo nibebisha mubashara, naweza pokonywa
Sisi ndoa yetu ni paradiso, tunamshirikisha Mungu kila panapo tokea migongano.Mbona sie hatugombani bae, mie naona ni mada kaleta bwana msimshambulie yeye ka yeye kipenzi!!!! Kila mahali kuna changamoto na kila mmoja ako na namna ya kutatua hizo changamoto. Wa kumwelewa kaelewa wa kuona ako na shida kwa ndoa ni sawa pia.... Ilimradi hatumuathiri kwa lolote acha iwe hivyo
Amen....[emoji120]Haha
Usijali bae..... Twende zetu mwaya