Kama umeolewa, changanya na zako ukiwa humu JF

Kama umeolewa, changanya na zako ukiwa humu JF

Mie nilivyosoma hii mada mwanzo niliishia tu kucheka kwakweli.

Wewe jishebedue tu hapo na stress zako za kukosa mume kaone!!! Hebu olewa hukobuwe na heshima kwa jamii na uwe na furaha ya milele ebo!!!!
Wenye nyota za kwaito mnajulikana tu
Hivi mbona mtoa mada nikikusoma vizuri kama kuna shida sasa wewe ndio unatoa stress!! Au mimi ndio sijui kusoma katikati ya mistari!!!
 
Sitaki mimi foleni zimenichosha sasa hivi nataka wa peke yangu
Kizuri mgawane na mwenzio huyu wa humu ndani unae mjua....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Bahati hii mkuu, wanaume wenyewe tumebakia wachache kuliko wavulana...[emoji13] [emoji13]
 
Mtoa uzi naona umenikumbusha jambo fulani ambalo nilishawahi kunitokea humu.
Nilileta uzi humu wa kutafuta mchumba wa kwenda kuyajenga, baadhi yao wakanifata pm na hata kubafilishana namba za sim. Balaa lilikuja kwenye kutumia picha yaani kuniona tu alikatisha mawasiliano maana yake alijua atanikuta nipo kwenye jumba la kufahari. Yaani sijui hata nilimkera nini nilijitafakari sana. Mwengine alinuna baada ya kumwambia naona kibonge akaanza kuniuliza "kwani vibonge huwataki?" Nikamjibu kawaida basi na yeye akapotea ghafla kisa nimemwambia ni kibonge wala sikua na nia mbaya.
Kwa wafupi wanawake wengi wa humu wanaojipambanua hawana lolote, avatar unayokutana nayo hapa ukimuona mwenyewe yaani ni shida hata kumtambulisha kwa marafiki zako inashindikana kwa aibu.
Ulianza vizuri ila ulivomaliza sasa
 
Back
Top Bottom