Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Sasa sindo uniwowe? Eboo!Sipigi mke mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa sindo uniwowe? Eboo!Sipigi mke mimi.
Mke mwenza tulia kwanza tumalizaneUshawah kupigwa wewe na ngumi ya kisukuma
..kule twitter unatumia handle gani maana leo nimesoma mambo ya alarm za asubuhi za jamaa si ww?Utasikia hata hapa hapa kwenye huu uzi,nina pesa sijui nina elimu,mwanangu nitamlea mwenyewe wakati ikifika usiku akijikuta mwenyewe with that huge bed alone haaaaa anawawaza hadi ma bff wa shule ya msingi.
Nishakua single na baada ya kuolewa nimegundua ni best part of the life.hawa wanaoongea -ve kuhusu maisha ya ndoa hawajapata hiyo nafasi
Kiranga anakusoma hapa shauri lakoMke mwenza tulia kwanza tumalizane
Kugawana sitaki tena mimi labda umuache huyo uliyenayeKizuri mgawane na mwenzio huyu wa humu ndani unae mjua....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Bahati hii mkuu, wanaume wenyewe tumebakia wachache kuliko wavulana...[emoji13] [emoji13]
Ebu subiria nimuulizeKugawana sitaki tena mimi labda umuache huyo uliyenaye
Nikikukamata ntakuvunja vunja valeSasa sindo uniwowe? Eboo!
Wacha asome tuKiranga anakusoma hapa shauri lako
Nampenda ngabu[emoji8]Nikikukamata ntakuvunja vunja vale
Nishakua single na baada ya kuolewa nimegundua ni best part of the life.hawa wanaoongea -ve kuhusu maisha ya ndoa hawajapata hiyo nafasi
Mwenza nawe unatafuta furaha?Kugawana sitaki tena mimi labda umuache huyo uliyenaye
Chagua mmojaEbu subiria nimuulize
Kuna manzi mmoja nilimtongoza huku JF alipogundua kuwa mimi ni fukara akaniacha na kuniambia "i can't go on with the broke ass"!!
Hamna part nzuri kama ya kusubiriana nani aanze...
Mi akininunia usiku najifanya nipo usingiziiiniii namsogelea nione kama kweli kama atachomoa aaahhhha tunakinukisha asubuhii aaah furaha tele
Minilisha kuchagua wewe mubashara... hata yeye anajua...[emoji13] [emoji13]Chagua mmoja
Ebu mshauri akuje na ile ID yake tunayo ifaham mimi na wewe....[emoji12] [emoji12]