UmeonaeeeSisi ndoa yetu ni paradiso, tunamshirikisha Mungu kila panapo tokea migongano.
Nakupenda na wewe unanitii..... Sasa lini tutaja gombana love....[emoji45] [emoji45]
Ebu tuwaachage wapambane na ndoano zao....[emoji12] [emoji12]
Na atakua hajaolewa[emoji23][emoji23]Jiwe gizani paa
Acha uongo huyo mwanamke miaka 30 bado bikra utampata wapi?! [emoji23][emoji23][emoji23]Samahani naomba kusaidiwa, hoja ya msingi Kwenye huu Uzi ni ipi hasa?
Kwamba wanawake wenye umri wa kuanzia 30 na kuendelea ambao hawajaelewa ni kwasababu ya kutaka wanaume wenye Pesa Au?
Kama Jibu ni Ndiyo basi naomba kuchangia Kama ifuatavyo;
Kwanza hiyo haiwezi kuwa sababu ya pekee ya kufanya binti/mwanamke achelewe Au asiolewe!
Tujaribu kuwa fair jamani!
Halafu ni zana potofu kutaka kujaribu kudharau wanawake ambao bado hawajajajaliwa kuolewa !
Kuna wanawake ambao wako na umri ambao ni zaidi ya huo wa miaka 30 ambao ni mabikra, wengine ni watulivu kabisa na wenye tabia njema ya kuwa wake Za Watu !
Wapo makanisani na misikitini!
Siyo wote ni wahuni Au wenye tamaa na kutaka wanaume matajiri Kama mnavyosema!
Kwa asilimia flani ni Kweli nakubaliana na mleta mada lakini naona Kama tutaishia ku conclude hivyo kwa wote haitakuwa sahihi Hata kidogo!
Maisha hayana kanuni ya aina moja!
Maisha hayana jibu la aina moja!
Tuheshimiane sote bila kujali chochote Kile !
Yaaani acha tuNa atakua hajaolewa[emoji23][emoji23]
Hongera sana....Msg nzuri sana. Watakuja waseme wao ni michepuko wanapendwa zaidi. Ila ukweli utabaki palepale ndoa ina raha na hasa mkijuana vyema. Mm nawaambiaga wadada nyie chepukeni tuu ila ukweli utabaki kua fulani ni mume wa fulani. Halafu mwanamke ulieolewa halafu hujielewi inashangaza ,sasa ww utachukuaje ushauri wa humu ukaufanyia kazi ilihali ni wa kubomoa?? Hebu tufurahi na ndoa zetu Mungu alizotujaalia kwa kweli Asante Mungu kwa kunipa Mume na kupata familia.
Acha uongo huyo mwanamke miaka 30 bado bikra utampata wapi?! [emoji23][emoji23][emoji23]
Damnnnnnnnnn ! Thats too harsh broKuna manzi mmoja nilimtongoza huku JF alipogundua kuwa mimi ni fukara akaniacha na kuniambia "i can't go on with the broke ass"!!
Nipe huyo nikusaidie kwa kumtafuna...Kuna manzi mmoja nilimtongoza huku JF alipogundua kuwa mimi ni fukara akaniacha na kuniambia "i can't go on with the broke ass"!!
Mrs Dee. Umenifungua akili.. kumbe stress zote hiz ni sababu hawakupata bahati ya kuolewa.Utasikia hata hapa hapa kwenye huu uzi,nina pesa sijui nina elimu,mwanangu nitamlea mwenyewe wakati ikifika usiku akijikuta mwenyewe with that huge bed alone haaaaa anawawaza hadi ma bff wa shule ya msingi.
Nishakua single na baada ya kuolewa nimegundua ni best part of the life.hawa wanaoongea -ve kuhusu maisha ya ndoa hawajapata hiyo nafasi
Kama kweli hii ni kauli yqko orijinoo na hujacopy sehemu basi unatakiwa upewe cheo cha filosofa.Mwanamke ambaye hajaolewa kabla hata hajakutana na mwanamke mwenye mme tayari (wanamgogoro wa nafsi).
Kama ilivyo mtu mfupi na mrefu kabla hawajakutana wanamgogoro wa nafsi.
Leo naona UMEAMUA KUVUNJA BOTI LENU KATIKATI YA BAHARI mugawane mbao...ahahahahhahndo wengi hivyo mi nakwambia...hata ukiwa nazo usimuoneshe kwanza uone kama kweli atataka kuolewa kwa dhati
Hehehehe umeona eehh mule mule"Yanini tungule wakati mume majaliwa.....Usije itaka harusi kwa pupa, usijeitaka harusi ukarudi na talaka, usikimbilie mume ukaukondesha moyo....."
hehehe ujumbe murua kabisa kama kisu basi kimegonga mfupa.
Hehehe mi wa Tanga kwani?Ebu ngoja nije Tanga tuyajenge
Mie nilivyosoma hii mada mwanzo niliishia tu kucheka kwakweli.Hahaha espy njoo unisaidie kucheka huku, eti atakulazimisha tu kuwa una stress, as if waliopo ndoani wote hawajui kitu stress, wanacheka tu maisha yao yote. Wakati maisha ya aina yoyote yale, stress hazikosekani