Kama umewahi kufanya kazi Lodge na hujamalizia show (KUFANYA UPONYAJI) huenda huna bahati

Kama umewahi kufanya kazi Lodge na hujamalizia show (KUFANYA UPONYAJI) huenda huna bahati

Ach
Ukikaa na Wakenya,Wanyarwanda na Wanaijeria wanasema katika Afrika hakuna Vijana wapumbavu na wasiokuwa na Akili km Watanzania,mfano wake ndio huu.

Hapo anaandika huu upumbavu ndio kamaliza Chuo, anataka wasomaji wajifunze alichokifanya au tuchangie alichokifanya ili tuanze kucheka cheka.

Watanzania tunaishi maisha magumu sana na tunachelewa sana kubadili maisha yetu sababu ya kufanya mambo kimasihara sana,

Nyerere anajialaumu sana huko alipo lakini waliokufa vitani huko Uganda na wao ndio wanalia zaidi,Vijana wa leo ni wapumbavu kabisa
A ujinga pimbi wewe usijifanye unajua kila kitu na u mwema sana.mtoa post yuko sahihi ndo mojawapo ya hali halisi ilivyo ktk lodge.na kupitia uzi wake tumepata maoni chanya mengi tu.
 
Mleta mada ametoa uhalisia uliopo uko kwenye lodge zetu, ila kwakweli hawa wanawake ni mashetani aswaaa mwenendo ndo huu wakulungwa sasa nyie wanaume munao piga kimoja chali nadhani kuna la kujifunza hapa akili kumkichwa
 
Back
Top Bottom