Kaz gani nitonye pmMm najua hotel nyingi sana kazi yangu inanifanya nisafir mikoa mbalimbali ndo maana
Bado unakaa kwa mama sio? nitafute basi ili nikubadilishie mazingira,ukae kwako ule kitu unataka kwa wakati unataka.Nimecheka kwa saut mpaƙa mama kanishangaaa
aisee kumbeLeo nalivua pendo nililopenda zamani[emoji445][emoji445][emoji445][emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Acha nikaanze kuiba visabuni na mimi[emoji19][emoji19]
We mkorofi ujueaisee kumbe
Hahahaha nawaona tuWe mkorofi ujue
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]manyoya ya kukuuu hatarKuna msela wangu mmoko alienda guest safi tu lakini uduma za kifisadi akaona na yeye awe fisadision akajaribisha flat screen kwenye beg mara ikatoshea,akairudishia sehemu yake asubui mbona walikuta manyoa..
Haaahaaa visabuni tu mmhhmm mwongo weweMm huwa nachukua vile visabuni vyao
Gari ikizidisha mwendo toa taarifa au shuka hata mimi nimeshuka fulati sikilini mmmhmmmUongo mwingine bana.....sasa flat screen unapita nayo vipi reception au ulirusha dirishani