Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

[emoji477][emoji477][emoji477][emoji477]
 
mmh

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Kwahyo ukishaajiriwa kama mwalimu hauruhusiwi tena kusoma sio?
 
My ribs [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inakera sana,umelala umepumzika,mtu mwingine anakua siyo mstaarabu,anafungulia redio.Bora walivyokufanyia hivyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Jini kakata minyororo mwezi mtukufu
 
Hatare Sanaa hiz mambo
 
[emoji23][emoji23]
 
Huyu Warumi waganga walimuongezea muda wa kuishi lakini akafa kabla yetu
 
Hawa wapumbavu wanaisumbua Jamii sababu Jamii haijui codes zao, ukizijua michezo yao ni SAwa na watoto wa chekechea


Hii nakubali mzee mwenzangu, moja ya code ni kwamba uchawi wa kiswahili hauuwezi uchawi wa kizungu.

Kuna nyumba tulipanga kama group tukiwa tunasoma elimu ya ufundi stadi fani ya umeme miaka ya 2000s

Kumbe bwana ile nyumba dalali alitulengesha kwa kuwa alikuwa na shida ya hela.
Nyumba ilishakuwa abondened miaka kibao kutokana na mauzauza yaliyokuwa yanawatokea watu..

Baada ya kuhamia..
Mara msikie joto mara baridi,mara vyombo vinaangushwa mtu hammuoni,mara hatua za mtu, misonyoo na mengineyo ya kukera bahati nzuri alikuwa haguswi mtu.

Ikumbukwe vituko vyote hivyo ni kwa mchana tu....
Balaa la usiku hasa wakati wa kulala katikati ya usingizi mnaweza kusikia kama watu wanakimbia kwenye bati mwanzo wa nyumba mpaka mwisho kama cherehani rrrrrrraaaaahhhhh.....

Kuna muhuni akatoa wazo la hilo la uchawi wa kizungu, kwamba tuconnect waya wa LIVE wa umeme kwenye bati ukipitia kwenye switch, ya kwamba vishindo vikianza ile rrraaaaaahhh tunawasha..
Assee tukafanikiwa, ila kilichotokea pale kijijini kama wangejua ni sisi wangetula nyama.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…