Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Na hiyo age pulling ya kuichakata papuchi inazidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Kabisa.Kwa nini miaka 40+? Kwa sababu kwa umri huo hata ukiupata ukipiga dawa unaweza kutoboa miaka 60 ambao ni life expectancy ya mtanzania.
Tumepitia kipindi kigumu sana,nakumbuka nikiwa O level dispensary ya shule sindano zinachemshwa kama Mayai ,hakukuwa na disposable syringe,nesi akipitiwa mtashare hiyo sindano. Kumbuka filamu za ukimwi za kutishana kama Neira ya Oliver Mtukudzi ukiangalia hata demu akikupa bure muda huo unakataa. Kumbuka wapendwa wetu waliokufa mifupa mitupu na nywele kunyonyoka kichwani.
Kumbuka vitoto vichanga vilivyokufa baada ya kuzaliwa na ukimwi. ARV zimefanya watu hatuogopi, tunapelekeana moto kibabe na uzuri ni kwamba wanaotumia dose vizuri,virusi vinafubaa,hawawezi kuambukiza kirahisi.
Zamani hufungishwi ndoa msikitini wala kanisani bila cheti cha majibu ya ukimwi.
Tumeteseka sana.
Weka mikono yako kifuani sema Mungu nisamehe ,nimekosa mimi nimekosa sana kusema maneno haya,ofcoz mliozaliwa kuanzia mwaka 2000 mnadhani ukimwi haupo,ila upo kuwa makiniHivi ukimwi upo kweli [emoji848] ( Si kwa ubaya lakini ) toka nizaliwe sijawahi bahatika kumuona mtu mwenye ukimwi
Vibinti vilivyozaliwa kuanzia 2000 havijawahi kuona hao wagonjwa ndio maana vinaogopa mimba kuliko ukimwi1995 ndio niliona muathirika wa ukimwi kwa mara ya kwanza. It was terrible vile alikuwa katika stage za mwisho....
Leo hii hata mtu akiwa + ndio ananawiri, tyako kama lote, kweli 40+ ukiwa na ngoma unakufa na 60+, shida ni kubwia hayo maharage.
Kwa nini miaka 40+? Kwa sababu kwa umri huo hata ukiupata ukipiga dawa unaweza kutoboa miaka 60 ambao ni life expectancy ya mtanzania.
Tumepitia kipindi kigumu sana,nakumbuka nikiwa O level dispensary ya shule sindano zinachemshwa kama Mayai ,hakukuwa na disposable syringe,nesi akipitiwa mtashare hiyo sindano. Kumbuka filamu za ukimwi za kutishana kama Neira ya Oliver Mtukudzi ukiangalia hata demu akikupa bure muda huo unakataa. Kumbuka wapendwa wetu waliokufa mifupa mitupu na nywele kunyonyoka kichwani.
Kumbuka vitoto vichanga vilivyokufa baada ya kuzaliwa na ukimwi. ARV zimefanya watu hatuogopi, tunapelekeana moto kibabe na uzuri ni kwamba wanaotumia dose vizuri,virusi vinafubaa,hawawezi kuambukiza kirahisi.
Zamani hufungishwi ndoa msikitini wala kanisani bila cheti cha majibu ya ukimwi.
Tumeteseka sana.
Wacha weeMitungo Ile, dah..... Wapi manniga wangu, Shommy Bigga, Gill Biz, Kabilu, Andy, Tha Kabole, Bau.... Na Kabilu akaenda kuvalia suruali makaburini
Hatari sanaIla kiukweli huu ugonjwa ulitesa watu zama hizo.
Yaani mtu anabaki kichwa tu!.
Kuna sister mmoja alifariki mwaka 1994 dah aisee acheni tu.
Nakumbuka tunaenda kumuona unaangalia kitandani huoni mtu unaona kitanda kimetandikwa tu,yaani mpaka alivyoongea ndio unajua hapa kumbe kuna mtu!.
Zile dawa za ARV wewe zisikie tu, unaweza ukasema bora nife kuliko kuendelea kumeza, nilishawahi kumeza mwezi mzima niliuona moto.Kweli kabisa mwanaume ukishafika miaka 40 achana kabisa na mambo ya kula mbususu na condom. Maana ata ukiupata bado unaweza kufika miaka 60 bila wasiwasi.
Ulimeza PEP sio, siku hizi zimeboreshwa hazina mawenge.Zile dawa za ARV wewe zisikie tu , unaweza ukasema bora nife kuliko kuendelea kumeza,nilishawahi kumeza mwezi mzima niliuona moto.
Mie mbona nilishazizoea ..mwaka wa nane huu nipo grid ya taifa na nadundika tuu...na nipo fit mpaka corona yenyewe ilidunda hapa.Zile dawa za ARV wewe zisikie tu , unaweza ukasema bora nife kuliko kuendelea kumeza,nilishawahi kumeza mwezi mzima niliuona moto.
Una miaka mingapi?Hivi ukimwi upo kweli [emoji848] ( Si kwa ubaya lakini ) toka nizaliwe sijawahi bahatika kumuona mtu mwenye ukimwi
Kwahiyo unasemaje...hutumii ndomu tena?1995 ndio niliona muathirika wa ukimwi kwa mara ya kwanza. It was terrible vile alikuwa katika stage za mwisho....
Leo hii hata mtu akiwa + ndio ananawiri, tyako kama lote, kweli 40+ ukiwa na ngoma unakufa na 60+, shida ni kubwia hayo maharage.
Kwa kweli situmii ndomu mkuu, ndio maana kama ni kuchepuka nakuwa mzito sanaaaa, sanaa mkuu!!Kwahiyo unasemaje...hutumii ndomu tena?
Kwa kweli 90s mambo yalikuwa sio poa, upo nje unasikiliza mtu anarap ndani, ukiingia kinaonekana kichwa tu, nywele zimenyonyoka amebaki mifupa tupu...95 niliona live, 97 tena jamaa mmja wa kijijini akaugua..aaagr it was terrible!!Vibinti vilivyozaliwa kuanzia 2000 havijawahi kuona hao wagonjwa ndio maana vinaogopa mimba kuliko ukimwi
Tarajia ongezeko kubwa mpaka hii baridi inaisha.. watu watakuwa wameshapeana joto la kutoshaKwa nini miaka 40+? Kwa sababu kwa umri huo hata ukiupata ukipiga dawa unaweza kutoboa miaka 60 ambao ni life expectancy ya mtanzania.
Tumepitia kipindi kigumu sana,nakumbuka nikiwa O level dispensary ya shule sindano zinachemshwa kama Mayai ,hakukuwa na disposable syringe,nesi akipitiwa mtashare hiyo sindano. Kumbuka filamu za ukimwi za kutishana kama Neira ya Oliver Mtukudzi ukiangalia hata demu akikupa bure muda huo unakataa. Kumbuka wapendwa wetu waliokufa mifupa mitupu na nywele kunyonyoka kichwani.
Kumbuka vitoto vichanga vilivyokufa baada ya kuzaliwa na ukimwi. ARV zimefanya watu hatuogopi, tunapelekeana moto kibabe na uzuri ni kwamba wanaotumia dose vizuri,virusi vinafubaa,hawawezi kuambukiza kirahisi.
Zamani hufungishwi ndoa msikitini wala kanisani bila cheti cha majibu ya ukimwi.
Tumeteseka sana.