Kama una mpango wa kuja South, zingatia mambo haya sita kabla ya kuanza safari yako

Nimekuelewa mkuu, lakini nilishauri mtu afanye starehe zake kimagutu. Yani mguu mmoja ndani mungine nje, sababu akijisahau na kuingiza miguu yote basi atasombwa tu na maji na nyumbani kwao watamsahau.

Itabaki story tu kwamba tuna brother wetu au ndugu yetu yupo South. Wakati huku wewe mwenyewe ushapoteza channel zote huujui mchana wala usiku, upo upo tu 🤣🤣🤣
 
Ninachofahamu mimi viza ya work permit unaipata ubalozini. Hapa ni zile viza za kuingia na kutoka (visitor).
Work permit viza ni za white color job kama kina Mwamvita Makamba unatoka na ajira yako Bongo.

Vijana wanaojitambuwa waombe vyuo kozi ndefu tu, maana ukiomba short course no need of student visa.
 
Work permit viza ni za white color job kama kina Mwamvita Makamba unatoka na ajira yako Bongo.

Vijana wanaojitambuwa waombe vyuo kozi ndefu tu, maana ukiomba short course no need of student visa.
Ya shukran mkuu kwa ufafanuzi wako. Na mimi nilikuwa namjibu jamaa alietaka kuja kutafuta work permit huku, ili afanye kazi hapa.
 
Desert eagle ni bastola ya mkononi lakini ina nguvu mno.
Mtu akipigwa kichwani na risasi ya desert eagle ni kichwa kitasambaa inawezekana usijulikane sura.

Mlio wake ikipigwa mtaani watu wanalala hata kama ni saa 12 jioni.

Bastola moja hatari sana.
 
Kuuana kisa simu.
Hivi serikali ya SA imejipanga vipi kupambana na huo uhalifu?
 
Kweli mkuu, hali imekuwa ngumu kila sehemu. Wewe ukitoka South na kukimbilia Botswana, wenzako wanatoka Botswana na kukimbilia South.
Gaborone utafanya nini pale kwa watu wanaoanza life wenyeji wenyewe nipo nao huku Centurion wamekimbia pale sasa hivi Gabs ni kwa Ma Legends uchukue gari za Kijapani ukimbize Tanzania maana zimejaa pale wakipewa mshahara wanauza gari ya zamani wao wanataka ku drive gari mpya kila siku na Wapakistani wa magari ya Japan/Durban wamejaa pale.
 
Noma sana mkuu.
 
Kila mtu anakusanya pesa mnampatia dreva? Sijaelewa mkuu
Maana yake nauli mnachangishana wenyewe kuanzia waliokaa siti za nya then mwisho anapewa aliyekaa siti ya mbele ambaye uweka nauli yake na kumkabidhi dereva!! Dereva yeye anahesabu kuwa mf kama Ali kuwa na abilia 20 na nauli ni 500 maana yake anatakiwa apokee elf 10 kutoka kwako uliyekaa siti ya mbele sasa wewe kama ulipewa pesa pungufu au kuna wanaoitaj change ni jukumu lako Kurdish hyo chenji ukizingua dereva anaanza na wewe!! Kwa nilivyomuelewa mleta Mada
 
Tukiamua tunaweza ila kuamua kila mtu kua na basi ndo mana iyo systen haiwezekani
 
Mitaa ya Hilbrow jijini Johannesburg. Unakabwa kweupeee na hakuna anae kusaidia. 👇

Your browser is not able to display this video.
 
Video ikiwaonesha wachimbaji madini haramu wanaojulikana kama Zama Zama wakifurahia jambo huku wakiwa na silaha nzito za moto. Kundi hili limelaumiwa kwa kusababisha vurugu na mauaji huko Roodepoort mashariki mwa Jiji la Johannesburg.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…