Kama una mpango wa kuja South, zingatia mambo haya sita kabla ya kuanza safari yako

Kama una mpango wa kuja South, zingatia mambo haya sita kabla ya kuanza safari yako

Mumezoea shida wakati kwenu hakuna shida? kweli shida zinazoeleka? Poleni sana kwa hizo shida mulizo zizoea.
Hii sio shida mkuu, bali ni uhalifu ambao kila nchi upo. Wewe hausikii watu wanaotekwa, au kuuwawa kila siku TZ?

Kuna mambo ambayo hayaepukiki hata ukiwa kwenu utakumbana nayo tu. Kikubwa ni kumuomba Mungu akuepushe na shari za dunia na matatizo ya hapa na pale hata ukiwa unaishi nchi kwako.
 
sasa kwann abiria wengine wasimpe nauli dereva na wampe aliekaa karibu na dereva bila kujali kama ni mwenzao?
Huu ndio utaratibu mkuu na umeshazoeleka miaka na miaka nafikiri toka walipopata uhuru kamili.

Sasa ukimpa dereva ahesabu hela za kila kiti, aendeshe gari, arudishie watu chenji nk si atafanya ajali mkuu.
 
Niliishi South Africa miaka ya 2017 mpaka 2019 naingia na kutoka nilikuwa na aunt yangu anaumwa tukawa tunaenda kwenye matibabu mji wa Johannesburg akapanga apartment Sandton Longdon Avenue kiukweli sikupenda maisha ya kule huna amani Bolt akikubeba anashamgaa Madam you are living here you must be Rich eeeh namwambia no I am not living here I am housemaid 😁naogopa kuna siku tumeenda sijui ndo Maryland kwa wahindi wasomali nikatoa dollar msomali akaniambia unazo nyingi nipe kaka yangu akaniminya nikakataa akasema wewe usithubutu siku nyingine utapigwa risasi akaniambia twende ukawaone kaka zako wa Temeke na Tandika aisee wapo machokoani vibar kama huku wanalewa bangi madawa wamechoka nikasema si bora warudi tu wezi kazi zao kupora sema South kuna pisi kali nilikuwa nazishangaa sana mpaka nikazoea si wahindi makaburu wana mitako 😁 ushoga usagaji nilikuwa nawashangaa mandela square kuna mgawaha tulikuwa tunapenda kula mpaka nikazoea, kuhusu misosi nilipendaga kila kitongoji na supermarket yake migawaha ya kula 🤗nilikuwa napenda kula huduma za hospital pia nilizipenda sema walikataa dollar tukaziacha wanasema tutachukua tukipata Rand 10,000 tupeleke.
 
Niliishi South Africa miaka ya 2017 mpaka 2019 naingia na kutoka nilikuwa na aunt yangu anaumwa tukawa tunaenda kwenye matibabu mji wa Johannesburg akapanga apartment Sandton Longdon Avenue kiukweli sikupenda maisha ya kule huna amani Bolt akikubeba anashamgaa Madam you are living here you must be Rich eeeh namwambia no I am not living here I am housemaid 😁naogopa kuna siku tumeenda sijui ndo Maryland kwa wahindi wasomali nikatoa dollar msomali akaniambia unazo nyingi nipe kaka yangu akaniminya nikakataa akasema wewe usithubutu siku nyingine utapigwa risasi akaniambia twende ukawaone kaka zako wa Temeke na Tandika aisee wapo machokoani vibar kama huku wanalewa bangi madawa wamechoka nikasema si bora warudi tu wezi kazi zao kupora sema South kuna pisi kali nilikuwa nazishangaa sana mpaka nikazoea si wahindi makaburu wana mitako 😁 ushoga usagaji nilikuwa nawashangaa mandela square kuna mgawaha tulikuwa tunapenda kula mpaka nikazoea, kuhusu misosi nilipendaga kila kitongoji na supermarket yake migawaha ya kula 🤗nilikuwa napenda kula huduma za hospital pia nilizipenda sema walikataa dollar tukaziacha wanasema tutachukua tukipata Rand 10,000 tupeleke.
Nakubaliana na maelezo yako mkuu. Alaf miaka hiyo ya 2017 mimi nilikuwa nafanyakazi huko huko Sandton sehem fulan inaitwa riverside. Ni sehem yenye wazungu wengi wenye uwezo wa kipato cha kati.
 
Nakubaliana na maelezo yako mkuu. Alaf miaka hiyo ya 2017 mimi nilikuwa nafanyakazi huko huko Sandton sehem fulan inaitwa riverside. Ni sehem yenye wazungu wengi wenye uwezo wa kipato cha kati.
Kweli wazungu wengi yaani ngozi nyeusi wengi housemaid na walinzi sema mie nilivyokuwa wanahisi mie chotara 😁 nilikuwa na karangi na ka shape ka kuendana nao.
 
Nakubaliana na maelezo yako mkuu. Alaf miaka hiyo ya 2017 mimi nilikuwa nafanyakazi huko huko Sandton sehem fulan inaitwa riverside. Ni sehem yenye wazungu wengi wenye uwezo wa kipato cha kati.
Hii ndo siku nimepewa pesa ya Eid $400 na Rand 12000 at that time ilikuwa sawa na $100 ni kanunue nguo tunaenda kwa wasomali na wahindi nikatoa kaka akaniambia unadhani upo bongo 😂
 

Attachments

  • FB_IMG_1725548180852.jpg
    FB_IMG_1725548180852.jpg
    136.7 KB · Views: 7
Habari zenu wanaJF wenzangu, ama baada ya salam ningependa kuendelea na mada yangu hapo chini.

Nianze kwa kusema kuwa dunia ina mengi, na kamwe hauwezi kuyajua kama haujaambiwa au kuyaona. Ndio maana waswahili wanamsemo wao unaosema "tembea uyaone". Hii haimaanishi kwamba utembee uyaone magorofa, magari au barabara, bali uone mambo mapya ambayo hapo kabla ya kutembea ulikuwa haujawahi kuyaona au kuyasikia popote.

Sasa leo ningependa nije na mada inayowatahadharisha ndugu zangu wabongo, ili kuwafungua macho na akili ya kujua yale ambayo hapo kabla walikuwa hawajayajua kuhusu South Africa, Dzonga, Afrika borwa, Afrika kusini, bondeni, Kaburu na kila jina linalotambulisha taifa hili.

Ni mambo sita tu ambayo ningependa kukutahadharisha nayo, uyazingatie kabla ya safari. Ila kama kuna mengine ya kuongezea basi wenzangu ambao wako humu pia wataongezea mengine katika comment. Na uzi wangu wa leo unajikita katika mambo yaliopo ndani ya mipaka ya South tu. Kuhusu changamoto zingine za njiani kabla ya kufika South nk, hizo sintozizungumzia kwa sasa. Maana thread za changamoto hizo zipo nyingi na mimi nishawahi kuandika moja.

Tuendelee hapo chini na yale unayotakiwa kuzingatia.

1. Hakikisha una document zote muhimu zinazohitajika safarini. Na kama uliambiwa kuwa gharama ya safari ni laki tatu, basi uandae angalau laki nne, ili moja uiweke pembeni itakusadia mbele ya safari. Kumbuka kuna dharura njiani, dola au rand kupanda nk.

2. Wakati unapanga safari, jitahidi kwanza ujue kingereza. Na kama una kichwa kizito cha kujifunza ngeli, basi upambane ujue hata salam, kuomba kitu au kuaga. South ni nchi inayoongea lugha 11. Ambapo lugha 9 ni za wenyeji na 2 za wazungu. Lakini lugha ya taifa na ambayo inapewa kipaumbele zaidi ni English.

Sasa ukijua English, hata kama hauna elimu ya maaana, uwezekano wa kupata kazi ni mkubwa ukilinganisha na wale ambao hawajui English. Ndomaana wazimbabwe wamedhibiti kazi nyingi na haswa zinazomilikiwa na wazungu, maana wao English kwao ni kama maji na mtungi, halafu wanaongea British safi kuliko waafrika wengine. Kutokujua English kumewanyima watu wengi (haswa kutoka bongo) fursa za kazi, hivyo kusababisha wengine kuamua kufanya deal hatari, halali na zisizo halali ili mradi mtu aishi.

3. Kabla ya kuanza safari hakikisha una address au contacts za wenyeji wako zaidi ya mmoja. Nchi hii kuna watu wengi wameuwawa, wameibiwa, wamekamatwa na kurudishwa nyumbani kwa sababu ya kukimbiwa au kuzimiwa simu na wenyeji wao kabla ya kuingia au baada ya kuingia South. Na hii sio kwa wabongo tu, bali ni nchi zote za East Africa watu wana tabia za kuwaingiza maboya ndugu, jamaa na marafiki zao kwamba waje tu watawapokea na kuwafanyia mpango wa kuishi, lakini ndugu, jamaa au marafiki hao wanapoingia tu mwenyeji huzima simu, hubadili namba nk. Hivyo ukiwa na address au namba za sim zaidi ya 3, itakusaidia ku deal na mwingine baada ya mmoja au wawili wa mwanzo kukuzimia simu.

4. Usiwaze kwamba utafanya kazi fulani tu, bali wewe ujiandae kufanya kazi yoyote (ya halali) kujiingizia kipato. Hili swala la watu kuja huku wakiandaa akili, na saikolojia zao za kichwa kwamba anakuja kufanya kazi fulani tu. Ndio limesababisha baadhi ya wabongo kupoteza mwelekeo wa maisha, na kujikuta wanajitupa katika biashara hatari na zisizokuwa halali.

5. Usilete usela mavi usiokuwa na maana. Vijana wengi waliotaka kuleta usela wa Mbagala, Mburahati, Manzese, Temeke, Tandika nk tumewazika wakiwa bado wadogo. Hii ni kwa sababu huku watu hawana muda wa kukimbizana na mwizi wajichoshe. Ukileta usela mavi, watu wanakutafutia target, wanafumua ubongo, kazi imekwisha. yumbani watu wanarudisha nguo au maiti na kesi hamna. Pia usije kwa lengo la kutafuta na kufanya starehe kupitiliza mpaka ukasahau kilichokuleta. Maana kama starehe hata bongo zipo na umeziacha, kama mademu bongo wapo na umewaacha, kama tungi pia bongo lipo umeliacha. So focus kwa kile kilichokufanya utafute nauli uje. Sio kuendekeza kulewa na chupi za Kaburu utapotea mazima na hakuna mtu atakaekurudisha katika chanel yako tena.

6. Ukifika hapa kama wewe ni mpya usikimbilie kukaa kiti cha mbele katika daladala (tax), hata kama imejaa na imebaki siti moja ya mbele, ni bora usubiri nyingine alafu ndio upande. Hii ni kwa sababu huku majimbo mengi daladala zao hakuna kondakta anaezunguka ndani ya daladala kuomba nauli. So ukisema unakimbilia mbele kukaa na dereva, utashangaa watu wanakusanya hela zote huko nyuma, alaf wanakutupia wewe ndio uhesabu na kama kuna mtu ametoa hela kubwa umrudishie chenji, na ikiwa pungufu uhakikishe waliokupa wanazieneza. Dereva yeye hupokea nauli ambayo imeshahesabiwa tayari na iwe imetimia. Ikipungua hata sh hamsini basi ataanza na wewe uliepokea hela kabla ya kuendelea na waliopo ndani ya gari. Pia asilimia kubwa ya madereva wa hapa wana silaha mbali mbali ndani ya gari zao, kama sio bunduki basi fimbo inayofanana na mkia wa taa. So hela yake isipoenea na wewe ndo New comer (mpya) haujui lugha, basi imekula kwako. Hata ujitetee kwa English yako ya kuunga unga hatokuelewa. Naomba niishie hapa.
Duh!...hiyo namba 6 kiboko...
 
Kweli wazungu wengi yaani ngozi nyeusi wengi housemaid na walinzi sema mie nilivyokuwa wanahisi mie chotara 😁 nilikuwa na karangi na ka shape ka kuendana nao.
Kwani wewe ndio huyu kwa profile yako mkuu?
 
Hii ndo siku nimepewa pesa ya Eid $400 na Rand 12000 at that time ilikuwa sawa na $100 ni kanunue nguo tunaenda kwa wasomali na wahindi nikatoa kaka akaniambia unadhani upo bongo 😂
Hata bongo ukitoa hela nyingi kiasi hiki lazima wakufatilie na kukukaba 🤣🤣🤣

Nchi ambayo bado salama mtu kutembea na hela bila kufuatiliwa na wezi niliona ni Zambia tu.
 
Niliishi South Africa miaka ya 2017 mpaka 2019 naingia na kutoka nilikuwa na aunt yangu anaumwa tukawa tunaenda kwenye matibabu mji wa Johannesburg akapanga apartment Sandton Longdon Avenue kiukweli sikupenda maisha ya kule huna amani Bolt akikubeba anashamgaa Madam you are living here you must be Rich eeeh namwambia no I am not living here I am housemaid 😁naogopa kuna siku tumeenda sijui ndo Maryland kwa wahindi wasomali nikatoa dollar msomali akaniambia unazo nyingi nipe kaka yangu akaniminya nikakataa akasema wewe usithubutu siku nyingine utapigwa risasi akaniambia twende ukawaone kaka zako wa Temeke na Tandika aisee wapo machokoani vibar kama huku wanalewa bangi madawa wamechoka nikasema si bora warudi tu wezi kazi zao kupora sema South kuna pisi kali nilikuwa nazishangaa sana mpaka nikazoea si wahindi makaburu wana mitako 😁 ushoga usagaji nilikuwa nawashangaa mandela square kuna mgawaha tulikuwa tunapenda kula mpaka nikazoea, kuhusu misosi nilipendaga kila kitongoji na supermarket yake migawaha ya kula 🤗nilikuwa napenda kula huduma za hospital pia nilizipenda sema walikataa dollar tukaziacha wanasema tutachukua tukipata Rand 10,000 tupeleke.
aiseee...so huko sauz misambwanda kama yote au sio alafu nasikia huko kugegedana nje nje wala hawamaind ni full shisha nyama mitungi blanti hii mikasiiii
 
aiseee...so huko sauz misambwanda kama yote au sio alafu nasikia huko kugegedana nje nje wala hawamaind ni full shisha nyama mitungi blanti hii mikasiiii
Huku misambwanda ushindwe mwenyewe tu. Unamtongoza dem asubuhi, jioni ukitoka kazini unaenda kugonga. Na ukiwa kauzu unaweza kulamba familia nzima.
 
Kuna group la mabaharia(Sailsman) Facebook admin ni MSANGI. Aisee .........kilasiku MAITI zinatangazwa. Wengi ni bomba au madawa. Inamaana South Africa Kuna Watanzania wengi kuliko Tanzania?
Yah hilo group nalifahamu na kulifuatilia sana mkuu. Ki ukweli kuna baadhi ya mambo ambayo mtu hauwezi kuyaongelea hapa mitandaoni.
 
Back
Top Bottom