Kama una mpango wa kuja South, zingatia mambo haya sita kabla ya kuanza safari yako

Kama una mpango wa kuja South, zingatia mambo haya sita kabla ya kuanza safari yako

Raia waishio Soweto jijini Johannesburg jana usiku wa kuamkia leo wamevamia maduka kadhaa ya wageni na kuiba kila kitu kilichokuwa katika maduka hayo. Baadhi ya raia hao wamesikika wakisema kuwa sababu ya wao kuiba ni kulipa kisasi baada ya polisi wao kudharauliwa na wageni wiki mbili zilizopita,pia wapo waliodai kuwa bidhaa hizo ni fake na wapo wailodai kuwa wageni wanawachukulia dada zao na kazi zao.

 
MACHAFUKO YALIYOTOKEA AFRIKA KUSINI .WAAFRIKA WA AFRIKA YA KUSINI WANAWAUWA WAGENI WAAFRIKA WENZI WAO NA KUWAPORA MALI ZAO

 
MACHAFUKO YALIYOTOKEA AFRIKA KUSINI .WAAFRIKA WA AFRIKA YA KUSINI WANAWAUWA WAGENI WAAFRIKA WENZI WAO NA KUWAPORA MALI ZAO


 
Maana yake nauli mnachangishana wenyewe kuanzia waliokaa siti za nya then mwisho anapewa aliyekaa siti ya mbele ambaye uweka nauli yake na kumkabidhi dereva!! Dereva yeye anahesabu kuwa mf kama Ali kuwa na abilia 20 na nauli ni 500 maana yake anatakiwa apokee elf 10 kutoka kwako uliyekaa siti ya mbele sasa wewe kama ulipewa pesa pungufu au kuna wanaoitaj change ni jukumu lako Kurdish hyo chenji ukizingua dereva anaanza na wewe!! Kwa nilivyomuelewa mleta Mada
Perfect kabisa, yani wala haujakosea. Huu utamaduni umezoeleka na kila mtu yupo makini na mwenzake. Kimbembe kwa aliekaa siti ya mbele kama hajui hesabu na kuwazidishia abiria chenji alaf ampe dereva nauli pungufu.

Bora mtu uwe na hela yako yani isipoenea unaongezea kimya kimya 🤣🤣🤣
 
Bwana Mohammed Murshid amesema kuwa anepoteza bidhaa zenye thamani ya Rand M3 ambayo aliiwekeza dukani kwake. Bwana Murshid amesema kuwa kwa sasa hana chochote na anahisi huu ndo mwisho wa maisha yake
😔

Share na wenzako


 
Tukiamua tunaweza ila kuamua kila mtu kua na basi ndo mana iyo systen haiwezekani
Kwa Tz hiyo ni ngumu sana. Kwanza mabasi yote yanazidisha abiria. Basi la kupanda abiria 50, wao wanapakiza 100, wengine wamekaa wengine wamesimama mbanano.

Sasa hapo hauwezi kujua kuwa nani amelipa na nani hakulipa 🤣🤣🤣
 
Mtoa mada umenena vyema kabisa, tena ukiambiwa laki 3 beba 6, na zifiche kwa kugawa makundi, tafuta kipensi cha jinsi shonea mifuko migumu kwa fundi cherehani wako then zigawe hela, pili epuka mazoea kisa tu umemsikia mtu anaongea kiswahili, wengi wao sio watu tena, wanafosi maisha so mswahili mwenzio kukuua ni chapu sana.
Epuka watu haswa waswahili wasijue mfumo wa maisha yako.

Kuhusu tax ama daladala hakunaga konda so jitahidi sana ukae siti za katikati kama bado hujapazoea. Uwe na uwezo mkubwa wa kukariri mazingira, hili ni muhimu sana.

Nimeingia south kupitia beitbridge, (Zimbabwe na south border, Kopfontein/Tlokweng, Botswana na south, Martin drift, Botswana na south, ktk boda hizo nashauri pitia za Botswana na south, Beitbridge ukiingia tu unaanza kukutana na usela mavi wa wasouth pale misina.

Kiufupi south kila mtu ana stress, anatamani maisha mazuri ya shortcut.

Usimuamini askari au polisi mia kwa mia nao no wezi wakubwa sana tu. South ya leo nenda kibiashara utoke sio pa ku hustle tena.

Mwaka mpya kuingia 23 saa 10 jioni nilipigwa visu vitatu mkononi na pajani kimoja kisa simu tu.

Kiufupi sio salama kabisa na napachukia sana, kama huendi kibiashara eti ni ku hustle aisee nashauri hustle hapahapa bongo.
sasa kwann abiria wengine wasimpe nauli dereva na wampe aliekaa karibu na dereva bila kujali kama ni mwenzao?
 
Gaborone utafanya nini pale kwa watu wanaoanza life wenyeji wenyewe nipo nao huku Centurion wamekimbia pale sasa hivi Gabs ni kwa Ma Legends uchukue gari za Kijapani ukimbize Tanzania maana zimejaa pale wakipewa mshahara wanauza gari ya zamani wao wanataka ku drive gari mpya kila siku na Wapakistani wa magari ya Japan/Durban wamejaa pale.
Nimefurahi kukuona kwenye huu uzi boss.
 
Binafsi huwa nina uwezo wa kusoma mawazo ya mtu na kumuelewa.
Nilichomuelewa jamaa alivyosema foreigner hawezi pata kazi alimaanisha kazi rasmi sio hizi za day work. Nikisema rasmi namaanisha kazi uliyosomea.

Ulichokielezea ni sahihi, ndio ukweli ulivyo. Kazi ngumu ni za fani yako ila za kawaida tu zinapatikana coz wa SA ni wavivu na wanazikimbia.
Za kawaida ni kama kazi gani?
 
Back
Top Bottom