Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #441
Wa south wanapendelea zaidi nyama haswa ya ng'ombe na ugali. Asilimia 98 hawali samaki na wakati eneo kubwa sana la bahari mbili tofauti zimepita kwao.Iv chief chakula kikuu kinacholiwa sana na wasouth ni kipi?
Duh! Ni noma ina maana samaki wanaliwa na foreigners kwa sana au hata upatikanaji wake ni wa shida?Wa south wanapendelea zaidi nyama haswa ya ng'ombe na ugali. Asilimia 98 hawali samaki na wakati eneo kubwa sana la bahari mbili tofauti zimepita kwao.
Mm nilifikiri wakorofi sio foreigners ni wazawa.kumbe woteAisee , Ile nchi imeharibiwa na ANC na Sera zao za uhamiaji holela .
Criminals wakaanza kukimbilia huko.
South ilikuwa nchi nzuri sana , mimi nina Bro wangu alikuwa huko tangia mwaka 2003 , mwaka 2020 akarudi Bongo na hajarudi huko mpaka leo .
Anasema pia nchi ile imeharibika kabisa ,crimes everywhere , Yaani kuna mahayawani hayaoni kuua kwa kitu kidogo tu .
Hahahah 🤣 kwa sauti alie kabwa katoka nduki full kujikausha km hakuna kilicho tokea vile. Watu 5 kwa mmoja sio poa kiongoziMitaa ya Hilbrow jijini Johannesburg. Unakabwa kweupeee na hakuna anae kusaidia. 👇
View attachment 3087446
Umeongelea dini ya Chembe ndo dini gani.?Wa south wanapendelea zaidi nyama haswa ya ng'ombe na ugali. Asilimia 98 hawali samaki na wakati eneo kubwa sana la bahari mbili tofauti zimepita kwao.
Wapi nimeongelea dini ya chembe mkuu?Umeongelea dini ya Chembe ndo dini gani.?
Jamaa walipigwa kofi la macho toka enzi za ukoloni, ili wasijue faida na utamu wa samaki. Unakuta jitu kubwa, na wengine wana elimu lakini likiona samaki halikai karibu et halipendi harufu yake (shombo) 🤣🤣🤣Duh! Ni noma ina maana samaki wanaliwa na foreigners kwa sana au hata upatikanaji wake ni wa shida?
Ok mkuu tutajaribu kufikisha salamu.Hebu Nisalimieni Baraka Majogoro hapo bondeni..
Yupo Chippa United..anacheza timu moja na Stanley Nwabari, Kipa namba moja wa Nigeria.
Hahaha hapa kila mtu kachafukwa. Wanaofanya usela mavi sio wazawa pekee. Kuna wabongo, wazimbabwe, wamalawi, wamozambique (msumbiji) nk.Mm nilifikiri wakorofi sio foreigners ni wazawa.kumbe wote
Yani unakabwa huku unachezea vitasa. Lazima ulegee tu na kuwaachia wababe wachukue vyao 🤣🤣🤣Hahahah 🤣 kwa sauti alie kabwa katoka nduki full kujikausha km hakuna kilicho tokea vile. Watu 5 kwa mmoja sio poa kiongozi
Nimechanganya Mkuu ahsante kwa maelekezo uliyotoa na kwa marekebisho.Wapi nimeongelea dini ya chembe mkuu?
Au labda umesoma vibaya?
Hata hivyo kuna dhehebu lao linaitwa shembe ambalo lilianzishwa na kiongozi fulan wa dini aliechanga mila na tamaduni za kizulu pamoja na mafundisho ya dini miaka mingi iliypita.
Huyo shembe wazulu wengi wanaamini kuwa alikuwa mwakilishi wa Mungu hapa duniani. Na kila mwaka huenda katika kaburi lake huko kwao kuhiji.
Kwanza wana biblia yao ambayo ni tofauti ni ile ya ki kristo.Nimechanganya Mkuu ahsante kwa maelekezo uliyotoa na kwa marekebisho.
. Kwaiyo hao hawatumii Biblia hii ya kikristo.? Utaratibubwa Ibada zao ukoje.?
AhsanteKwanza wana biblia yao ambayo ni tofauti ni ile ya ki kristo.
Pili wana sali siku ya J'mosi.
Tatu kwa namna fulan ibada zao zinataka kufanana na za kiislam manake wanaume na wanawake hawakai pamoja wanatenganishwa,
wana sali kwenye mkeka kama waislam. Wanaume wengi hufuga ndevu kama waislam japo hii nahisi na culture yao inachangia. Halafu hubeba ile waislam wanaita tasbihi mkononi.
Nne huvaa kanzu na wengine huvaa mavazi ya asili ambayo ni ngozi nk.
Mengine siyajui sana kwani nawaonaga juu juu tu wakiwa wanafanya ibada zao.
Picha ya mwanzo ni wanawake na ya pili ni wanaume wakiwa katika ibada zao.Ahsante
Mmmh unaweza dhani unajua kila kitu lakini kumbe bado, hili sijawai kulishuhudia.Picha ya mwanzo ni wanawake na ya pili ni wanaume wakiwa katika ibada zao.
Dunia ina mengi ambayo mengine ni maajabu kwa wale wasioyajua 🤣🤣🤣Mmmh unaweza dhani unajua kila kitu lakini kumbe bado, hili sijawai kulishuhudia.
Huu utaratibu kama kwetu Mbagala kila siku dereva anakuwa anapokea nauli pungufu tu.Mtu wa mwisho kabisa anatoa 5 rand anampa anaefata nae anaweka hela yake hapo hadi zinafika kwa mtu wa kwanza kule hiace (tax) huwa ni level seats kwa hiyo driver anajua kabisa kuwa kitakachomfikia yeye ni 100 rand anapokea na kuzihakiki Sasa kama hazijatimia usimpe kwanza inabidi uwahoji abiria wa nyuma nani hajatoa au katoa pungufu Sasa kama we ni mgeni na umepakiza wazulu utahoji vipi hapo ndio kuepusha mengi unakaa siti ya kati au mwisho mwisho
Kwenye usafiri ustaraabu wake ni WA juu sana
Kabisa.Dunia ina mengi ambayo mengine ni maajabu kwa wale wasioyajua 🤣🤣🤣
Kama Muslims tu. Ni rahisi kusema wako masjid.Picha ya mwanzo ni wanawake na ya pili ni wanaume wakiwa katika ibada zao.