Sawa nyie tulieni na hizo ndoa zenu za miaka mingi, hapa tunawashauri vijana wanaofikiria kuingia kwenye ndoa.Ushauri kutoka kwa FAILURE! Watu wapo ndani ya ndoa miaka mingi wamemtanguliza Mungu, Wanaishi kwa amani na upendo na wanazikabili changamoto mbalimbali vyema, Wewe leo unawausia vijana waendelee kuishi uzinzi ili wakifa waende motoni?? Shetani shindwa!
Umeandika vema mno, shida ilianzia Kanisani na kukamilishwa Beijing.Natamani kuandika sana kwenye hili!
MFUMO wa kidunia wa kutaka Mamlaka ya kiume yashuke I'll changamoto za kimahusiano ziwe nyingi watu wasioane na KUWA na familia na hata kama familia iwepo isiyo stable unafanikiwa kwa kasi Sana!!
Ndoa imeshambuliwa na mifumo ya kisheria ambayo inaegemea UPANDE wa kikristo ambao sio UKRISTO HALISI bali Bandia!!
Wakati wanawake wanaota mapesa na MAJUMBA TOKA kwa wanaume wanaowaoa wanaume tunahofu na hatma ya ndoa mwanamke anaposhiba baada ya malengo yake kukamilika,ikumbukwe uchumi ndio KIMBILIO la wanawake WENGI kwenye NDOA ili watatue kero zao upendo pekee sio SABABU ya mwanamke kuolewa bali uwezo wa Mwanamme kipesa na kazi!
Sasa je kama huyu mwanamke akiridhika na matunda ya ndoa yake atatulia aongozwe au atataka kujiongoza awe Huru pia kuamua Maisha yake!!?
Haya yanayotokea kwenye ndoa nyingi yanatupa picha mbaya hasa wanaume na ku retreaty kwenye maamuzi ya ajabu ajabu kama haya Eti kataa NDOA!!
Viongozi wa Dini,serikali washiriki kutatua matatizo ya kimfumo katika ndoa ili kunasua Huu mkwamo wa kihisia na kifamilia uliopo! kuendelea kukaa kimya ni kuharibu TAIFA!
Mungu ibariki TANZANIA!!
Sawa nyie tulieni na hizo ndoa zenu za miaka mingi, hapa tunawashauri vijana wanaofikiria kuingia kwenye ndoa.
Alafu hiyo Amani na Upendo kwenye ndoa zenu hakuna, mnaishi kwa kuigiza ila ndani ni maumivu na majuto.
Tatizo lenu mnatamani sote tuoe tuhangaike kama nyie
Ni heri ukose hiyo amani lakini watoto waipate! Huo ni ubinafsi na utapata hiyo amani duniani lakini Mbinguni utaikosa kwa uzinzi!Sawa nyie tulieni na hizo ndoa zenu za miaka mingi, hapa tunawashauri vijana wanaofikiria kuingia kwenye ndoa.
Alafu hiyo Amani na Upendo kwenye ndoa zenu hakuna, mnaishi kwa kuigiza ila ndani ni maumivu na majuto.
Tatizo lenu mnatamani sote tuoe tuhangaike kama nyie!
Watoto wangu wana amani tele, nawalea na kuwahudumia vema zaidi ya waliozaliwa ndani ya ndoa.Ni heri ukose hiyo amani lakini watoto waipate! Huo ni ubinafsi na utapata hiyo amani duniani lakini Mbinguni utaikosa kwa uzinzi!
Akikupa ni ujinga wakeNa tutamla mkeo.
Umeenda tena kwnye story za kusadikika za juma na ulediUshauri kutoka kwa FAILURE! Watu wapo ndani ya ndoa miaka mingi wamemtanguliza Mungu, Wanaishi kwa amani na upendo na wanazikabili changamoto mbalimbali vyema, Wewe leo unawausia vijana waendelee kuishi uzinzi ili wakifa waende motoni?? Shetani shindwa!
Ukishazaa na mwanamke umeumia. Mkiachana huwa anabaki na watoto na hicho ndo kinakuwa kigezo kikuu cha kuchukua mali (wenyewe wanasema za watoto) na hapo bado utakuwa na kazi ya kumtunza yeye, kibenten chake kipya na watoto wako!hivi hili suala LA kusema mkiachana mkeo anabeba mali zako mmelitoa wapi, au ndo mmelibeba tu mitandaoni mmeliweka vichwani, hakuna sheria kama hiyo, mwanamke hawezi kubeba kitu ambacho hakina jina lake otherwise uwe uliandika jina lake which is wrong, ndo maana nasema kila siku unapofanya maamuzi utumie akili na si hisia sasa kama uliandika jina lako na la mkeo kwenye hati hiyo ni lazima mtagawana kinyume na hapo mwanamke hana nguvu ya kuchukua mali yako yoyote mpaka utakapofariki
Ukishazaa na mwanamke umeumia. Mkiachana huwa anabaki na watoto na hicho ndo kinakuwa kigezo kikuu cha kuchukua mali (wenyewe wanasema za watoto) na hapo bado utakuwa na kazi ya kumtunza yeye, kibenten chake kipya na watoto wako!
Huu ni upuuzi mwingine,kwani nje ya ndoa watu hawapati magonjwa?na swala la kutawaliwa na mwanamke,nicmtazamo tu WA hovyo.Kwa umri wangu huu (nimekula chumvi kiasi) nimeona na kujifunza mengi kuhusu mahusiano ya kimapenzi na ndoa. Nimeshuhudia vijana wengi waliokimbilia maisha ya ndoa wakipoteza muelekeo wa maisha muda mfupi tu baada ya kuianza hiyo safari ya ndoa!
Kutokana na mikasa na vitimbwi vya wanandoa wengi nilijipa muda wa kufanya utafiti mdogo usio rasmi kuhusu maisha ya ndoa na mwisho wa siku nikaibuka na majibu haya;-
1. Ndoa ni gereza la kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mwanaume (ndomana inaitwa pingu za maisha)
2. Ndoa ni mtego wa wanawake kuwatawala wanaume.
3. Ndoa ni chanzo cha magonjwa mengi kwa wanandoa hasa wanaume yanayopelekea vifo vyao (tuna mifano mingi ya wanaume waliopoteza maisha au kupata magonjwa mazito muda mfupi baada ya kuoa)
Kutokana na utafiti wangu huo usio rasmi nimeona niwashauri vijana wenzangu na wanaume kwa ujumla, Hakuna maisha ya furaha na amani ndani ya ndoa kama mnavyohubiriwa.
Ukitaka furaha tafuta pesa ujipe furaha mwenyewe (ukiwa na pesa utapata kila utakacho ikiwa ni pamoja na huduma zipatikanazo ndani ya ndoa)
Achaneni na upuuzi wa ndoa, yaani umtolee mahari, umtunze, uwatunze watoto, umlinde asikusaliti, umridhishe kitandani na bado mkiachana abebe mali zako?
Wabobevu mniambie ndoa ina faida gani kwa mwanaume? Je ni ngono tu au kuna kipi special?
#KATAANDOA
Respect kwa msimamo wako mkuu. Haupingwi maana ni mtazamo wako. RespectNdoa ni nzuri kwa mwanamke , ila kwa kipindi hiki kwa mwanaume ndoa haina faida yoyote , yani hakuna mwanaume ananufaika na ndoa , Ronaldo ana mke ila hana ndoa , akifunga ndoa saiv itakua na faida kwa nan zaidi kutakapotokea changamoto?
Nilishaandikaga sana hapo nyuma namna mwanaume anaweza kupata mke mwema. The only way katika hii corrupted world, ukapata mke mwema ni kwa Mungu pekee. Na nikasema kabisa ili upate mke mwema lazima kwanza ukubali kusubmit under God's authority.Natamani kuandika sana kwenye hili!
MFUMO wa kidunia wa kutaka Mamlaka ya kiume yashuke I'll changamoto za kimahusiano ziwe nyingi watu wasioane na KUWA na familia na hata kama familia iwepo isiyo stable unafanikiwa kwa kasi Sana!!
Ndoa imeshambuliwa na mifumo ya kisheria ambayo inaegemea UPANDE wa kikristo ambao sio UKRISTO HALISI bali Bandia!!
Wakati wanawake wanaota mapesa na MAJUMBA TOKA kwa wanaume wanaowaoa wanaume tunahofu na hatma ya ndoa mwanamke anaposhiba baada ya malengo yake kukamilika,ikumbukwe uchumi ndio KIMBILIO la wanawake WENGI kwenye NDOA ili watatue kero zao upendo pekee sio SABABU ya mwanamke kuolewa bali uwezo wa Mwanamme kipesa na kazi!
Sasa je kama huyu mwanamke akiridhika na matunda ya ndoa yake atatulia aongozwe au atataka kujiongoza awe Huru pia kuamua Maisha yake!!?
Haya yanayotokea kwenye ndoa nyingi yanatupa picha mbaya hasa wanaume na ku retreaty kwenye maamuzi ya ajabu ajabu kama haya Eti kataa NDOA!!
Viongozi wa Dini,serikali washiriki kutatua matatizo ya kimfumo katika ndoa ili kunasua Huu mkwamo wa kihisia na kifamilia uliopo! kuendelea kukaa kimya ni kuharibu TAIFA!
Mungu ibariki TANZANIA!!
Hivi kwani siku hizi majukumu ya mwanamke kwenye ndoa hayaonekani au
Yani wewe mke akupikie, akufulie, akulee, akuzalie na akulelee watoto wako, akupe unyumba na vingine vingi halafu bado uone hastahili mali zako sasa unataka umpe kitu gani
Hizo mahari mnazotoa anachukua mke au wanachukua wazazi/walezi wake na umeshajiuliza ni kwanini kwenye jamii zetu mwanamke anatolewa mahari
Yani ukitoa huduma ya kiuchumi kuna kipi kingine mwanaume anachoweza kumpa mwanamke, maana mkae mkijua hizi kampeni zenu za kataa ndoa kisa kukimbia majukumu yenu hamuwakomoi wanawake, bali mnazidi kufanya wanawake wasione umuhimu wenu na hili limeshaanza hivi sasa kwa baadhi ya wanawake
Hayo mapungufu ya kibinadamu kwenye ndoa huwa yapo tu, hata wanaume mna mapungufu yenu ila ni vile ya kwenu mnayaona madogo hivyo mnalazimisha yavumiliwe, ila ya wanawake mnayaona makubwa hivyo mnaona hawastahili kuvumiliwa
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app