Kama una mpango wa kuoa, jifunze hapa

Kama una mpango wa kuoa, jifunze hapa

Ushauri kutoka kwa FAILURE! Watu wapo ndani ya ndoa miaka mingi wamemtanguliza Mungu, Wanaishi kwa amani na upendo na wanazikabili changamoto mbalimbali vyema, Wewe leo unawausia vijana waendelee kuishi uzinzi ili wakifa waende motoni?? Shetani shindwa!
Sawa nyie tulieni na hizo ndoa zenu za miaka mingi, hapa tunawashauri vijana wanaofikiria kuingia kwenye ndoa.
Alafu hiyo Amani na Upendo kwenye ndoa zenu hakuna, mnaishi kwa kuigiza ila ndani ni maumivu na majuto.
Tatizo lenu mnatamani sote tuoe tuhangaike kama nyie!
 
Natamani kuandika sana kwenye hili!

MFUMO wa kidunia wa kutaka Mamlaka ya kiume yashuke I'll changamoto za kimahusiano ziwe nyingi watu wasioane na KUWA na familia na hata kama familia iwepo isiyo stable unafanikiwa kwa kasi Sana!!

Ndoa imeshambuliwa na mifumo ya kisheria ambayo inaegemea UPANDE wa kikristo ambao sio UKRISTO HALISI bali Bandia!!

Wakati wanawake wanaota mapesa na MAJUMBA TOKA kwa wanaume wanaowaoa wanaume tunahofu na hatma ya ndoa mwanamke anaposhiba baada ya malengo yake kukamilika,ikumbukwe uchumi ndio KIMBILIO la wanawake WENGI kwenye NDOA ili watatue kero zao upendo pekee sio SABABU ya mwanamke kuolewa bali uwezo wa Mwanamme kipesa na kazi!

Sasa je kama huyu mwanamke akiridhika na matunda ya ndoa yake atatulia aongozwe au atataka kujiongoza awe Huru pia kuamua Maisha yake!!?

Haya yanayotokea kwenye ndoa nyingi yanatupa picha mbaya hasa wanaume na ku retreaty kwenye maamuzi ya ajabu ajabu kama haya Eti kataa NDOA!!

Viongozi wa Dini,serikali washiriki kutatua matatizo ya kimfumo katika ndoa ili kunasua Huu mkwamo wa kihisia na kifamilia uliopo! kuendelea kukaa kimya ni kuharibu TAIFA!

Mungu ibariki TANZANIA!!
Umeandika vema mno, shida ilianzia Kanisani na kukamilishwa Beijing.
 
Sawa nyie tulieni na hizo ndoa zenu za miaka mingi, hapa tunawashauri vijana wanaofikiria kuingia kwenye ndoa.
Alafu hiyo Amani na Upendo kwenye ndoa zenu hakuna, mnaishi kwa kuigiza ila ndani ni maumivu na majuto.
Tatizo lenu mnatamani sote tuoe tuhangaike kama nyie

Sawa nyie tulieni na hizo ndoa zenu za miaka mingi, hapa tunawashauri vijana wanaofikiria kuingia kwenye ndoa.
Alafu hiyo Amani na Upendo kwenye ndoa zenu hakuna, mnaishi kwa kuigiza ila ndani ni maumivu na majuto.
Tatizo lenu mnatamani sote tuoe tuhangaike kama nyie!
Ni heri ukose hiyo amani lakini watoto waipate! Huo ni ubinafsi na utapata hiyo amani duniani lakini Mbinguni utaikosa kwa uzinzi!
 
Ni heri ukose hiyo amani lakini watoto waipate! Huo ni ubinafsi na utapata hiyo amani duniani lakini Mbinguni utaikosa kwa uzinzi!
Watoto wangu wana amani tele, nawalea na kuwahudumia vema zaidi ya waliozaliwa ndani ya ndoa.
Ubinafsi ni kutaka kuoa kujifurahisha wewe huku ukiwaingiza watoto kwenye migogoro yenu ya ndoa.
 
hivi hili suala LA kusema mkiachana mkeo anabeba mali zako mmelitoa wapi, au ndo mmelibeba tu mitandaoni mmeliweka vichwani, hakuna sheria kama hiyo, mwanamke hawezi kubeba kitu ambacho hakina jina lake otherwise uwe uliandika jina lake which is wrong, ndo maana nasema kila siku unapofanya maamuzi utumie akili na si hisia sasa kama uliandika jina lako na la mkeo kwenye hati hiyo ni lazima mtagawana kinyume na hapo mwanamke hana nguvu ya kuchukua mali yako yoyote mpaka utakapofariki
 
Ushauri kutoka kwa FAILURE! Watu wapo ndani ya ndoa miaka mingi wamemtanguliza Mungu, Wanaishi kwa amani na upendo na wanazikabili changamoto mbalimbali vyema, Wewe leo unawausia vijana waendelee kuishi uzinzi ili wakifa waende motoni?? Shetani shindwa!
Umeenda tena kwnye story za kusadikika za juma na uledi
 
hivi hili suala LA kusema mkiachana mkeo anabeba mali zako mmelitoa wapi, au ndo mmelibeba tu mitandaoni mmeliweka vichwani, hakuna sheria kama hiyo, mwanamke hawezi kubeba kitu ambacho hakina jina lake otherwise uwe uliandika jina lake which is wrong, ndo maana nasema kila siku unapofanya maamuzi utumie akili na si hisia sasa kama uliandika jina lako na la mkeo kwenye hati hiyo ni lazima mtagawana kinyume na hapo mwanamke hana nguvu ya kuchukua mali yako yoyote mpaka utakapofariki
Ukishazaa na mwanamke umeumia. Mkiachana huwa anabaki na watoto na hicho ndo kinakuwa kigezo kikuu cha kuchukua mali (wenyewe wanasema za watoto) na hapo bado utakuwa na kazi ya kumtunza yeye, kibenten chake kipya na watoto wako!
 
Ukishazaa na mwanamke umeumia. Mkiachana huwa anabaki na watoto na hicho ndo kinakuwa kigezo kikuu cha kuchukua mali (wenyewe wanasema za watoto) na hapo bado utakuwa na kazi ya kumtunza yeye, kibenten chake kipya na watoto wako!

mkuu, hakuna kitu kama hiko otherwise nae awe amehusika kwenye utafutaji wa hvyo vitu, ukiachana na mwanamke utatakiwa umpe matunzo ya watoto basi hayo mengine ni umbumbu wetu wa kutokujua sheria
 
Nikimpata tu nyonga mkalia ini naoa chap,hakuna kitu cha kipekee kama kukuza mtoto wako katika malezi ya baba na mama.
 
Kwa umri wangu huu (nimekula chumvi kiasi) nimeona na kujifunza mengi kuhusu mahusiano ya kimapenzi na ndoa. Nimeshuhudia vijana wengi waliokimbilia maisha ya ndoa wakipoteza muelekeo wa maisha muda mfupi tu baada ya kuianza hiyo safari ya ndoa!

Kutokana na mikasa na vitimbwi vya wanandoa wengi nilijipa muda wa kufanya utafiti mdogo usio rasmi kuhusu maisha ya ndoa na mwisho wa siku nikaibuka na majibu haya;-
1. Ndoa ni gereza la kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mwanaume (ndomana inaitwa pingu za maisha)

2. Ndoa ni mtego wa wanawake kuwatawala wanaume.

3. Ndoa ni chanzo cha magonjwa mengi kwa wanandoa hasa wanaume yanayopelekea vifo vyao (tuna mifano mingi ya wanaume waliopoteza maisha au kupata magonjwa mazito muda mfupi baada ya kuoa)

Kutokana na utafiti wangu huo usio rasmi nimeona niwashauri vijana wenzangu na wanaume kwa ujumla, Hakuna maisha ya furaha na amani ndani ya ndoa kama mnavyohubiriwa.

Ukitaka furaha tafuta pesa ujipe furaha mwenyewe (ukiwa na pesa utapata kila utakacho ikiwa ni pamoja na huduma zipatikanazo ndani ya ndoa)

Achaneni na upuuzi wa ndoa, yaani umtolee mahari, umtunze, uwatunze watoto, umlinde asikusaliti, umridhishe kitandani na bado mkiachana abebe mali zako?

Wabobevu mniambie ndoa ina faida gani kwa mwanaume? Je ni ngono tu au kuna kipi special?
#KATAANDOA
Huu ni upuuzi mwingine,kwani nje ya ndoa watu hawapati magonjwa?na swala la kutawaliwa na mwanamke,nicmtazamo tu WA hovyo.
Mo ameoa anatawaliwa na mkewe?GSM ameoa anatawaliwa na mkewe?
Ufumbuzi wa tstizo sio kulikimbia au kumuua mgonjwa,tafuta tiba.
Ni kweli ndoa ina majanga Mengi,unaoa leo kesho unafumania mkeo ameinamishwa na boyfriend wake wa zamani.
Swala sio kuacha kuoa,jiulize Hawa vijana wanaoingia kwenye ndoa wametoka wapi?Wana malezi gani?
Familia,ndoa ndio msingi wa Taifa,mtoto anaanza kujengwa kwenye familia,huwezi kuondoa ndoa kwenye mstakabali wa Taifa,
Vijana wapewe Elimu kuhusu ndoa kwwnza,
 
Ndoa ni nzuri kwa mwanamke , ila kwa kipindi hiki kwa mwanaume ndoa haina faida yoyote , yani hakuna mwanaume ananufaika na ndoa , Ronaldo ana mke ila hana ndoa , akifunga ndoa saiv itakua na faida kwa nan zaidi kutakapotokea changamoto?
Respect kwa msimamo wako mkuu. Haupingwi maana ni mtazamo wako. Respect
 
Sema watoto wa nje ya ndoa mnaukosefu wa maadili sana. Hivi kuna mtoto aliyezaliwa ndani ya ndoa yenye baraka atachukia kuwa na ndoa?
 
Natamani kuandika sana kwenye hili!

MFUMO wa kidunia wa kutaka Mamlaka ya kiume yashuke I'll changamoto za kimahusiano ziwe nyingi watu wasioane na KUWA na familia na hata kama familia iwepo isiyo stable unafanikiwa kwa kasi Sana!!

Ndoa imeshambuliwa na mifumo ya kisheria ambayo inaegemea UPANDE wa kikristo ambao sio UKRISTO HALISI bali Bandia!!

Wakati wanawake wanaota mapesa na MAJUMBA TOKA kwa wanaume wanaowaoa wanaume tunahofu na hatma ya ndoa mwanamke anaposhiba baada ya malengo yake kukamilika,ikumbukwe uchumi ndio KIMBILIO la wanawake WENGI kwenye NDOA ili watatue kero zao upendo pekee sio SABABU ya mwanamke kuolewa bali uwezo wa Mwanamme kipesa na kazi!

Sasa je kama huyu mwanamke akiridhika na matunda ya ndoa yake atatulia aongozwe au atataka kujiongoza awe Huru pia kuamua Maisha yake!!?

Haya yanayotokea kwenye ndoa nyingi yanatupa picha mbaya hasa wanaume na ku retreaty kwenye maamuzi ya ajabu ajabu kama haya Eti kataa NDOA!!

Viongozi wa Dini,serikali washiriki kutatua matatizo ya kimfumo katika ndoa ili kunasua Huu mkwamo wa kihisia na kifamilia uliopo! kuendelea kukaa kimya ni kuharibu TAIFA!

Mungu ibariki TANZANIA!!
Nilishaandikaga sana hapo nyuma namna mwanaume anaweza kupata mke mwema. The only way katika hii corrupted world, ukapata mke mwema ni kwa Mungu pekee. Na nikasema kabisa ili upate mke mwema lazima kwanza ukubali kusubmit under God's authority.

Mungu ndo atoaye jicho la ndani ili uweze kutambua nani ni mke. Katika maandiko ya imani yangu, neno linasema mke mwema ana thamani zaidi ya Ruby(Mith 31:10). Ikiwa wanaochimba madini wanafanya either ushirikina au kuomba Mungu (kama wapo) ili kupata madini na they mean business je si zaid mke mwema? Maana kama ana thamani kuzidi ruby, it means mke mwema ni very expensive.

Watu wanafunga biashara na kutenga siku kabisa ili fedha waikamate je si zaid mke mwema? Kumpata mke mwema ni nzuri zaidi kama utatafuta msaada wa kiroho ili umjue vizuri. Maana kuna makucha mwanamke anaweza kuyaficha ili ayaonyeshe baadae lakin Mungu aonae sirin lazima atakufunulia ikiwa umekaa nae vizuri. So ni lazima mwanaume asubmit under full authority of his Master ambae ni Bwana Mungu, ili apate kilicho chema.

Kuna ambao huwa wanaenda kwa waganga ili kujua kama mwanamke wa kuoa ndo huyu au siye. Sasa baadhi ya wanaume hawatafuti msaada kwa Mungu au basi upande wa pili watamjuaje mke mwema? Ndoa nzuri ni kipengele mno hasa nyakati hizi za mwisho. Bila msaada wa kiroho mambo hayataenda.

Wengne wataobject na kusema unaweza uonyeshwe na bado akaja kubadilika ni kweli. Lakin hata biashara, au fedha si ingeweza kuisha. Kama hauko tayari for the risks then dont marry or get married. Ndoa is for the strong. Only the strong shall win. Kila mtu apambane na chaguo lake.
 
Hivi kwani siku hizi majukumu ya mwanamke kwenye ndoa hayaonekani au

Yani wewe mke akupikie, akufulie, akulee, akuzalie na akulelee watoto wako, akupe unyumba na vingine vingi halafu bado uone hastahili mali zako sasa unataka umpe kitu gani

Hizo mahari mnazotoa anachukua mke au wanachukua wazazi/walezi wake na umeshajiuliza ni kwanini kwenye jamii zetu mwanamke anatolewa mahari

Yani ukitoa huduma ya kiuchumi kuna kipi kingine mwanaume anachoweza kumpa mwanamke, maana mkae mkijua hizi kampeni zenu za kataa ndoa kisa kukimbia majukumu yenu hamuwakomoi wanawake, bali mnazidi kufanya wanawake wasione umuhimu wenu na hili limeshaanza hivi sasa kwa baadhi ya wanawake

Hayo mapungufu ya kibinadamu kwenye ndoa huwa yapo tu, hata wanaume mna mapungufu yenu ila ni vile ya kwenu mnayaona madogo hivyo mnalazimisha yavumiliwe, ila ya wanawake mnayaona makubwa hivyo mnaona hawastahili kuvumiliwa

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app

wakati ww unapika na kufua mwanamme anakuwa amekaa tu ama, yeye hawajibiki kwa lolote
 
Kiukweli Niwe muwazi, naweza nikaja kuoa (baadae) lakini ndoa si kitu cha kukimbilia. Ikiwezekana sitaoa kabisa.

Kuna ule ujinga wanawake wa kisasa wanao, ukianza tu kufanikiwa anatafuta njia ya kuachana Ili mgawane mali. Na wale waalimu wanavyom-pump, utasikia

"Shogaang nenda ustawi wa jamii upate haki yako. Mpelekeko"


Fƍk marriage
 
Back
Top Bottom