Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

Kama ilikua inakulipa vizuri mkuu kwa nin uliamua kuajiriwa ?

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 

Duuuuh aise nadhani usafirishaji wa nguruwe inabidi uwe na gari lako la sivyo nadhani ni paper la Physics form six!
 
Duuuuh aise nadhani usafirishaji wa nguruwe inabidi uwe na gari lako la sivyo nadhani ni paper la Physics form six!
Hahaha
Nilikuwa nasafirisha usiku ( nguruwe hawawezi kuhimili jua la mchana kama umbali ni mrefu)

Kibaya zaidi ilikuwa lazima tuvuke na pantoni pale Busisi yaani fujo tupu humo ndani..

Anyway ndio maisha mkuu.
 
Usikurupuke kak utakuja Lia ..unasoma vxr na kumuelewa una let's mbuz unaacha unaenda watakutumia pesa na kukujulia kuwa umepata kilo ngap wkt haupo Apo achana na pesa za harakharaka
 
Hahaha
Nilikuwa nasafirisha usiku ( nguruwe hawawezi kuhimili jua la mchana kama umbali ni mrefu)

Kibaya zaidi ilikuwa lazima tuvuke na pantoni pale Busisi yaani fujo tupu humo ndani..

Anyway ndio maisha mkuu.

Ni kweli Mkuu haya maisha ni safari....nimependa sana upambanaji wako mkuu. Naamini Mungu anazidi kukufungulia milango ya baraka.
 
Ni kweli Mkuu haya maisha ni safari....nimependa sana upambanaji wako mkuu. Naamini Mungu anazidi kukufungulia milango ya baraka.
Asante mkuu,

Ni kweli, Mungu anaendelea kufungua milango tunasonga mbele
Hongera pia kwa mapambano mkuu.
 
Safi sana nimependa uchambuzi wako na biashara iko transaprency sio wale kenge wanaokujaga kujinadi oh ninaingiza laki 2 kila siku ila biashara anayofanya kusema hataki anawaringishia tu!

Anyway hii mfumo wake ni kama ule wa Nguruwe tu ukiwatoa mkoani na kuwapeleka kwenye machinjio special! Sema hii huwa wanaruhusu kwenda ukapimiwe kilo kila asubuhi akichinja mzigo wako una record kabisa kilo zilizopatikana kisha ukija ku compile mwisho wake unapewa cash yako tu.
 
Kuna kipindi kuna jamaa yangu alikuwa anafanya pia hii! Niliitamani sana kwa kweli ila mziki wake ni kuwasaka na kuwapata hao wadudu
 
Yah hawa ndio watu wanaotakiwa wawe wengi nchini ili tusonge mbele ila kibaya wamejaa wachoyo, roho mbaya na wazandiki tu! Mtu anakwambia tafta hela wewe ila mbinu hakupi 😅 shwaini kabisa kwani zinaokotwa hizo hela?
 
Biashara nyingi Tanzania za kilimo na ufugaji zinatesa watu na kukosa tija sababu ya kukosa uhakika wa soko! Hilo tu yani ndio maana kilimo watu wanaki bullshit!

Ila kungekuwa na maviwanda kama haya mengi ingepunguza sana tatizo la ajira!
 
Biashara nyingi Tanzania za kilimo na ufugaji zinatesa watu na kukosa tija sababu ya kukosa uhakika wa soko! Hilo tu yani ndio maana kilimo watu wanaki bullshit!

Ila kungekuwa na maviwanda kama haya mengi ingepunguza sana tatizo la ajira!

Kweli kabisa mkuu. Fikiria unapeleka mbuzi 100 kama mdau anavyotupa hesabu za kwenye karatasi mbuzi mmoja unachezea faida ya 5,000/--6,000/- ina maana haukosi 500,000/- kwa kipindi cha wiki moja. Ukiwa na mtaji hapo kwa mwezi 2M. Licha ya changamoto na ngarambe za hapa na pale, kama uhakika wa soko upo, bora mtu ajibanze huko.

Sijamsikia mrangi atie neno bado.
 
Yeah huko unakomaa napo tu kila week unaingiza hela yako nzuri tu
 
Nafatilia mkuu,ntatia neno

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…