Kama una Mume asiyechepuka, basi ana mojawapo kati ya sababu hizi

Kama una Mume asiyechepuka, basi ana mojawapo kati ya sababu hizi

Mnashindwa ku control hisia unakuta jitu limeenda bar, kaokota mdada pombe zimemkolea wanamalizana kwenye gari, kinga anakumbuka saa ngapi! Sijui mna shida gani. Ukitoka hapo unauleta kwa mkeo, mkeo nae hajui ananyonyesha mtoto anamuambukiza. Mbwa
Daaah kweli aiseee haya mambo haya.🥺🥺🥺🥺
Sijui kwanini baadhi yao wapo hivo hapa kweli nimekubali tunaongoza kwa huu ujinga..

Sema wengi ambao wapo hivi ni wale wanaume hovyo kabisa...
Maana wengine sisi hata kama tunafanya hivo ila tuna play safe mkuu
 
Daaah kweli aiseee haya mambo haya.🥺🥺🥺🥺
Sijui kwanini baadhi yao wapo hivo hapa kweli nimekubali tunaongoza kwa huu ujinga..

Sema wengi ambao wapo hivi ni wale wanaume hovyo kabisa...
Maana wengine sisi hata kama tunafanya hivo ila tuna play safe mkuu
Sasa sio magonjwa tu. Mda mwengine mnabeba na maroho machafu huko mnayaleta nyumbani unakuta unaanza kufilisika maradhi ndani hayaishi maana umeenda huko kuchanganya jasho lako na la kahaba. Men! Why?
 
Sasa sio magonjwa tu. Mda mwengine mnabeba na maroho machafu huko mnayaleta nyumbani unakuta unaanza kufilisika maradhi ndani hayaishi maana umeenda huko kuchanganya jasho lako na la kahaba. Men! Why?
Daah basi basi... Nimesikia sasa naahidi tabadilika 🙌🙌🙌🤝🤝🙏🙏🙏...
Now ntakua mwema naachana na hayo mambo kabisa naanza kuwa mwema haya mambo kumbe yana hasra nyingi kuliko faida dooh
 
Wengi wetu ni wahanga wa namba moja.

Nikiwa na laki tu, Abdallah kindonga anasimama dede.
 
kuna stage utafika ukiwa kijana tu utapata huna time wala kukumbuka mbususu kabisa, ukiamka shughuli mpaka jioni hoi , ukiona mwamba anakimbiza sketi jua ana time nyingi on his hand, ni stage tu itapita, kuna time naitiwa kabisa different women mpaka ma ex lakini naona time na mood hazipo
 
Hapo labla namba mbili ila moja maskini tena hao kwa ngono ni balaaa anazungusha kidude chake popote atakapo kubaliwa sawa,Wagonjwa sitaki hata kusema wanafia kwenye vidude vya watu.
 
1) Hana pesa

2) Ni Mwenye hofu ya Mungu.

3) Ni mgonjwa.

Nje ya hapo, bakora ni lazima😜😜
Uzoefu unaonyesha hofu ya Mungu siyo kizuizi cha binadamu kufanya maovu. Hivi kuna watu wanaojua undani wa Mungu na maandiko kama viongozi wa dini? Mbona wao ndiyo wanaongoza kwa kuchepuka? Kinachozuia mwanamme kuchepuka ni makuzi aliyopata na utamaduni wa sehemu aliyozaliwa na kikubwa zaidi tabia ya mke wake.
 
Kumbe marehemu alikuwa mhaya bwanaaaa😆😆 jina lake ni penina rwegoshoraaaaa😂😂
 
Hivi ni kwanini alafu hii ni serious ishu mkuu ujue...
Wanapenda mikiki na uke wenza.Wanawake wachache mnoo...... ndio wanapenda za walokole/good guy/nice guy.

Ndio maana maplayboy, wahuni na waume walio kwenye ndoa wanapendwa mno.

Nawaoneaga huruma good guy/church boy wanaotumiaga fedha ili kuwatuliza wanawake,halafu kuna wahuni hawatumii hata senti ila wanapewa bure.
 
Wanapenda mikiki na uke wenza.Wanawake wachache mnoo...... ndio wanapenda za walokole/good guy/nice guy.

Ndio maana maplayboy, wahuni na waume walio kwenye ndoa wanapendwa mno.

Nawaoneaga huruma good guy/church boy wanaotumiaga fedha ili kuwatuliza wanawake,halafu kuna wahuni hawatumii hata senti ila wanapewa bure.
Ahahahha tunakula bure mashangazi mkuu wala si uwongo 😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom