Kama una Mume asiyechepuka, basi ana mojawapo kati ya sababu hizi

Kama una Mume asiyechepuka, basi ana mojawapo kati ya sababu hizi

Weka na vigezo vya mwanamke asiye chepuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimjue huyu wangu mapema
Mwanamke asiyechepuka ni aidha
1. Ana hofu ya Mungu
2. Mchafu mchafu Hana mvuto
3. Kitandani Gogo Hana maajabu

.....we uoe mhaya maji mwa mwa mwa, au mmakonde miuno feni, au mzaramo mijudo misarakasi afu asichepuke?
Au how mrangi, mnyaturu, mbulu mtoto anawaka, anaita afu awe na wewe peke yake Kama roho?🀣🀣🀣🀣
 
Mwanamke asiyechepuka ni aidha
1. Ana hofu ya Mungu
2. Mchafu mchafu Hana mvuto
3. Kitandani Gogo Hana maajabu

.....we uoe mhaya maji mwa mwa mwa, au mmakonde miuno feni, au mzaramo mijudo misarakasi afu asichepuke?
Au how mrangi, mnyaturu, mbulu mtoto anawaka, anaita afu awe na wewe peke yake Kama roho?🀣🀣🀣🀣
😁😁😁 Uuuuh hapo kwenye mmakonde aiseeee umenifanya nikumbuke kitu daaah

Karoho kanabubujikwa machozi ya furaha aiseee
 
Mwanamke asiyechepuka ni aidha
1. Ana hofu ya Mungu
2. Mchafu mchafu Hana mvuto
3. Kitandani Gogo Hana maajabu

.....we uoe mhaya maji mwa mwa mwa, au mmakonde miuno feni, au mzaramo mijudo misarakasi afu asichepuke?
Au how mrangi, mnyaturu, mbulu mtoto anawaka, anaita afu awe na wewe peke yake Kama roho?🀣🀣🀣🀣
Hapo kwenye mzaramo majudo na masarakasi.. kwanj kuna tofauti ya mauno feni na hayo majudo !!!??
😁😁🚬🚬
Tajitahidi kupunguza maswali kwa mpigo
 
Pearl Watz....dada mwenye ndembe yake mjin
Sio ndembe tu pia ni og sio kama kina montana 😁😁😁
Screenshot_20240522-024355_1.jpg
 
Back
Top Bottom