Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Huyu now ana kigongo chake kipya yaani ni tomboy mmoja wa maana aiseee πππNdugu huyu dada kwanza anajijuaga analo...hata akiekt analisusa mwe mweeee....π§π§π§π§π§
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu now ana kigongo chake kipya yaani ni tomboy mmoja wa maana aiseee πππNdugu huyu dada kwanza anajijuaga analo...hata akiekt analisusa mwe mweeee....π§π§π§π§π§
Yaaan mi hawa ndo huwa wanafanya nashinda na nigeria movies kina chioma nhowaYan huyu nae....unampata Sarian Martin.....naye yuko fire
Number moja imenigusa1) Hana pesa
2) Ni Mwenye hofu ya Mungu.
3) Ni mgonjwa.
Nje ya hapo, bakora ni lazimaππ
Kijana una uhovyo sanaYaaan mi hawa ndo huwa wanafanya nashinda na nigeria movies kina chioma nhowa
Naanzaje namchokaje huyu kwa mfanoKijana una uhovyo sana
Mashangaz utaja yachoka tu
Mnashindwa ku control hisia unakuta jitu limeenda bar, kaokota mdada pombe zimemkolea wanamalizana kwenye gari, kinga anakumbuka saa ngapi! Sijui mna shida gani. Ukitoka hapo unauleta kwa mkeo, mkeo nae hajui ananyonyesha mtoto anamuambukiza. Mbwa
No .2 hapo nipoπ1) Hana pesa
2) Ni Mwenye hofu ya Mungu.
3) Ni mgonjwa.
Nje ya hapo, bakora ni lazimaππ
For me Malaya huwa nawaonaga Kama ma VEMPIRE πππMnashindwa ku control hisia unakuta jitu limeenda bar, kaokota mdada pombe zimemkolea wanamalizana kwenye gari, kinga anakumbuka saa ngapi! Sijui mna shida gani. Ukitoka hapo unauleta kwa mkeo, mkeo nae hajui ananyonyesha mtoto anamuambukiza. Mbwa
Nakubaliana na namba 2 na 3 tu.1) Hana pesa
2) Ni Mwenye hofu ya Mungu.
3) Ni mgonjwa.
Nje ya hapo, bakora ni lazimaππ
Kwahiyo hao mnaochepuka nao ndo sio malaya?For me Malaya huwa nawaonaga Kama ma VEMPIRE πππ
SichepukiKwahiyo hao mnaochepuka nao ndo sio malaya?
Duuh tisha sanaZIO WODE MKUHUUU GUNA WEGINE ZIZI NI WASDARABU
Hagunaga gitu gama hichoZIO WODE MKUHUUU GUNA WEGINE ZIZI NI WASDARABU
Wewe mwenyewe jinsi yako ni tataMleta mada wewe ni KE au ME?