Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

COMPLETELY v.s. FINISHED

No English dictionary has been able to explain the difference btwn the two words ‘‘COMPLETE’’ and ‘‘FINISHED’’. Some people say there is no difference btwn ‘‘COMPLETE’’ and ‘‘FINISHED’’, but there is.

When you marry the right woman, you are COMPLETE and when you marry the wrong woman you are FINISHED!

When your wife catches you with another woman you are COMPLETELY FINISHED and when your wife likes shopping so much, my friend you are FINISHED COMPLETELY!!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huko nchini SOMALIA kuna mtu amechepuka Mara moja tu na kuhukumiwa kupigwa mawe hadharani hadi kufa.
Hii sheria ikiletwa Tanzania itabidi serikali iagize kwanza mawe nchi za nje maana yaliyopo hayatatosha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jamaa alipata ugonjwa wa macho ukamsumbua muda mrefu kazunguuka hospital nyingi mpaka kakata tamaa basi akaja kuambiwa pana doctor anaweza kumtibu akaenda huko
Doctor :umehangaika muda mrefu sana ila hapa kwangu utapona
Jamaa :yaani doctor nikipona nitakupa nusu ya utajiri wangu
Doctor akaanza kufanya tiba baada ya wiki akamfumbua jamaa kitambaa kisha akamuuliza
Doctor :unaona nini?
Jamaa :sioni kitu
Doctor :alikuwa na nesi ambae pia ni mkewe yupo njema anaita rangi kama papai lililoiva na kigauni chake cha makusudi akamwambia aende mbele ya mgonjwa ainame kama anatafuta kitu basi huku doctor anamuuliza jamaa
Doctor :unaona nini hapo?
Jamaa :sioni kabisa lakini huku chini ghafla mpini ukamfyatuka kwa kumuangalia nesi mapaja yake
Doctor :akachukua panga acha mambo ya kijinga ungekuwa huoni ungeweza kudindisha nipe pesa yangu.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi ukiwa unaangalia habari huwa umeshaweka camera ya simu yako ready?[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Hili suala hata mimi huwa silielewi.
.
.
.
Au ni zile smart TV unaweza kurekodi kipindi au ku-pause!
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi ukiwa unaangalia habari huwa umeshaweka camera ya simu yako ready?[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Unakua una chart labda heheheee
 
ukiona mtu mwenye namba ya tigo anachati.... Ujue kasha jazwa
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ,,,, so anatumia mjazo wake…!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…