Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Hebu jiulize, umeshikwa na tumbo la kuhara mara chafya paaaap!
Ndugu yangu hapo ndio utajua wahenga walimaanisha nini waliposema mshika mawili moja humponyoka...!![emoji48][emoji38][emoji38]

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mzaramo mganga katangaza anatibu magonjwa yote kwa laki moja na usipopona anakupatia laki yako na anakuongezea laki.Mchaga kaona fursa hii.
Mchaga :naumwa ugonjwa sipati ladha ya chakula au kinywaji chochote.
Mzaramo :toa laki moja.
Mchaga katoa laki.
Mzaramo :nesi nipe kikopo namba 27.
Mchaga "akanywa na kutema prrruh huu ni mkojo kabisa.
Mzaramo :haya umepona
Mchaga :aka mind sana kuliwa pesa yake akaondoka kesho akarudi
Mchaga :nimepoteza kumbukumbu
Mzaramo :nesi nipe kikopo namba 27
Mchaga :sasa chalii yangu hicho si ndio kile cha mkojo ulichonipa jana?
Mzaramo :haya umepona.
 
Hivi ni nani aliyempa Khadija Kopa hadhi ya malikia wa mipasho Itakuwa hakuwahi kukutana na Wazaramo, Wazaramo wana mipasho [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Khadija Kopa anasubiri miaka 100[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke wangu alisajili lain mpya jina la Jenifer Godson bila mimi kujua.
Jana usiku nimerudi home akaniomba elfu 10 akasuke.
Nikajibu cha ten sina, zuia buku 2.
Wakati tumelala, msg ktk simu yangu trii:
"HI MY LOVE".
Kidume nikatoka nje naenda toilet, nikaijibu:
"we nani"
MSG: ni mim Jane Msambwanda".
Kusikia Sambwanda, mshipa wa samsing ukanicheza.
MIMI: Jane Msambwanda wa wap tena?"
MSG: Bwana baby nawe,si pale unapokulaga kila siku?"
MIM: "ooh,kumbe unaitwaga Jenifer, namba yangu umeipata wapi?
MSG: "nimepewa na rafiki yako dj tipwil, nakupenda sana hendsam sema huwa naogopaga kukwambia, ila mi sijiwez juu yako, yaani kila ukija kula, nataman usiondoke, nikwambie yaliyomo moyoni mwangu, nanitesa mwenzio"
MIMI: Jamani pole mpenzi, hata mm nilikuwa nakupenda, yaan kila nikiona hilo tako, nahis mzunguko wa damu kuchange, I luv u 2 honey. MSG: Basi mpenzi ,nikuombe ki2?"
MIMI: aah,sema tu
MSG: naomba elfu 50
MIM: nakutumia sasa ivi"
(NIKATUMA)
MSG: Waaoo asante mume wangu, haya rud ndani tulale, mi mkeo MAMA KIDUKU hapa

[emoji134]‍♂[emoji134]‍♂[emoji134]‍♂

hapo ndo utaukumbuka wimbo wa dunia lukumbalukumba[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Tutulie kwa dakika mbili tuwaombee Watoto na wadogo zetu wa kike wenye umri kati ya miaka 13 - 18 wanaodhani maboyfriend zao watawaoa.

[emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji3]
[emoji125][emoji125](by[emoji173])[emoji125][emoji125]
 
Khadija kopa ni mzaramo mama yke ndio mtu znz baba yke ni mwenyeji wa kisarawe alienda znz kufanya kazi ndio akapatikana bi Khadija omary kopa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikwenda bush kwa bibi enzi hizo maji ilikuwa kuoga kisimani sasa jioni tulikuwa unakwenda kuoga kisima kiko chini bondeni na kijiji kiko juu.

Tumemaliza kuoga tulikuwa na mshikaji anaitwa John yeye ni mtoto wa uncle anaish pale kijijini. Kumbe kuna wabaya wake walikuwa wanamlia timing wamdunde wakatukuta mlimani walipoanza khmtia ambush John wote tulikimbia kupandisha mlima. Tulijua hatuwezi kwenda home bila John ilibidi tusubiri John adundwe kwanza.

Tulipoona dakika kumi zimepita tuliita Joohn pigwa haraka twende.
 
Umeamua kunitangaza huku ndugu yangu,mi nilishasahau kma nilidundwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] duuh huyu baba kabila gani Sonia lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeonja ya
Maureen
Beatrice
Stella
Evelyne
Glory
Lizz
Leah
Norah
Diana
Eliza
Nancy
Edinah
Judy
Gladys
Caro
Finna
Ann

na zote ni tamu sjaona tofauti, ziko same na nashukuru kampuni ya Coca cola kwa kuweka majina yenu kwa vifuniko za soda[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya camp tulikuwa tanajiandaa na mashindano ya umisseta ngazi ya taifa sasa pale camp palikuwa na mwalimu wa netball mfupi hivi kajaliwa nyama ila tatizo alikuwa mnoko sana yaani saa kumi alfajiri yeye tayari anakuja kutuamsha waungwana tukatafuna jambo hilo kwa kina kisha azimio likapita. Asubuhi anakuja kuamsha faster mtu akamfungulia mlango akiwa kavaa safi tu nae anapita katikati ya vitanda wale watu sita wa kila upande walikuwa wamejifunika shuka kuanzia kitovuni kupanda juu kiubaridi cha subhy MIPINI imesimama ikabidi afunge break na huo ndio ulikuwa mwisho wa kuja kutuamsha alikuwa anasikika akilalamika tu lile bweni washenzi sana.
 
Ilitokea kama hii kwenye shule ya secondary o level & a level boarding boys tupu, librarian binti umri wa kutamanisha single lady, ukiwa unatoka library anataka akusachi mpaka mifuko ya kaptula,! Wanafunzi waka toboa mifuko halafu wakaelekezea dudu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*U CANNOT give a woman everything she needs. If God Himself gave them eyebrows, they shave it and draw their own. God gave them nails, they cut it off and fixed their own, God gave them* *hair, they cut it off and fixed their own,He gave them breast, they repackage it to what they want, God still gave them buttocks ,they arrange it to the size they want.*
*If even God can't satisfy them then who are U to think that you can please them ? [emoji23][emoji23]. My brother don't kill yourself*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…