Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahahaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
*Mwezi wa 11 mwaka uliopita, kuna mtu alinitumia Tshs 50,000/= akapandishwa cheo kazini ,Rafiki yangu wa zamani akanitumia Tshs 75,000/= akashinda bahati nasibu,Mwingine akanitumia Tshs 100,000/= muda si mrefu akaolewa. Sikwambii unitumie hela ila fikiria baraka walizopata walionitumia hela baada ya hapo fanya maamuzi SAHIHI...*
[emoji23] [emoji23]
 
Ndoa ilio acha watu mido mo wazii !!!!/
Bwana harus
Alipo ulizwa unakitu gani kama ishara yaupendo wenu.?
Akafungua zipu akaitoa nakuanza kuingiza kwa mkewe polepole.
Biarus nae akaing'ang'aniza.hadi ikaingia yote bac watu wote pale wakashangilia kwanguvu nakupiga makofi. Kwani wao hawakuamini kwajinsi ambavyo ilikua inaingia ile
PETE YA NDOA .
Sija penda ulicho fikiria.
[emoji23] [emoji23]
 
Hatar saaan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…