Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

*Umebanwa na tumbo la kuhara, mara paap! Chafya hii hapa*

My friend hapo ndiyo utawaelewa wahenga waliosema "mshika mbili moja humponyoka!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu unaua mtu huku!! nimecheka mpaka machozi aisee!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwenye hospitali ya vichaa,
mwandishi wa habari akamwuliza daktari:

"Wewe huwa unatambuaje mgonjwa huyu ni wa kulazwa, na huyu si wa kulazwa "?

Daktari akajibu:
"Kuna njia nyingi ... kwa mfano naweza kujaza maji kwenye sinki la bafuni, nikamwekea hapo kijiko cha mezani,
kikombe na ndoo;
Kisha nikamwagiza amwage maji yote
yaliyo kwenye sinki.

Mwandishi: "Bila shaka aliye timamu
atatumia ndoo .. . Maana ndoo ndiyo
kubwa! Si ndivyo? "

Daktari: "Hapana! Mtu mwenye akili timamu atafungulia koki ya chini ya sinki!
Tafadhali na wewe nenda kalale kitanda Namba-39 .. . Nitakuja kuendelea
kukuchunguza zaidi! "
.
Hahhahaaa! Hivi kweli na wewe pia uliwaza ndoo?
Basi, kitanda chako ni Namba-40 !!
#Natania_tu
#Kwanza_me_naongea_na_simu
 
Leo nilikuwa na stress basi unaambiwa nikachukua Bomgo movie nikaanza kuangalia Part 2, then nikaangalia Part1[emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mpaka sahivi bado sijaielewa hiyo movie, kumbe kabla ya kuangalia nilivuta bangi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
WanaJf , nige penda kuwa kuwakaribisha kwenye sikukuu ya christmass kila kitu kitakuwepo isipokuwa tu una takiwa

Kuwahi maana
Ndo utakuwa MPISHI WETU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…