Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Umenichekesha sana!!!!!!!siku ya harusi ya ex wangu siwezi kuacha kuhudhuria aisee maana ntacheza hadi karibu ya keki yao ntaipiga teke makusudi halafu nawaambia bahati mbaya [emoji23][emoji23] sipendagi kusalitiwa mimi
[emoji39] [emoji39] Vp nije? Mi mpishi mzuri sana jikoni hadi kwingine[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]WanaJf , nige penda kuwa kuwakaribisha kwenye sikukuu ya christmass kila kitu kitakuwepo isipokuwa tu una takiwa
Kuwahi maana
Ndo utakuwa MPISHI WETU
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Vikaka vifupi vikinywa pombe vinawahi kulewa kwa sababu ubongo wao upo karibu na tumbo
Ulipokuwa sekondary akaja mtu wa chuo akamchukua mpenzi wako, ukaenda chuo akaja mtu anayefanya kazi akamchukua mpenzi wako, ukapata kazi akaja mwenye gari lake akamchukua mpenz wako, ukanunua gari akaja mtu aliyeoa akamchukua mpenzi wako, ukaamua uoe kinakuja kiben10 cha chuo kinamchukua mke wako
Padri Mcharo sijao kichekesho chako mkuuVichekesho vyako havichekeshi.
Kudadadeki! Umeua!*Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa...*
*Trust me Kuna wanawake wangekuwa wanaishi misituni mda huu.....*
*Wanavyopenda hela* [emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]siku ya harusi ya ex wangu siwezi kuacha kuhudhuria aisee maana ntacheza hadi karibu ya keki yao ntaipiga teke makusudi halafu nawaambia bahati mbaya [emoji23][emoji23] sipendagi kusalitiwa mimi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85]Wanawake wenzangu msidhani kila mwanaume aliyevaa suit ni tajiri wengine ni wasabato
mm naomba upande wa pili nikupe wwUkikuta mwanaume kashona shati la kitenge muulize ....upande mwingine kashon nani
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji134] [emoji134]TUNGESHAFIKA 2018 SEMA TU WATU WANENE WANATEMBEA TARATIBU
[emoji3] [emoji1] [emoji3] [emoji1] [emoji3]Daaaaaaaah
Wazazi wengine wanaandika MBWAMKALI kwenye geti lao kama binti wao ana miaka 18..
Binti akifika miaka 30 na hajaolewa wanapabadilisha na kuandika TUNAUZA BARAFU
Daaaa jamaa nimecheka kwa sautiii aiisee hadi watu wamenishangaaDogo wa miaka 8 alishtakiwa kwa kubaka.Mahakamani,wakili wake ambaye alikuwa ni wa kike,alikatoa kauume ka dogo nje kama ushahidi na kukashikilia,akasema"ndugu hakimu angalia,anaweza kubaka kweli?yaani haka tuu?"...dogo akamnong'oneza wakili wake,"usikatingishe,tutashindwa kesi!!
Kangeamka kabisa kuonesha umahiri wa kaziDaaaa jamaa nimecheka kwa sautiii aiisee hadi watu wamenishangaa
Mmmm, sitaki kuwa shahidi!Wapendwa nipo leba, kuna Maria kaletwa ngoja nikamzalishe[emoji3][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji23]
Maria wapo wengi sie huyo unaemfikiria[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]