toroka uje mjini
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,584
- 2,111
Duh!*UKIONA HUWEZI UMIA TENA KWENYE MAPENZI KAMA ZAMANI JUA UMESHAANZA KUWA MALAYA*[emoji3][emoji3][emoji124]♂[emoji124]♂[emoji124]♂
Daaaaah Kuna kaukweli hapa*UKIONA HUWEZI UMIA TENA KWENYE MAPENZI KAMA ZAMANI JUA UMESHAANZA KUWA MALAYA*[emoji3][emoji3][emoji124]♂[emoji124]♂[emoji124]♂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi:
SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako…
Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
Akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea:
BOSS: Bibie ulivyoona geti wazi je uliona prado v8 langu lime paki ndani?
SECRETARY: Hapana Boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili yaliyoisha upepo!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Saizi sekretari anakabidhi mafaili nadhani anapelekwa Ulaya[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Stress ni nini
Stress ni pale upo kuelekea kazini kwa bahati mrembo anakuomba lift
na bahati mbaya hali yake inabadilika unamkimbiza hospital, baada ya muda doctor anatoka anakwambia hongera, unajiuliza hongera ya nini ana kwambia mkeo ana mimba una tahamaki na kumwambia doctor huyu sio mke wangu lakini kale kadada kwa sauti ya nyororo kanamwambia doctor ni mimba yake, unapanic doctor anakwambia hebu njoo nikupime baada ya mida doctor anatoka anakwambia ni kweli mimba sio yako unashusha pumzi lakini anakwambia nilivyokupima nimegundua huna uwezo wa kudharisha unapatwa na mshitiko na kupata na big stress na kufikiria kama sina uwezo wa kudharisha wale watoto watatu nilio nao ni wa nani.!!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]*WASICHANA_WA_LEO:
*Jamaa yupo ndani ya Range Rover yake mpyaaa na msichana ambae ni mpenz wake
*Jamaa*: Kuna siri flani nimeitunza moyoni mwangu kwa muda mrefu na nikaona kama nitakuambia lazima utaniacha
*Msichana*: Siri gani iyo mpenz wangu?
*Jamaa*: Nimeoa
*Msichana*: *Weee* *umenishtua sana, mimi nilifikiri hili gari sio lako!*
Wadada akili zao wanazijua wenyewe....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]When a girl starts posting Bible verses just know she's pregnant
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Ladies if you tell your boyfriend your problems and he is like "what are you going to do" then my sister know that you are dating one of your problems[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]