Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

😛...that thing is within his pant jombaa, alas!!!!😀😀😀😀
 
Nyie mnao sema mapenzi yanakosesha usingizi mnawajua KUNGUNI[emoji124][emoji124][emoji124][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nhahahhaa


DOXA
 
*Nakumbuka mtihani wa la saba unaanzaga kama masihara hivi!*


*19+87=*

*219-45=*

*12×34=*

*59÷7=*

°°°°

*Afu huko mbele sasa kuanzia swali la sita saba hivi, Utajuta:*

*Ndege inatoka Dar saa tatu kwenda chato.Land cruiser VX linatoka chato saa nne kwenda Dar.*

*Ikiwa spidi ya ndege ni 350 km/saa na ya Land cruiser VX ni km 220/saa, na Umbali wa chato -Dar ni km 900, Zitakutana saa ngapi?*

*Sa mi ntajuaje?!*🤷🏽‍♂🤷🏽‍♂🤷🏽‍♂

*Na hizi tochi zote Barabarani, na Matuta, Kuchimba dawa, kunywa chai !!!!*
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*BREAKING NEWS*
-Hatimaye Makonda kujiuzuru. Muda mfupi uliopita jiji la Dar es salam limetikisika baada ya Makonda watatu wa kampuni ya mabasi ya LETE RAHA kujiuzuru na kusababisha usumbufu kwa abiria.

-Hata hivyo abiria wamemuamuru dereva kupeleka basi hizo ktk kituo cha polisi cha central kwani wanadai chenchi kwa Makonda hao
 
1. Hata panga iwe kali aje haiwezi kata kiu.

2. Hata uwe na magari mia, choo utaenda kwa miguu

3. Hata uwe fundi aje huwezi repair breaking news

4. Hata uwe mweupe aje shadow yako bado itakuwa nyeusi

5. Hata uwe mrefu aje huwezi ona kesho

6. Hata redio yako iwe noma aje haiwezi shika police station

7. Hata uwe kinyozi hodari aje huwezi nyoa vichwa vya habari

8. Hata uwe na bahati vipi huwezi okota nyumba

9. Hata uwe mfupi aje hauwezi shindwa kuruka mwaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…