Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

*Dem [emoji1469]‍♀ mwembamba akinitumia picha ya mwili wake..... . Yaan huwa ananikumbushaga biology katika topic ya skeleton [emoji879]......Na Baki tuu kuhuzunika....[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]*

_Mwili hujengwa kwa kula sio kwa make up
 
*If a guy takes you out for a romantic date on Tuesday and Wednesday nights this season instead of watching UEFA Champions League, it's Not love.*
*He's an Arsenal or Chelsea fan*[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji38]
IMG-20180912-WA0005.jpg
 
*Nakumbuka mtihani wa la saba unaanzaga kama masihara hivi!*


*19+87=*

*219-45=*

*12×34=*

*59÷7=*

°°°°

*Afu huko mbele sasa kuanzia swali la sita saba hivi, Utajuta:*

*Ndege inatoka Dar saa tatu kwenda chato.Land cruiser VX linatoka chato saa nne kwenda Dar.*

*Ikiwa spidi ya ndege ni 350 km/saa na ya Land cruiser VX ni km 220/saa, na Umbali wa chato -Dar ni km 900, Zitakutana saa ngapi?*

*Sa mi ntajuaje?!*🤷🏽‍♂🤷🏽‍♂🤷🏽‍♂

*Na hizi tochi zote Barabarani, na Matuta, Kuchimba dawa, kunywa chai !!!!*
Swali lako la ndege na VX kwenda na kutoka Chato, limekushushia hadhi kwa kiasi kikubwa, it is as if you were in dreams. Swali halina jibu kwa sababu ndege na gari do not use the same path. Kama NECTA wanatoaga maswali ya namna hii, then they are fools as well.
 
KWANINI UFE MASIKINI?

BEI YA FIGO NI MILIONI 500-900
UZA FIGO MOJA KWA MILIOMI 700
CHUKUA MILIONI 500 KABETI MECHI 2 ZA ODDS 2.4 MFANO MPE BAYERN WIN NA BARCA WIN
UTAPATA KAMA BILION 2.1
CHUKUA MILIONI 700 KANUNUE FIGO URUDISHIE
UTABAKIWA NA BILIONI 1.4 JUMLISHA NA ZILE MILIONI200 ZILIZOBAKI BAADA YA KUBETI INAKUWA BILIONI 1.6

Hafu mseme sikuwashauri![emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Back
Top Bottom