Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]If girls can easily cheat on soldiers, who carry AK47 [emoji379][emoji379][emoji379],,bombs and grenades [emoji378][emoji378]....Who do u think u are with a laptop and earphones........[emoji442][emoji1522][emoji335]
Faya eksitingwisha [emoji16][emoji16][emoji16]...GIRL IN A SEX SHOP
Girl: Where is the artificial penis section
Salesman: That corner
Girl: How much for this big Red one ?
Salesman: Sorry Madam that is a FIRE EXSTINGUISHER
Ladies and greediness [emoji23][emoji23]
That's 💯 trueEvery high school has that annoying security guard who acts like the principal
Faya eksitingwisha [emoji16][emoji16][emoji16]...
Ngoja nikavisake vichekesho vingine...
Meta Trader 4
[emoji38] [emoji38]Aisee mbona unatutisha.. hizi mambo huku hatutak hata kuziskia..[emoji1]
Nikimuona wallah ntamchapa viboko ameleta sababu ya mgomo wa ugali usiku nyumbani kwangu.Tena mwambie nitamtekaHivi yule aliyegundua hii combination ya wali na maharage ni nani,
Nataka nimnunulie champagne
Swali lako la ndege na VX kwenda na kutoka Chato, limekushushia hadhi kwa kiasi kikubwa, it is as if you were in dreams. Swali halina jibu kwa sababu ndege na gari do not use the same path. Kama NECTA wanatoaga maswali ya namna hii, then they are fools as well.*Nakumbuka mtihani wa la saba unaanzaga kama masihara hivi!*
*19+87=*
*219-45=*
*12×34=*
*59÷7=*
°°°°
*Afu huko mbele sasa kuanzia swali la sita saba hivi, Utajuta:*
*Ndege inatoka Dar saa tatu kwenda chato.Land cruiser VX linatoka chato saa nne kwenda Dar.*
*Ikiwa spidi ya ndege ni 350 km/saa na ya Land cruiser VX ni km 220/saa, na Umbali wa chato -Dar ni km 900, Zitakutana saa ngapi?*
*Sa mi ntajuaje?!*🤷🏽♂🤷🏽♂🤷🏽♂
*Na hizi tochi zote Barabarani, na Matuta, Kuchimba dawa, kunywa chai !!!!*
Swali lako la ndege na VX kwenda na kutoka Chato, limekushushia hadhi kwa kiasi kikubwa, it is as if you were in dreams. Swali halina jibu kwa sababu ndege na gari do not use the same path. Kama NECTA wanatoaga maswali ya namna hii, then they are fools as well.