Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Sitasahau siku nilipotoka nyumbani saa kumi na moja jioni nikiwaacha wanapeta mchele๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ lakini niliporudi saa mbili nilikuta ugali mezani๐Ÿ˜ฐ๐Ÿ˜ฐ๐Ÿ˜ฐ๐Ÿ˜ฐ. Nilihuzunika๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”๐Ÿ˜” sana na sito sahau.
 
Bila shaka upo elementary school co badae tunakukuta kwenye viwanja vya wakubwa ukdai umesoma Uni na ww
 
*Soko la korosho lipo hapa hapa nchini suala ni kumpanga daktari mmoja aseme korosho zinaongeza nguvu za kiume*

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

*Haichukui hata wiki tatu korosho zote zinanunuliwa na wanaume wa Dar*

[emoji2441][emoji2441][emoji2441][emoji2441][emoji2441][emoji2441][emoji2441][emoji2441][emoji2441][emoji2441][emoji2441][emoji2441][emoji2441]
 
Kichaa baada ya kukuta folen kubwa ya maji,akawadanganya wa mama,yaani nyie mmekalia foleni ya maji wenzenu wanagawana nyama kuna gali limegonga ng'ombe kumi[emoji23][emoji23][emoji23]wamama wote mbio[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]kwenda kwenye nyama,walipotoka akachota ndoo moja,nae akatoka mbio kwenda kwenye nyama akisema inawezekana ni kweli[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Three robbers break into a bank, but when they open the safe, they find only boxes. One robber opens a box and finds cups full of yogurt. "We didnt find any money, but we got something to eat," he tells his partners. They eat their fill and leave. The next mornings newspaper headline reads, "Worlds Largest Sperm Bank Robbed."
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mungu wangu
 
Mke baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji mme wake kalazimika kuvumilia kwa zaidi ya miezi mitatu bila kufanya tendo la ndoa hadi akaanza kutokwa vipele usoni kama mvulana pamoja na vijipu. ๐Ÿ˜ณ Wanaume sisi ni wavumilivu sana kuliko wanawake.๐Ÿ™Š Baada ya mke kuona vile akawa anamuonea huruma sana mme wake. Mke akaamua kuchukua elfu 30 akampa mme wake akamwambia aende akatafute mwanamke ili amalize hamu zake ila akamwambia mme wake kuwa "NAOMBA LAKINI UTUMIE KINGA USIJE UKAAMBUKIZWA MAGONJWA" Mme akapokea zile pesa kwa furaha akiwa haamini na kuondoka huku akimshukuru sana mke wake kwa moyo wake wa huruma. ๐Ÿ˜‹ Baada ya saa moja kama na robo, mme akarudi akiwa anatabasamu sana huku akionekana mwepesi na mchangamfu๐Ÿ˜„ *Mke:* vipi mbona umewahi sana kurudi? Mme akajibu akisema: "Sijaenda mbali sana, nimefanikiwa kupata hapo jirani tu kwa mama MONIKA, si unajua mme wake hayupo amesafiri? kwa hiyo nilivyo mwambia tu akakubali maana na yeye alikuwa na hamu kwa kuwa hajafanya siku nyingi kutokana na mme wake kuwa safarini" *Mke:* Basi kama ni hapo kwa mama Monika naamini amekupa bure kwa kuwa ni jirani yetu, kwa hiyo pesa zipo wapi? *Mme:* Hapana alikataa kukubali kwa bure na nilimpa elf 10 akasema haitoshi kwa hiyo nikampa tu yote ndo kakubali" *Mke:* Kumbe mama MONIKA ana roho mbaya hivyo? Yeye mbona alipo jifungua mwanae MONIKA nilimpa mme wake bure, yeye ameshindwa nini kukupa bure? ******************************* Hadi muda huu bado mme hajaongea chochote na naona amelala chali wanampepea, sijui itakuwa ni uchovu wa safari au uchovu wa mechi !
 
During sex some ladies be like
aki woooiye Baibe usinimwagie ndani[emoji35][emoji35][emoji35]
My sister do you think its easy to jump out from a running vehicle[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ