Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Siku fulani hivi, Mwanandoa mmoja mpya aitwaye Paulo (sio jina lake halisi), alikuwa akirudi nyumbani toka kazini mida kama ya saa mbili usiku huku mkewe akimsubiri. . Wakati akiwa njiani, Paulo alimuona msichana mmoja mrembo akiwa amesimama peke yake barabarani akisubiri daladala. . Mr. Paulo, licha ya kuvutiwa na urembo wa yule msichana, pia, huruma ilimwingia na kuamua kusimamisha gari ili amsalimie na ampe hisani ya lift. . Lakini yule msichana hakuonesha ushirikiano wowote, Paulo aliendelea kumbembeleza japo kupokea salamu tu lakini dada aliweka ngumu na kuanza kuondoka eneo lile. Paulo akaanza kumfuata kwa nyuma. Hii ni kwa kuwa alikuwa akimuonea huruma asije shambuliwa na wahuni na pia, kwa ajili ya kutuliza tamaa yake ambayo ilishamwingia. Ghafla yule binti akasimama na kumgeukia Paulo. Kisha akamwambia. "Boss najua unanifuatilia na najua ni nini unachotaka kutoka kwangu." . Paulo akatabasamu na kisha akachukua simu yake na kuizima, maana, mkewe alikuwa akimpigia mara kwa mara kiasi cha kumsumbua. . Yule msichana akamwambia, najua unanitaka kimapenzi. Basi, nitakubali nikalale na wewe endapo utakuwa mwema kwangu pamoja na kunijali. Paulo akamuahidi kuwa, kwa hilo tu wala asijali maana yeye ndiye Sultan Suleman Khan wa himaya ya Ottoman! Akajitapa kuwa anajua kupenda na atamthibitishia hilo. . Akamchukua, wakapanda kwenye gari na kumpeleka kwenye hoteli nzuri iliyokuwa karibu na eneo lile. . Wakiwa ndani ya chumba cha hotel, Paulo akavua nguo zake zote. Kisha, akaanza kumvua na yule binti. . Wakati akiendelea kumvua, mara akaona kitu cha ajabu kwa yule dada. Ambapo, hakukitegemea kabisa kukiona maishani mwake. Kitu ambacho kilimfanya ajutie tabia yake ya uzinzi..... . Bado unasoma stori hii? . Lengo langu ni wale wasiopenda kusoma post ndefu wapate tabu, sasa sijui namna gani niimalize hii stori yangu ya uongo...😂😂 . Hata hivyo, unaweza kunisaidia kuumalizia uongo huu....... 🏃 🏃 .
 
Siku fulani hivi, Mwanandoa mmoja mpya aitwaye Paulo (sio jina lake halisi), alikuwa akirudi nyumbani toka kazini mida kama ya saa mbili usiku huku mkewe akimsubiri. . Wakati akiwa njiani, Paulo alimuona msichana mmoja mrembo akiwa amesimama peke yake barabarani akisubiri daladala. . Mr. Paulo, licha ya kuvutiwa na urembo wa yule msichana, pia, huruma ilimwingia na kuamua kusimamisha gari ili amsalimie na ampe hisani ya lift. . Lakini yule msichana hakuonesha ushirikiano wowote, Paulo aliendelea kumbembeleza japo kupokea salamu tu lakini dada aliweka ngumu na kuanza kuondoka eneo lile. Paulo akaanza kumfuata kwa nyuma. Hii ni kwa kuwa alikuwa akimuonea huruma asije shambuliwa na wahuni na pia, kwa ajili ya kutuliza tamaa yake ambayo ilishamwingia. Ghafla yule binti akasimama na kumgeukia Paulo. Kisha akamwambia. "Boss najua unanifuatilia na najua ni nini unachotaka kutoka kwangu." . Paulo akatabasamu na kisha akachukua simu yake na kuizima, maana, mkewe alikuwa akimpigia mara kwa mara kiasi cha kumsumbua. . Yule msichana akamwambia, najua unanitaka kimapenzi. Basi, nitakubali nikalale na wewe endapo utakuwa mwema kwangu pamoja na kunijali. Paulo akamuahidi kuwa, kwa hilo tu wala asijali maana yeye ndiye Sultan Suleman Khan wa himaya ya Ottoman! Akajitapa kuwa anajua kupenda na atamthibitishia hilo. . Akamchukua, wakapanda kwenye gari na kumpeleka kwenye hoteli nzuri iliyokuwa karibu na eneo lile. . Wakiwa ndani ya chumba cha hotel, Paulo akavua nguo zake zote. Kisha, akaanza kumvua na yule binti. . Wakati akiendelea kumvua, mara akaona kitu cha ajabu kwa yule dada. Ambapo, hakukitegemea kabisa kukiona maishani mwake. Kitu ambacho kilimfanya ajutie tabia yake ya uzinzi..... . Bado unasoma stori hii? . Lengo langu ni wale wasiopenda kusoma post ndefu wapate tabu, sasa sijui namna gani niimalize hii stori yangu ya uongo...[emoji23][emoji23] . Hata hivyo, unaweza kunisaidia kuumalizia uongo huu....... [emoji125] [emoji125] .
Muone vile, ukalale huko.

Au Paulo ndiye Yule aliyemkuta mdada mwenye nanihii [emoji3][emoji3][emoji3]
 
IMG_5024.JPG

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mara ghafla baba yako mzazi aliye kijijini anakupigia simu "hivi mdogo wako Mariam anaendeleaje? " unamjibu yuko vizuri tu Anaendelea vyema na Chuo..... (Baba anaamua kukupa angalizo) mwangalie sana mdogo wako asije akafanya mambo ya Amber Rutty.. [emoji23][emoji23][emoji23] Unagundua baba ameangalia...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo nimikamatwa na Trafik akaniandikia faini,kosa,!!! Gari langu linatoa saaana moshi,ati ni uchafuzi wa mazingira
Bila ya kusita na mimi nikajieleza kuwa gari langu linatumia injin ya kuni
Sasa nani hapo alaumiwe[emoji3]

Sipendagi ujinga mie[emoji1321]‍♂️
 
Shabashiii
Siku fulani hivi, Mwanandoa mmoja mpya aitwaye Paulo (sio jina lake halisi), alikuwa akirudi nyumbani toka kazini mida kama ya saa mbili usiku huku mkewe akimsubiri. . Wakati akiwa njiani, Paulo alimuona msichana mmoja mrembo akiwa amesimama peke yake barabarani akisubiri daladala. . Mr. Paulo, licha ya kuvutiwa na urembo wa yule msichana, pia, huruma ilimwingia na kuamua kusimamisha gari ili amsalimie na ampe hisani ya lift. . Lakini yule msichana hakuonesha ushirikiano wowote, Paulo aliendelea kumbembeleza japo kupokea salamu tu lakini dada aliweka ngumu na kuanza kuondoka eneo lile. Paulo akaanza kumfuata kwa nyuma. Hii ni kwa kuwa alikuwa akimuonea huruma asije shambuliwa na wahuni na pia, kwa ajili ya kutuliza tamaa yake ambayo ilishamwingia. Ghafla yule binti akasimama na kumgeukia Paulo. Kisha akamwambia. "Boss najua unanifuatilia na najua ni nini unachotaka kutoka kwangu." . Paulo akatabasamu na kisha akachukua simu yake na kuizima, maana, mkewe alikuwa akimpigia mara kwa mara kiasi cha kumsumbua. . Yule msichana akamwambia, najua unanitaka kimapenzi. Basi, nitakubali nikalale na wewe endapo utakuwa mwema kwangu pamoja na kunijali. Paulo akamuahidi kuwa, kwa hilo tu wala asijali maana yeye ndiye Sultan Suleman Khan wa himaya ya Ottoman! Akajitapa kuwa anajua kupenda na atamthibitishia hilo. . Akamchukua, wakapanda kwenye gari na kumpeleka kwenye hoteli nzuri iliyokuwa karibu na eneo lile. . Wakiwa ndani ya chumba cha hotel, Paulo akavua nguo zake zote. Kisha, akaanza kumvua na yule binti. . Wakati akiendelea kumvua, mara akaona kitu cha ajabu kwa yule dada. Ambapo, hakukitegemea kabisa kukiona maishani mwake. Kitu ambacho kilimfanya ajutie tabia yake ya uzinzi..... . Bado unasoma stori hii? . Lengo langu ni wale wasiopenda kusoma post ndefu wapate tabu, sasa sijui namna gani niimalize hii stori yangu ya uongo...[emoji23][emoji23] . Hata hivyo, unaweza kunisaidia kuumalizia uongo huu....... [emoji125] [emoji125] .
 
Hahahaaaaaa mmmmmmmhhh
Beyonce anamiliki mabilioni ya pesa,anatuzo 22 za grammy award ana magari makali na ni maarufu duniani kote...ila akisalitiwa kimapenzi na bwana wake Jay z anaombwa msamaha yanaisha...wewe Faustina mwakipesile unayemiliki tekno y3,earphone na chupi kubwa tatu na umaarufu wako unaishia mtaani kwenu hapo Manzese,ukisalitiwa ukaombwa msamaha unakataa eti "golden chance never come twice" hivi unajua maana ya gold?
 
Beyonce anamiliki mabilioni ya pesa,anatuzo 22 za grammy award ana magari makali na ni maarufu duniani kote...ila akisalitiwa kimapenzi na bwana wake Jay z anaombwa msamaha yanaisha...wewe Faustina mwakipesile unayemiliki tekno y3,earphone na chupi kubwa tatu na umaarufu wako unaishia mtaani kwenu hapo Manzese,ukisalitiwa ukaombwa msamaha unakataa eti "golden chance never come twice" hivi unajua maana ya gold?
Aah kwenda huko
 
Mouthology

A Professor was traveling by boat. On his way he asked the sailor:
“Do you know Biology, Ecology, Zoology, Geography, physiology?
The sailor said no to all his questions.
Professor: What the hell do you know on earth. You will die of illiteracy.
After a while the boat started sinking. The Sailor asked the Professor, do you know swiminology & escapology from sharkology?
The professor said no.
Sailor: “Well, sharkology & crocodilogy will eat your assology, headology & you will dieology because of your mouthology.
Hahaaaa jamaniii huku stress freee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiii nitavunjika mbavuuu
Mtoto alimuuliza babake:
MTOTO: Baba, eti sisi wanadamu tulikuja vipi duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa. Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika akamfuta mamake)

MTOTO: Mama, eti sisi wanadamu tulikuja vipi duniani?

MAMA: Wanahistoria wamesema sisi tulitokana na nyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi kwa baba)

MTOTO: Baba mbona mama anasema sisi tulikuwa nyani mwanzo?Au wanidanganya?

BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo wao...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA. Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika nyumbani. kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao. Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi, akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani" mama"hee embu tuoneshe mwanangu" jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?" wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili" akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu mezani" baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA
 
RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu

JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu

RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana

JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.

RAFIKI: Nini tena?

JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia

RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?

JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, “Huyo nguruwe umeshamuondoa?’
 
Back
Top Bottom