Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Mtumishi wa MUNGU mmoja akiwa kwenye gari alisimamishwa na Trafic Police,police akiwa anahitaji rushwa alianza kuuliza maswali mengi, mara mbona gari lako linatoa moshi mwingi? mbona gari lako matairi yameisha, hatimaye polisi akamuamuru padre waende nae kituoni. Njiani polisi alimuuliza , umesema wewe ni Mtumishi wa MUNGU, je unabiblia ndani ya gari, akajibu ndio ninayo, polisi akamuambia , pack ...gari pembeni na unipe biblia. Mtumishi akapaki gari na kumpa biblia yule polisi,Polisi akasita kupokea, akamwambia Mtumishi 'fungua na usome Mathayo 5:25-26 "Mtu wa Mungu akasoma ": "Patana na Mshtaki wako upesi,wakati uwapo pamoja naye njiani: yule mshtaki asijekukupeleka kwa kadhi na kadhi akakupeleka kwa askari,ukatupwa gerezani. " Amin nakuambia,Hutoki humo kamwe hata uishe kulipa senti ya mwisho" Mtu wa Mungu akampa yaliyo yake kaizari. Polisi akatabasamu na kusema 'msifanye migumu mioyo yenu".. Enenda kwa amani