Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Hahaha [emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3][emoji4] angejua huyo nguruwe ni nan....
 
Ahhh!!!! [emoji3][emoji3][emoji3]
 
TAFITI: Wapenzi Wengi Wanaokutana Katika Mitandao Ya Kijamii Instagram, Facebook, Whatsupp Mara Nyingi Hufanya Mapenzi Siku Ya Kwanza Wanapoonana, Hii Hutokana Na Story Zao Nyingi Kwenye Charting Huwaga Ni Kukutana Kimwili๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž
 
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card na kijimfuko cha dhahabu" Mtangazaji akasema, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anakusikiliza? Jamaa akajibu; hapana, ninaomba kumuombea dedication wimbo wa R.Kelly usemao "U SAVED ME" umfikie popote alipo!!
 
Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochatiโ€ฆ Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyuโ€ฆ. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext: "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomu๐Ÿ’ฃ lilipukeโ€ฆ najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sanaโ€ฆ" Yule jamaa akajirusha dirishaniโ€ฆโ€ฆ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…
 
Haya mabango ya barabarani yataniua Jamani naombeni mnisaidie nipo natembea kwa mguu katika kutembea kwangu nimekuta kibao kimeandikwa punguza mwendo mimi mwendo nimepunguza ila kwa mbele tena nikakuta kibao kimeandikwa taratibu mbele kuna kona kali nikatembea mwendo wa kinyonga cha ajabu zaidi nimekuta tena kibao kimeandikwa tembea spid 30 apo ndio sijaweza kujua mwendo ninio tembea ni spidi ngapi ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ
 
Katika kikao cha familia, kichaa wa hiyo familia alisimama kabla wengine hawajaongea nakusema: nashangaa kuona hali ya familia yetu,naona kama inalaaniwa mana katika familia hakuna hata mbunge,askari, mwanamuziki; yaani mimi mwenyewe nisingekazana hata kichaa asingekuepo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kikao kiliishia hapo mana kila mtu aliondoka
 
Swali: KULOGWA NI NINI? Jibu: Kurogwa ni Pale unapotembea Kilometa 10 Kwenda kazini.. Unafika kazini kwako unagundua kuwa funguo za ofisi umeziacha home.. Unarudi home ukiwa na hasira na unaamua kuliacha begi Mlangoni pa ofisi.. Unafika home na unakumbuka funguo za nyumbani umeziacha kwenye begi Mlangoni pa ofisi.. Unarudi ofisini kuchukua funguo za mlangoni.. unaamua kuchukua begi lenye funguo na kurudi nalo home. Unafka home na unatoa funguo za mlangoni ktk begi. Ndipo unagundua kuwa funguo za ofisi pia zipo katika begi!!
 
Mtu anaweza vaa chupi hata ya Shs. 3,000 Ila kumvua sasa hiyo gharama yake ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Kuna chips Kuna kuku Kuna castle light kama sio savana Kuna bajaj Kuna hotel Ukipiga gharama zake unanunua pikipiki mpyaaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
wewe ni kijana umeoa unaish na mkeo kwa aman na furaha jion moja anakweleza kuwa kuna marafiki zake watakuja kesho yake kumsalimia๐Ÿค๐Ÿคunakubaliana nae kuwa ni vyema tu asbh na mapema unatoka unaenda kazin mchana ukiwa mizunguko unakutana na wadada wawili wakiwa ktk maongezi yao ukayaskia bila kukusudia kwa uchache* dada 1; _hv ulisema shost nae alikuganda umfanyie mipango ya zile dawa?_ dada 2: _aliniganda kama nn๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œnkaona nimsaidie tu na ndo hvy nampelekea_ *ukaendelea na mizunguko yako mpk mda ukarudi nyumbn ile kuingia ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณunakutana na wale wadada wakicheka na kugonga na mkeo ukaanza jiuliza maswali????? ghafla mkeo akakutambulisha kuwa ndo wagen aliokua akiwasubiria na anashukuru kutwa nzima wamempa kampan ukiwa bado unajiuliza na kushangaa mkeo anakukaribisha chakula akidai wao walishakula umebakia wewe tu utachukua hatua gan?
 
Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!! Kawaida kila msanii lazima ajitambulishe, mfano:- ''YEAH NI TEMBA hapa au YEAH NI CHEGE hapaโ€ฆ!!! Yeye akasema: "YEAH NIKINYA HAPAโ€ฆ!!!" Watu wakapiga kelele ''UTAZOAAA'' mwenyewe bwenge wee
 
Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia: Mkulima: Baba yako yupo? Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini. Mkulima: Mama yako? Mtoto: Nae kaenda mjini na baba. Mkulima: Kaka yako Howard yupo? Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa. Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu. Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ