Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

hiyi imenimaliza kudadadeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uvivu wabongo tumeanza mbali muone huyu baada ya kuchoka kusali Kila siku akaamua kuandika Sala kwenye karatasi na kubandika ukutani kwa hiyo ukifika muda wa kulala akawa anasemaje"ee Mungu Kama kawa pale ukutani AMINA" Kisha analala😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
kwenye gari tulikuwa kibao mpaka wengine mlangoni likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka kupanda Konda- bibi twende sit kibao mpaka utalala Bibi - oooh sawa mjukuu wangu Konda - simama tu apo wanashuka mbele Bibi - akacheka sana tu Konda- mbona unacheka bibi Bibi - mjukuu wangu hawa wote hawashuki wanakufa apo mbele Watu- simamisha gari Saivi bibi kabaki mwenyewe amelala sit ya nyuma😂😂 😁😁😁😂😂😂
 
Hahaha...ku-babake wallah
 
Majambazi baada ya kuvamia na kufanikiwa kuiba ng'ombe wote si wakamchukua masai na kumfunga kamba kwenye mti kisha kuondoka zao.
Asubuhi palipokucha watu wakamuona masai kafungwa kamba si wakaenda kumfungua kisha kuanza kumpa pole.Nasai akajibu pole mpeni huyo ndama maana alidhani hii naniliu yangu ni chuchu ya mama yake yaani kainyonya usiku kucha kanipigisha bao 7 yaani hapa nilipo mwili wote unavuta.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahahaha mpaka pen wamefunga kamba
 
Hahahaha
 
hahahhahahahaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mshkaji wangu ametangaza kuacha bhangi baada ya kuvuta na kupita kambi ya jeshi kijiti cha ukweli akaanza kuwaita wajeda nyinyi sio askari ni migambo flan tena sungusungu tu baada ya hapo hakumbuki kilitokea nini ila alijikuta hospital anamuona mama yake na dada yake .Mama akamwambia dada ameamka mpozee uji anywe jamaa akaropoka nimejifungua mtoto gani? bimkubwa wake akazimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…