Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Hahahaha kwisha habari yako
Waliniweka ndani sijui ndio kunaitwa {vyombo vya nyumbani vya plastik} au peni=cello[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sema nimependa zile kaunta zao, nzuri sana kukaa na kunywea BIERE[emoji481] [emoji481] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ZUZU1: Nimesikia kuangalia porn kwenye internet tcra wanakufunga eti ni kweli?
ZUZU2: Ndio ni kweli, kwanini umeniuliza?
ZUZU1: Basi mi tcra hawanipati
ZUZU2: Kwanini?
ZUZU1: Basi mi nyumbani nimejenga banda la bata madume ninao 3 majike 9 , then mbuzi ninao majike 12 na beberu 4 na paka ninao majike2 na madume 6.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Situmii bandooo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jaman maombi yenu, nmetoka kununua maembe sokoni kwa kuwa nlikuwa sina chombo cha kubebea muuzaji kaniwekea kwenye box, ndipo safari ikaanza. Nlipopita karibu na kituo cha Police ghafla nikasimamishwa tena kwa sauti kubwa "wwe simamaaaaa pumbavu" nikatii sheria ile naulizwa umebeba nn, kabla cjajibu nikapewa kofi moja takatifu, ndo nikaambiwa haya jibu sasa nikawaambia maembe nikapulizwa kofi tena. Baada ya wale Police kulifungua lile box wakakuta kweli ni maembe, kumbe yule muuzaji aliniwekea maembe kwenye box lililoandikwa "KIROBA ORIGINAL". [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndugu zangu saivi mwe makini na mabox mnayobebea mizigo yenu[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Wiki iliyopita niligombana na mke wangu, sasa wazee wa kijiji wakaja nyumbani ili kusuluhisha, kabla ya maongezi nikawauliza wanatumia sigara gani then nikamtuma dogo dukani kuwanunulia lakini nikamwambia zote azimikss na cha Arusha.
Kabla ya kunisuluhisha ikabidi waanze kuvuta ili kuongeza busara, baada ya dakika 10 kilichofuatia
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nikisema AIREEE!!! Wanajibu wote JAAAH[emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi ni RAS Sipendi ujinga[emoji34] [emoji34]
 
KUNA HII...

Kwenye Nchi Zingne Mtoto Akianguka
Utasikia "OOH MY BBY ARE YOU HURT"?*
*Tanzania Utasikia" USIMWANGALIE ATAANZA KULIA HUYO"*
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mbavu zangu.
 
Malaya kaenda kwa daktari bingwa wa upasuaji na kutaka atobolewe tundu jingine kwenye papuchi. Daktari ikabidi amuulize kulikoni, akajibu "Bishara imechanganya nataka nizindue tawi jipya[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
```Wanaume walikuwa kwenye semina wakaulizwa, mara ya mwisho kumwambia mkeo unampenda ni lin? Wengine wakasema leo asubuh, wengine muda sio mrefu. Muwezeshaji akawaambia kila mmoja sasa hivi amuandikie mkewe sms amwambie nakupenda mke wangu halafu badilishaneni simu kila mmoja asome majibu ya mwenzake. Majibu yalikuwa hiv:

1. Unaota au? [emoji102][emoji780]

2. Umekumbwa na nn? [emoji32][emoji780][emoji780]

3. ??!! Makubwa![emoji32][emoji779][emoji779][emoji779]

4. Utanieleza hii sms ulikuwa unamtumia nani[emoji19][emoji36][emoji379][emoji379][emoji779][emoji779]

5. Leo sikusamehi najua kuna kitu.[emoji34][emoji34][emoji19][emoji379][emoji375][emoji378][emoji380]

6. Huyo ulienae ndo kakwambia unitumie hii sms?[emoji19][emoji19][emoji34][emoji779][emoji780][emoji780]

7. Najua tu tayari kuna kitu umeharibu.[emoji19][emoji108]

8. Wewe sema unachotaka.[emoji53][emoji136]

9. Leo hunipati ng'o![emoji135][emoji126][emoji779][emoji779]

10. Nani mwenzangu[emoji15][emoji780][emoji780]

Mwanamke yupi alitisha hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]```
 
Ahahah, namba 10 katisha eti nani mwenzangu
 
Yaani ukitoka hapo ni full stress
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…