Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

 
Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajalibu kupapasa uviweke sawa mala taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama hukushiba ungesema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaamua kwenda ukweni kuwasalimia inafika usiku wanakupa chumba cha kulala unabanwa haja ndogo usiku unaamua kuamka kwenda chooni bahati mbaya unaingia jikoni kwa kuwa taa imezimwa unaparamia viombo vinaanguka ile hujui nini cha kufanya mara taa inawashwa kungalia mi mama mkwe anakwambia kama hukushiba siungesema tu baba......!
Hapo ndio utajua ukweni si kwenu
 
Leo nimepita sehemu moja hivi mara nikaona mtoto mmoja mkali sana huku akimbembeza jamaa mmoja wa hali ya chini amkubalie wawe wapenzi yani yule demu kambembeleza jamaa lakini jamaa kakataa nikaamua nijaribu bahati yangu nikaenda pale alipo yule demu na huyo jamaa nikafika nikampigia magoti yule demu nimbembeleze awe wangu........kabla hata sijaanza nikasikia sauti kali ikasema kutoka upande mwingine cut.... Cut... Kugeuka nikakuta kundi la watu limenikodolea nakwambia nimeondoka hapo mikono nyuma aibu niliyonayo naijua mwenyewe...!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji119]
 
We ni nomaaa
 
Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagonga mlango wake takribani masaa mawili,wakati hapa anaishi peke yake, kwakuwa sipendagi ujinga nimetoka nikamwambia mwenyewe kasafiri.Nae kaondoka.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pombe siyo chai!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sanaaaa..

Asante stress zimepungua 20%
 
Jana nimepewa kazi ya kuandika DUKA LA DAWA MUHIMU sasa boos kaja kasema hanilipi nimeandika vibaya akaondoka sasa nimeamua kufuta MUHIMU nimeweka KULEVYA Niko home nasikia vin'gora bilashaka kuna mgonjwa ameletwa

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…