Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Uwe unanua mbegu upande mwenyewe, ziwe kutoka huko; hapo ndio utapata ule udambwi dambwi halisi...[emoji23] [emoji23] [emoji763] [emoji124]
Hahahaaa,, freyzmen naAlibakari mtakua ndgu nyie,, sio kwa sigara hiziii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mzee baba kwa ii mvua ya DSM??????[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
hahaa shenzi kabisa
 
WADADA NAFASI ZA KUTONGOZWA ZIMETOKA BAADA YA WENYE VYETI FEKI KUONDOLEWA KAMA UPO SERIOUS HUJAPATA MWANAUME PLEASE NJOO PM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukitaka kujua kweli wanaume tumeumbwa mateso we usivae boksa[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] then kwa bahati mbaya ubanwe na zipu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dadeki kama hutoimba acapela kwa sauti #1
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
 
LEA na RAHELI waliolewa na house boy(YAKOBO.) wa baba yao mzee LABANI
SIPORA aliolewa na mchunga kondoo(MUSA,) wa baba yake mzee YETHRO
sasa nyinyi wadada hizo nyumba na magari na kazi nzuri mnazotaka wakaka wawe nazo mmezitoa kwenye biblia ipi,,
EMBU MUWE MNASOMA NA AGANO LA KALE JAMANI..,,,,
[emoji3][emoji3][emoji108]
 
Kila siku nikiona makalio ya nyani huwa sipati picha[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] afadhali watoto wetu mashuleni wanakaa kwenye madawati maana nilikuwa nahisi na wao makalio yao yangefanana na makalio ya nyani kwa kukalia mawe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Bangi hupelekea nithink positive [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hahaaaaa pole
 
aha haaa a aaaa du
 
Kawaulize wazazi wa lucky vicent
 
Hahahaaaaa
 
*JE WAJUA?*
*Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganisha kope za macho na sehemu ya kutolea haja kubwa (anus) ndo mana kila ukijaribu kubana jicho moja sehemu ya haja kubwa hufunguka bila kutarajia?*

*nawaona cheki unavojaribu...utakuja kunya buree jaman....[emoji23][emoji23]*

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…