Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Basi Bayern Munchen walivo na roho mbaya,utawaona mwakani na wao watatolewa kwenye makundi ili mradi tu wakacheze na Arsenal Europa[emoji51][emoji51][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Basi Bayern Munchen walivo na roho mbaya,utawaona mwakani na wao watatolewa kwenye makundi ili mradi tu wakacheze na Arsenal Europa[emoji51][emoji51][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mkuu kumbe ulikuwa unaota? Nilidhani ilikuwa ni live
 
*ET ALIYEWAHI KULA JEURI YAKE ANIAMBIE LADHA IKOJE NA MIMI NILE KWASABABU NASIKIA TU WATU WAKIAMBIWA UTAKULA JEURI YAKO*

*Wahenga agizeni coca baridii nitalipa bill*
Chungu balaaa[emoji23][emoji23]
 
MKE; (kachukua simu akaanza kuongea kwa hasira),mume wangu uko wapi mpaka mida hii saa 4 za usiku?

MUME; Mke wangu unalikumbuka lile duka la urembo ambalo tuliukuta ule mkufu wa dhahabu ambao ulisema unaupenda sana halafu nikakwambia sina hela ila nikasema ipo siku nikipata hela nitakununulia?

MKE; Yes,yes napakumbuka dear,enhee niambie mume wangu!

MUME; Okay sasa kwa nyuma yake kuna bar,nipo nakunywa hapa![emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
 
 
Mwifwa bhanaaa, mbona unanifanyia hivi mtt wa mwenzio ucku wote huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…