Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

We mpuuz kweli hahahah
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji4] [emoji4] [emoji4] yeuwii da we jamaa Nouma sipati picha siku nikikuona[emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji4] [emoji4] [emoji4] yeuwii da we jamaa Nouma sipati picha siku nikikuona[emoji23]
Ukiniona nitakuwa nishavuta, macho mekundu(nyanya) na nitakuwa sikukumbuki tumeonana wapi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
 
Na mbegu watoe...
Mi mbegu huwa natengeneza kashata, kama zile za ufuta[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
 
Mi mbegu huwa natengeneza kashata, kama zile za ufuta[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
Huo ubunifu ni mzuri, hizo safi sana ukishushia na bapa...[emoji763] [emoji763] [emoji124] [emoji124]
 
Bapa linaongeza IQ, kijiti kina boresha IQ...
Ongeza IQ wewe...[emoji14] [emoji23] [emoji763] [emoji124]
Kweli?[emoji15] [emoji15] basi ngoja nikalitafute sahv mana hapa nilipo leo nina kiu balaa, nimevuta sana hadi mwili unawasha[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
MSUKUMA hata afanye kazi benk, atasema bado yupo kibaruani...! Sasa ngoja MPARE afanye kazi kwenye mashine ya kusaga na kukoboa, UTASKIA... " I work as a crushial engineering in a monocotyledon fydelyzing company.. [emoji112][emoji114][emoji114]!... Wapare popote mlipo agizeni[emoji493][emoji503][emoji504]! ntakuja kulipa
 
Una date na DJ alafu unashangaa ana ku cheat

We mtu anaweza kuchanganya nyimbo 25 kwa dakika moja Atashindwa kukuchanganya na wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha huyo atakua mimi.
 
Ebanaeeee, inatosha aseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…