Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

18013609_1888835294719204_523746943642370048_n.jpg
 
Ok ahsante afadhali nishapata cha kumuongopea maana ningeumbuka[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi nilijua kanga ni GUINEAFOWL [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nimevuta kidogo tu leo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha[emoji23][emoji23]sasa io kanga ya kuvaa au kanga mnyama
 
Thanks guys, u made my day[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kuna harusi moja niliwahi ishuhudia maeneo ya Jang'ombe{Zenji} Mila za kizenji bana we acha tu!
[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Bwana harusi kwao Morogoro baada ya kufungishwa ndoa si akapigwa ngumi kidogo mgongoni[emoji38] kah!! Unaambiwa alinyanyuka na kuanza kutembeza kichapo baada ya dakika 5 watu wote hoi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kumbe bwana harusi mjeshi alihisi wanamjaribu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Ngoja nika[emoji377] kwanza

[emoji23] [emoji23] [emoji23] narudi[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wadau samahani msaada wa haraka tafadhali:


Ninapika pilau hapa. Sasa nimesahau kidogo. Hivi nikishaweka mahindi nini kinafuata?
[emoji23] [emoji23] kumbe hata huku huwa unafika Mr loserpool
 
Sijui kwanini wanawake wagumu sana kuelewa. Mke wangu aliondoka nyumbani na kumwacha mtoto wetu Wa kiume Wa miezi 6 akilia mnooo. Dada Wa kazi akambembeleza weeee hakunyamaza. Akamwimbia hakunyamaza. Akaamua kutoa nyonyo zake na kumpa mtoto. Mwanangu akanyamaza pale pale. Akiwa anamnyonyesha Mimi nikaingia. Nikamuwakia dada. " unataka kumuambukiza mtoto magonjwa?[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] [emoji35]. "Hapana baba hayatoi maziwa Mimi nimempa tu anyamaze!!" . " kweli hayatoi?". Nikaamua kuthibitisha. Nikamtoa mtoto na nikawa nanyonya Mimi. " ahaa kweli hayatoi. Hebu hilo kingine! Nalo halitoi?. Mara wife kaingia.nikamwambia kuwa nafanya uchunguzi Wa nililolikuta. Hakuamini. Hebu niambieni. Wapi nimekosea? Kufuatilia afya ya mtoto ni kosa? Wanawake acheni hizo!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom