Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

WAFU wawili walikuwa wakipiga story huko...r.i.p
Mfu 1😱y
mfu 2😱yo
mfu 1:mwenzangu ulikufaje?
mfu2:story ndefu,kwa kifupi niliingia kwenye friji ikajiloki nikakosa hewa nikaganda nikafa!
mfu 1:duh inasikitisha
mfu 2:we ulikufaje?
mfu 1:mshtuko wa moyo
mfu 2;tobaaaa,chamno?
mfu 1;nilirud nyumban ghafla nikakuta viatu vya mwanaume sebuleni,na vile wife alivokuwa na waswas nikajua kuna mwanaume ndani,nikazunguka nyumba nzima chumbani choon bafuni jikoni,lakini ckumuona,nikapatwa na mshtuko wa moyo nikafa!
mfu 2:ayaaaaaa ungefungua friji tungekuwa hai wote leo!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Jana nilikula bakuli 4 za maharage.Demu wng akanipgia cm kunialika dinner home kwao,nikaenda.Nlipofika akanikumbatia kwa bashasha vile hakuamini km ningeenda,akaniambia "fumba macho,nna suprise kwako!".Nikafumba,akanifunga kitambaa cheusi usoni halaf akaniongoza had sebulen kwenye kiti.Mara cm yake ikaita chumban,akaniomba aende kuipokea ila akanisisitiza nisifungue kitambaa.Akaenda kupokea cm.Yale maharage nilokula yakanikoroga tumbo,likajaa gesi.Nikajibinua kwa kushoto nikapunguza gesi kidogo.Harufu ilikuwa kali,nikachukua leso mfukon nikapungapunga hewa kupunguza harufu huku nikiwa makini kusikiliza mazungumzo ya cm chumban.Nikajibinua kwa kulia nikaachia makombora matatu ya kimya kimya.Harufu ilikuwa mbaya zaid ya kabeji na maharage yalochacha.Nikachukua leso nikapukuta pukuta hewa.Mara simu ikakata huko chumbani,dem akaja,akaniuliza "hujafungua kitambaa kweli?",kwa sura isiyo na hatia nikamjibu,"hakyamungu sijafungua".Akanifungua.Ghafla wageni 12 akiwemo baba na mama yake wameketi huku wameziba pua!!
 
Nipo kwenye daladala hapo sasa gari imezima ghafla, kuna abiria amesuggest kuwa konda amejamba [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Jana nilikula bakuli 4 za maharage.Demu wng akanipgia cm kunialika dinner home kwao,nikaenda.Nlipofika akanikumbatia kwa bashasha vile hakuamini km ningeenda,akaniambia "fumba macho,nna suprise kwako!".Nikafumba,akanifunga kitambaa cheusi usoni halaf akaniongoza had sebulen kwenye kiti.Mara cm yake ikaita chumban,akaniomba aende kuipokea ila akanisisitiza nisifungue kitambaa.Akaenda kupokea cm.Yale maharage nilokula yakanikoroga tumbo,likajaa gesi.Nikajibinua kwa kushoto nikapunguza gesi kidogo.Harufu ilikuwa kali,nikachukua leso mfukon nikapungapunga hewa kupunguza harufu huku nikiwa makini kusikiliza mazungumzo ya cm chumban.Nikajibinua kwa kulia nikaachia makombora matatu ya kimya kimya.Harufu ilikuwa mbaya zaid ya kabeji na maharage yalochacha.Nikachukua leso nikapukuta pukuta hewa.Mara simu ikakata huko chumbani,dem akaja,akaniuliza "hujafungua kitambaa kweli?",kwa sura isiyo na hatia nikamjibu,"hakyamungu sijafungua".Akanifungua.Ghafla wageni 12 akiwemo baba na mama yake wameketi huku wameziba pua!!
Uliact kama Mr Bean
 
Nimetoka kuvuta bangi kwa kutumia karatasi ya dictionary sasa ivi naona kama inflontorious equilvatendental evdenciazactal factoriality TUNAELEWANA?[emoji3][emoji3][emoji3]
 
1751424947517249631.jpeg
 
*Tangu nizaliwe sjawahi kuona mke wa rais akiwa na mimba wewe umewahi kuona wapi*?
[emoji962]‍♂[emoji855]
Hahahahhhhh kweli man au sis sio wafuatiliaji? Lakn inawezekan marais weng huupata tayar umri mkubwa bhan miaka 50 kuendelea.
 
nimeingia bafuni na mke wangu akanambia nimfanyie kitu hajawahi fanyiwa

me nikampaka sabani ktk macho saiz yupo analia tu, hatuongeleshani wala nini

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]​
 
Muuza maziwa kaja kunigongea mlango asubuhi mapema na kuniambia leo ana maziwa mazuri sana, nikamwambia nipatie lita 5, wakati ananipimia ile kuyacheki nikakuta maziwa kama yana mafuta ikabidi nimuulize;
Mimi: Hivi haya maziwa si itakuwa ya ngombe jike?
Muuzaji: Inawezekana kabisa ikawa hivyo, ulijuaje?
Mimi: Si nimeona yana mafuta
Muuzaji: Itakuwa ya ng'ombe jike haya, hata mimi nimeona

Alipoondoka ndio ikabidi nicheke tu maana kumbe sote tulivuta bangi asubuhi.
*hakuna maziwa ya ngombe dume[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
*CAMERAMAN WA ENZI HIZO....* [emoji57][emoji57]

Makamera man walikuwa majeuri
kishenzi yaani! Kwanza unakuta hii
Kamera ina likamba fulani jeusi
inaning'inizwa shingoni.....
Kameraman ana kabaskeli kake hapa...
nyuma kana begi lina picha za watu ambao hawajamaliza madeni.
Kamera man anakupiga picha leo
anakwambia picha yako utaipata panapo
majaaliwa mkanda ukijaa... unaweza
kusubiri miezi miwili...
Enzi hizo kamera man ndiye anayekupangia pozi gani ukae ili upigwe....
Kamera man anampanga hadi baba yako
mzazi kwenye picha hahahahah! Baba
anakuwa mpoleeee! Kamera man anapita na kabaskeli kake
watu wanamuita anaringa huyoooo!....
ukute msimu wa sikukuu mnaweka oda
kwa kameraman wiki mbili kabla....... akija
anaanza kwanza kula pilau na soda yake
ipo amehifadhiwa.... baada ya hapo ndo anapiga picha......
Enzi hizo picha inatoka umefumba
macho, na unailipia... sio siku hizi mtu
anapiga picha mia anachagua moja ndo
anaipost mtandaoni......
*Enzi hizo sisi watoto* *tukililia picha tunapigwa* *flash kilio kinaisha*
*hapohapo.......* [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] duuh
 
siku kama ya leo sio lazima sana kuoga ila wale wanaojifanya kujua usafi ndo vimbele mbele wa kuoga leo

sisi tunaojua umuhimu wa afya tunawaangalia tu 😵

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]​
 
wanaume wenzangu yaliyowakuta kwa RC Makonda hebu nambieni namba yake inaishia na ngapi......tupendane

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]​
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom