Kama una tabia hizi 10, huwezi kamwe kufanikiwa kwenye maisha

Kama una tabia hizi 10, huwezi kamwe kufanikiwa kwenye maisha

Labda ungeainisha ni aina ipi ya Mafanikio unayoyazungumzia. Being Successful it's a perspective statement/ Word. Kila mtu anatafsiri mafanikio yake kutokana na imani yake au desire. Mafanikio hayana Universal meaning...Je kwa mujibu wa mada yako unazungumzia Mafanikio yapi?

-Ndugu zangu Ma-Budha wanaamini Mafanikio ni kufikia Vast spiritual Enlightenment wao wanaita Nirvana
-Kwetu Stoics na Cynics tunaamini mafanikio ni kufanikiwa kutojishikiza katika materials au aina yoyote ya Emotions.
-Wakatoliki tunaamini Mafanikio ni kufa kifo cha utakatifu ili uweze kufika mbele za Bwana.
-Ndugu zangu wachaga wanaamini Mafanikio ni kua na pesa miiiingi sana
Hapa uli list vizuri sana

Je kwa watanzania wanaamini mafanikio ni nini ?? Mbona hukuweka


Mtoa mada unazungumzia Mafanikio Tangible au non tangible... Spiritualphysical au mentally?
 
Labda ungeainisha ni aina ipi ya Mafanikio unayoyazungumzia. Being Successful it's a perspective statement/ Word. Kila mtu anatafsiri mafanikio yake kutokana na imani yake au desire. Mafanikio hayana Universal meaning...Je kwa mujibu wa mada yako unazungumzia Mafanikio yapi?

-Ndugu zangu Ma-Budha wanaamini Mafanikio ni kufikia Vast spiritual Enlightenment wao wanaita Nirvana
-Kwetu Stoics na Cynics tunaamini mafanikio ni kufanikiwa kutojishikiza katika materials au aina yoyote ya Emotions.
-Wakatoliki tunaamini Mafanikio ni kufa kifo cha utakatifu ili uweze kufika mbele za Bwana.
-Ndugu zangu wachaga wanaamini Mafanikio ni kua na pesa miiiingi sana

Mtoa mada unazungumzia Mafanikio Tangible au non tangible... Spiritualphysical au mentally?
Kuna Personal Succesful ndio unazungumzia offcrourse ni kila mtu ana mafanikio yake.

Kuna define ya jamii hii jamii yenyewe ina tafsiri na utaijua kwa kuangalia tatizo kuu lililopo kwenye jamii husika nini hasa...kwa define hii tunapata tatizo kuu walilo nalo wa Tz 99% umasikini mkubwa that why tunapoongea in public Lugha ni Mafanikio/Utajiri, Utajiri/Mafanikio hii ndio Majority Eyes kwenye Mafanikio.....huwezi tenganisha mafanikio na utajiri Tz kwa uchambuzi huu.
 
Hawa ndo wale wanaopita na vitabu mitaani vyenye kanuni za jinsi ya kuwa tajiri 😀😀😀😀😀
Moja ya njia ambayo mtu yeyote anaweza kuitumia kutoka chini na kufanikiwa sana ni mauzo (sales).
Kama huna pa kuanzia kabisa, basi tafuta chochote na kiuze.
Jenga ushawishi na uza kama kichaa.
Mkuu kamwe usimdharau salesman yeyote yule, unaweza kuona anauza kitu cha kijinga, lakini akawa anapata kamisheni nzuri kuliko mshahara wa mtu anayekaa ofisini.
Japo unaweza kuwabeza na kuwacheka wanaouza vitu unavyoona siyo vya hadhi yako, jua kuna thamani wanatoa na kuna kitu wanaingiza.
Jifunze sales mkuu, soma kitabu cha Brian Tracy cha psychology of selling na kamwe hutokaa umbeze anayeuza chochote, huku kikikusaidia kupiga hatua.
Nakuambatanishia kitabu hapa kama utajali na ukisome.
Asante.
 
Labda ungeainisha ni aina ipi ya Mafanikio unayoyazungumzia. Being Successful it's a perspective statement/ Word. Kila mtu anatafsiri mafanikio yake kutokana na imani yake au desire. Mafanikio hayana Universal meaning...Je kwa mujibu wa mada yako unazungumzia Mafanikio yapi?

-Ndugu zangu Ma-Budha wanaamini Mafanikio ni kufikia Vast spiritual Enlightenment wao wanaita Nirvana
-Kwetu Stoics na Cynics tunaamini mafanikio ni kufanikiwa kutojishikiza katika materials au aina yoyote ya Emotions.
-Wakatoliki tunaamini Mafanikio ni kufa kifo cha utakatifu ili uweze kufika mbele za Bwana.
-Ndugu zangu wachaga wanaamini Mafanikio ni kua na pesa miiiingi sana

Mtoa mada unazungumzia Mafanikio Tangible au non tangible... Spiritualphysical au mentally?
Endelea kuamini mafanikio ni kufa katika yesu zwazwa wewe.
 
Na wewe hii ndio njia yako ya kufikia utajiri? Au ni kama mpiga debe? Anaita abiria wa Arusha kwa mbwembwe na kutaja vituo vya njiani wakati hata Msata hajawahi kufika!
Hii ndiyo njia yangu mkuu,
Baada ya kujitambua nilijua niko vizuri kwenye kujifunza vitu, kuvielewa vizuri, kuvifanyia kazi na kuwashirikisha wengine kwa njia rahisi kwao pia kufanyia kazi.
Ni mwaka wa 9 huu tangu nifanye hivi kwa mara ya kwanza na matokeo yamekuwa mazuri kwangu na kwa wale wanaokuwa tayari kujifunza na kushirikiana na mimi.
Karibu na wewe pia tushirikiane, ukijitoa kweli utapiga hatua kubwa sana.
 
Mafanikio ya wabongo yanatokana na:-
  • Pete za bahati
  • MAFUTA ya upako
  • Maji ya baraka
  • Mafusho ya kusafisha nyota
  • pesa za majini
Hizi ni propaganda ambazo zimekuwa zinatumika kuwafanya wengi wabaki kwenye umasikini na kuwa tegemezi.
Zinatumika kama changa la macho, ili watu wahangaike na hivyo wakati wanaovioigia debe wanajua misingi sahihi siyo.
Mfano mchungaji anayekuambia uende kwake akupe mafuta ya upako uwe na mafanikio, yeye hajapata mafanikio kwa mafuta hayo ya upako, bali kwa kuweza kukushawishi wewe ukubaliane naye.
Sasa hawezi kukufundisha msingi huo muhimu, maana ukiujua utakuwa huru na hautaenda tena kwenye kanisa lake kitu kitakachozuia mafanikio yake.
Kama unataka kufanikiwa kweli, achana na hizo propaganda, nenda kwenye msingi sahihi, kama nilivyoahirikisha hapa.
 
Mafanikio ni msamiati mpana sana ambao tafsiri yake unategemea utashi wa mtu mmoja mmoja kulingana na mahitaji na nyakati alizonazo......
Hakuna ugumu wowote kwenye msamiati wa mafanikio.
Labda kama ni academician na unataka tu kucomplicate vitu ili kuonesha kiwango chako cha ujuzi wa mambo.
Lakini dhana ya mafanikio ni rahisi; kupata kile unachotaka sana na maisha yako na ya wengine yakawa bora kupitia wewe kupata hicho.
Iwe ni fedha, cheo, elimu, afya, mahusiano n.k.
 
Hii ndiyo njia yangu mkuu,
Baada ya kujitambua nilijua niko vizuri kwenye kujifunza vitu, kuvielewa vizuri, kuvifanyia kazi na kuwashirikisha wengine kwa njia rahisi kwao pia kufanyia kazi.
Ni mwaka wa 9 huu tangu nifanye hivi kwa mara ya kwanza na matokeo yamekuwa mazuri kwangu na kwa wale wanaokuwa tayari kujifunza na kushirikiana na mimi.
Karibu na wewe pia tushirikiane, ukijitoa kweli utapiga hatua kubwa sana.
Hiyo namba ya simu uliyoweka hapo ni ya nini?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom