Kama una tabia hizi 10, huwezi kamwe kufanikiwa kwenye maisha

Kama una tabia hizi 10, huwezi kamwe kufanikiwa kwenye maisha

Mtego mkubwa wa huu uzi uko kwenye hiyo namba ya simu na KISIMA CHA MAARIFA full stop

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Umeelewa vizuri sana mkuu,
Karibu sana tufanye kazi pamoja.
Na wala hakuna ninachofanya hapa, nimeahirikisha tabia hizo kumi za kuachana nazo, ambazo ukizifanyia kazi, utaona matokeo ya tofuati.
Ila kama huwezi kufanyia kazi mwenyewe, kama unataka watu wa kushirikiana nao, kama unataka mwongozo basi karibu kwenye KISIMA CHA MAARIFA.
Hiyo ni jamii ya tofauti kabisa na inayokuzunguka.
Sababu pekee ya kuweka hili hapa najua kuna mtu amekwama mahali, amejaribu kupambana kwa namna nyingi lakini hatoboi, lakini mtu huyo akipata mwongozo sahihi, anaweza kupiga hatua.
Kuna mtu alikutana na makala yangu hapa Jamii forums miaka ya nyuma, akaendelea kunifuatilia, akaja kujiunga na KISIMA CHA MAARIFA na mpaka sasa amepiga hatua sana.
Ni shuhuda za aina hiyo zinanisukuma kushirikisha maarifa haya hapa mara moja moja ili kuwafikia wale ambao wamekuwa wakitafuta njia sahihi ya kupiga hatua kwenye maisha yako.
Najua wengi hapa ni changamsha genge tu, mmekuwa mnapinga haya tanu nimeanza kupost maarifa haya ya mafanikio hapa jamii forums mwaka 2013, lakini hilo halinisumbui sana, wale wachache wenye uhitaji kweli wamekuwa wanachukua hatua na matokeo wanayaona.
Hivyo kama kuna ambaye nafsi yake imemgusa kwamba hapa kuna jawabu la yale unayopitia, sikuambii hata ujifunze na KISIMA CHA MAARIFA ambapo kuna ada ya kulipa.
Nakuambia tembelea www.amkamtanzania.com kila siku bure kabisa, jifunze, chukua hatua na utapata matokeo mazuri sana.
Kwa kifupi sitaki upoteze fedha yako kwa kununua hata kitabu changu kabla hujajaribu yale ninayotoa bure na yakaonesha manufaa kwako.
Karibuni sana wote.
 
Ukisoma comments za huu Uzi ndio utajua IQ ya watanzania kwanini iko chini sana.

Kama mtu anashindwa ku-logic na kuwa analytical kwa hizo hoja kumi (10) anaenda kuhoji utajiri wa mleta mada na kuuza vitabu !!! Basi sishangai tunapata Viongozi wanaenda kujenga international airport Chato.


Ili uamini IQ ya watanzania Ni ndogo nimechukua huu Uzi nikamtupia rafik yangu mkoja mkenya Feedback ambazo kanipa ni tofauti na yanayoandikwa humu.


Watanzania tutahidi kuwa analytical. Simaaninishi ni lazima ukabaliane na Uzi ila kuwa na critics zilizojiegemeza kwenye hoja na sio mtu. Kuelekeza critics kwa mtu badala ya hoja hizo 10 ni moja ya dalili uwezo wetu wa kujenga hoja ni mdogo.

Haya ndio Mambo hata kwenye interview allkisimama mtanzania na mkenya tunaishia kuduwaa.
@Extrovert witnessj Wangari Maathai njooni tuwapime IQ zenu isije kuwa mna IQ km za jiwe

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nimekuelewa...ndo maana nikasema mtoa mada kaleta mada sehemu sio...lol
mbwewe usitufananishe na walokufa bwana we
 
Asante sana mkuu.
Umeeleza vyema kabisa, tatizo linaanzia kwenye uwezo na hiyo imetokana na brainwashing ambayo watu wamefanyiwa kwa muda mrefu na kukosekana kwa taasisi za kuwajengea watu uwezo ambao tayari upo ndani yao.
Lakini wapo wachache ambao wanapambana kujitambua na kupiga hatua.
Ila wengi ndiyo hivyo wameshajikatia tamaa na wanataka kila mtu naye akate tamaa.
 
Naona motivational speakers mmerudi kwa kasi.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Mimi sijawahi kwenda popota,
Nimekuwa naandika tangu 2013 na nimeandika kila siku bila kuacha hata siku moja tangu tarehe 01/01/2015,
Hivyo usitake kujipa faraja na kejeli zako.
Ingia www.amkamtanzania.com na www.kisimachamaarifa.co.tz na utaona makala ninazoweka kila siku.
Hapa JF huwa napost mara chache chache na hasa ninapokuwa na muda wa kudeal na watu hasi kama nyie.
Otherwise wanaoyajua mafunzo yangu wanajua msimamo wangu katika hili.
 
Mi nimejiuliza mpaka nimekosa majibu. Hili andiko lina kosa gani mpaka mtu km Extrovert na witnessj kum attack mleta mada kiasi kile au ishu ilikuwa ni kuuza vitabu?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Achana nao mkuu,
Kwenye saikolojia kuna kitu kinaitwa projection, ambapo mtu analazimisha matatizo au madhaifu yake yawe ni ya kila mtu.
Utaona wengi hapo wanaponda uuzaji wa vitabu, kwa sababu wangetamani wawe na ujasiri wa kuuza kitu lakini hawawezi.
Hivyo wanapeleka chuki kwa anayeweza kufanya hivyo.
Mimi nauza vitabu na najivunia sana kwenye hilo, hakuna anayeweza kunibabaisha kwa namna yoyote ile.
Mpaka sasa nimeandika vitabu 15 na mpango wangu ni kuandika vitabu 100 ndani ya miaka kumi mpaka kufika 2030.
Vitabu vinahitaji wasomaji, na wasomaji wapo kila mahali.
Na strategy yangu kwenye mauzo ya vitabu siku zote huwa ni kumpa mtu thamani bure kabisa kwa makala kama hizi, ajifunze na kunufaika na kama atataka zaidi basi anunue kitabu.
Nimejenga huduma hii kwa namba hiyo na ndiyo nitaendelea hivyo.
Sina chochote ninachoficha na hakuna anayeweza kunikebehi kwenye hili nikamsikiliza.
 
Achana nao mkuu,
Kwenye saikolojia kuna kitu kinaitwa projection, ambapo mtu analazimisha matatizo au madhaifu yake yawe ni ya kila mtu.
Utaona wengi hapo wanaponda uuzaji wa vitabu, kwa sababu wangetamani wawe na ujasiri wa kuuza kitu lakini hawawezi.
Hivyo wanapeleka chuki kwa anayeweza kufanya hivyo.
Mimi nauza vitabu na najivunia sana kwenye hilo, hakuna anayeweza kunibabaisha kwa namna yoyote ile.
Mpaka sasa nimeandika vitabu 15 na mpango wangu ni kuandika vitabu 100 ndani ya miaka kumi mpaka kufika 2030.
Vitabu vinahitaji wasomaji, na wasomaji wapo kila mahali.
Na strategy yangu kwenye mauzo ya vitabu siku zote huwa ni kumpa mtu thamani bure kabisa kwa makala kama hizi, ajifunze na kunufaika na kama atataka zaidi basi anunue kitabu.
Nimejenga huduma hii kwa namba hiyo na ndiyo nitaendelea hivyo.
Sina chochote ninachoficha na hakuna anayeweza kunikebehi kwenye hili nikamsikiliza.


Spirit nzuri sana hii
 
Nikushauri tu ndugu, kwenye uandishi jaribu kuzungumzia vitu kiuhalisia, usizungumzie nadharia. Hayo uliyoyaandika hapo kila siku yanazungumzwa na motivational speakers hakuna kipya hapo.

Na usipo badilika utapata tabu sana.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Atapata tabu kweri kweriiii
 
Spirit nzuri sana hii
Asante mkuu,
Bila hii spirit ningeshapotea zamani sana.
hii nchi inawakatishaji tamaa wengi.
Lakini mimi nimeshaazimia nitafanya hiki mpaka siku nitakufa na hakuna atakayenikatisha tamaa.
Najua wapo wachache wanaolewa na kunufaika, hao wanatosha.
Hawa wengine acha waendelee kujifurahisha na uhasi wao huku wakilalamika maisha ni magumu.
 
Nikushauri tu ndugu, kwenye uandishi jaribu kuzungumzia vitu kiuhalisia, usizungumzie nadharia. Hayo uliyoyaandika hapo kila siku yanazungumzwa na motivational speakers hakuna kipya hapo.

Na usipo badilika utapata tabu sana.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Unavyoshauri kwa kujiamini utadhani unajua hata ninachofanya.
Kufanya mambo yasiwe mengi, mambo haya ni uhalisia, yanafanya kazi kwangu na kwa wengine ambao wameyafanyia kazi.
Hivyo nikukaribishe na wewe kama unataka kubadili maisha yako.
Mambo haya yanafanya kazi kama na wewe unayafanyia kazi.
Karibu.
 
Kwa wale wote mnaodharau mauzo niwashauri msome kitabu hiki nilichoambatanisha hapa.
Kisome na fanyia kazi yale unayojifunza.
Nakuhakikishia hutabaki ulivyo.
Utaheshimu sana mauzo na utakuwa muuzaji mzuri kwenye chochote unachofanya.
Kila la kheri.
 

Attachments

Kwa wale wote mnaodharau mauzo niwashauri msome kitabu hiki nilichoambatanisha hapa.
Kisome na fanyia kazi yale unayojifunza.
Nakuhakikishia hutabaki ulivyo.
Utaheshimu sana mauzo na utakuwa muuzaji mzuri kwenye chochote unachofanya.
Kila la kheri.
Mkuu ubarikiwe ..
 
Back
Top Bottom