Kama una ushamba na wanawake fahamu haya

Apollo one spaceship

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2021
Posts
245
Reaction score
457
Asilimia kubwa (zaidi ya 95%) ya wanawake wa leo wana wanaume zaidi ya mmoja. Usidanganywe na uzuri, dini, kabila, upole nk. Hivyo fahamu kuwa, kila demu anayelika unayekutana naye;

✍️Kuna wanaume wapya anakutana nao wanaomuwazia mipango ya kumfunua sketi,

✍️Kuna wanaume wengine anajuana nao na wameshamuwekea mitego ya kumla kimasihara au kwa yeye kutaka, hivyo ukimuona tu ujue kuwa anaweza akaliwa baada ya robo saa, nusu saa, masaa kadhaa, kesho, keshokutwa, wiki ijayo nk

✍️Kuna wanaume wengine wameshakula, (lbda jana, juzi, wiki iliyopita nk) bado wanatetea nafasi tu.

✊ Tumia akili ya hali ya juu pale unapojiwekea nafasi kwa mwanamke yeyote ili uwe salama katika hii ligi.

Tumia kinga, uwe flexible kuachwa, usiwe na wivu, usimpe attention yako sana kiasi cha kuyasahau maendeleo yako katika nyanja zingine za maisha.

NOTE: Ni asilimia ndogo sana ya wanawake ( even below 5%) walio na mtu mmoja.
 
Kinachokuja kuumiza ni ile trust fake alioitengeneza kwako ili umuamini ni mgumu kugegedeka dah[emoji26] kumbe wenzio wanambuluza mpaka mitaroni we mixture kumgharamia.god save us
 
Kuna msela wake waliachana bila kugombana wakikutana Wana nafasi kubwa ya kupasha kiporo
 
mwamamke una mtongoza anakwambia ana mtu mara badae unaona yupo na wengine tunaishi nao kwa kuwabutua ndio vitabu vya o level wanasem mwanamke amechorwa kama chombo cha starehee kisikupe stress😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…