Kama una zaidi ya watoto wanne, na unaishi mjini, kuna ushauri wenu hapa

Kama una zaidi ya watoto wanne, na unaishi mjini, kuna ushauri wenu hapa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kama wewe ni muajiriwa, na una watoto wanne nakuendelea, na unaishi mjini, fanya yafuatayo:-​
  • Tafuta chanzo kingine cha mapato, iwe biashara, udalali n.k​
  • Tafuta shamba ulime, au nunua chakula kwa wingi pale kinapokuwa kimeshuka bei na uweke stock, ili kuweza kupata chakula cha kutosha; haya mambo ya kwenda supermarket kuhemea kila siku, hayakufai tena​
  • Kama huna marupu rupu mengine, angalia namna ya kuwekeza mikoani/vijijini​
  • Usiendelee kukaa na kijana hapo mjini akiwa jobless huku akiwa na zaidi ya miaka 26​
  • Kama ulikuwa hujaweka kibanda, anza kupunguza vitu visivyokuwa vya muhimu, ufanye vitu vya msingi.​
  • Achana na mambo ya starehe kabisa​
Kutokana na ukubwa wa familia, ni sawa na viwavi jeshi kuvamia gunia la mahindi -hela itakuwa haikai, inaingia kwa spidi ndogo, na kutoka kwa spidi kubwa.

Asubuhi -kama utawapa chai nzuri, elfu 20 itakata
Mchana - kama umewapa chakula kizuri elfu 25 itakata
Usiku - Kama utawapa mlo mzuri elfu 25 itakata

Kwa siku utakuwa umetumia shilingi elfu 70, mara mwezi mmoja, utakuwa umetumia milioni 2 kwa chakula tu.

Wenzetu vijijini, wanaweza hayo kwa sababu, watawalisha viazi, makande n.k na vyote hivyo vinakuwa vimetoka shambani walipo lima.

Kwa leo ni hayo tu; njooni kwa mjadala.
 
Kama wewe ni muajiriwa, na una watoto wanne nakuendelea, na unaishi mjini, fanya yafuatayo:-​
  • Tafuta chanzo kingine cha mapato, iwe biashara, udalali n.k​
  • Tafuta shamba ulime, au nunua chakula kwa wingi pale kinapokuwa kimeshuka bei na uweke stock, ili kuweza kupata chakula cha kutosha; haya mambo ya kwenda supermarket kuhemea kila siku, hayakufai tena​
  • Kama huna marupu rupu mengine, angalia namna ya kuwekeza mikoani/vijijini​
  • Usiendelee kukaa na kijana hapo mjini akiwa jobless huku akiwa na zaidi ya miaka 26​
  • Kama ulikuwa hujaweka kibanda, anza kupunguza vitu visivyokuwa vya muhimu, ufanye vitu vya msingi.​
  • Achana na mambo ya starehe kabisa​
Kutokana na ukubwa wa familia, ni sawa na viwavi jeshi kuvamia gunia la mahindi -hela itakuwa haikai, inaingia kwa spidi ndogo, na kutoka kwa spidi kubwa.

Asubuhi -kama utawapa chai nzuri, elfu 20 itakata
Mchana - kama umewapa chakula kizuri elfu 25 itakata
Usiku - Kama utawapa mlo mzuri elfu 25 itakata

Kwa siku utakuwa umetumia shilingi elfu 70, mara mwezi mmoja, utakuwa umetumia milioni 2 kwa chakula tu.

Wenzetu vijijini, wanaweza hayo kwa sababu, watawalisha viazi, makande n.k na vyote hivyo vinakuwa vimetoka shambani walipo lima.

Kwa leo ni hayo tu; njooni kwa mjadala.
Dah! kweli lakin"
 
😂😂😂😂kuzaa tu wabongo hawana huruma na watoto,Maisha hayo siyataki kabisa nikimkumbuka tulikuwa watano

Mpaka nije fikirsha watoto wa3 ntakuwa Nina nyumba kubwa na miradi mingine siwez kutesa viumbe vya mwenyewe mungu ..wapo wazee mpaka wanakufa na miaka 70 wako fresha wanaweza kuhudumia watoto wao kabisa kwa vile pesa inaflow na wala hawasumbui watoto wao wawasaidie mfano mzuri mengi
 
😂😂😂😂kuzaa tu wabongo hawana huruma na watoto,Maisha hayo siyataki kabisa nikimkumbuka tulikuwa watano

Mpaka nije fikirsha watoto wa3 ntakuwa Nina nyumba kubwa na miradi mingine siwez kutesa viumbe vya mwenyewe mungu ..wapo wazee mpaka wanakufa na miaka 70 wako fresha wanaweza kuhudumia watoto wao kabisa kwa vile pesa inaflow na wala hawasumbui watoto wao wawasaidie mfano mzuri mengi
Kama utakuwa umejiwekeza vizuri, inakuwa na unafuu
 
Kuna wengine hili wazo linakuja, umri ukishakuwa umeenda na majukumu kuwa mengi
Kujenga easy kwa mtu mweny kipato cha uwakika ,mkuu mentality ya wabongo kuja kusumbua watoto baadae kwamba wawasaidie ...kuwai kuzaa haraka bila ya kuwa na malengo unaweza kukuta unaspend kwa familia bila ya kujenga bado ndugu na ukweni ni balaa tupu better kutulia ukajipanga nyumba ya kwanza fasta iko hata noma ndo unakuwa na mtoto unapandisha taratibu.
 
Back
Top Bottom