Kama una zaidi ya watoto wanne, na unaishi mjini, kuna ushauri wenu hapa

Familia inakuwa ni tegemezi, haizalishi, inabidi baba apambane familia isimame na kuishi
 
Kama utakuwa umejiwekeza vizuri, inakuwa na unafuu
Yeap kaka haya mambo tunayakimbilia ili tuje kulaumu eti mipango ya mungu wakati unaweza kutulia ,,,kuja jamaa alinifuata ana kazi nzuri hata akitaka mkopo wa million 60 na kitu anapata fasta na uzuri ana kiwanja kikubwa sqm 900 tayar kipo still yuko 27 namwambia hapo hana mtoto bado ila nawambia unaweza kujenga fasta hata noma by mwakani ukapata mtoto hata na miaka 28 fresh sasa ukijifanya mtu wa wanawake wengi utakuja kujuta uko katika umri sahihi kujenga kwa rahisi.
 
Ni vizuri, kufanya mapema kabla ya majukumu kuwa mengi
 
chai elf 25 labda masaki...

mkate moja mkubwa wa elf 2 unatosha vizuri tu
Hiyo ni roughly tu amepiga ila ina-make sense maana ukinunua mkate mkubwa Tsh 3,000/= mara mwezi bei gani?hujaweka sukari,mchana wale usiku wale kwa hesabu za haraka haraka kwa siku kukata 20K siyo issue.

Maisha ni hatari sana ukiyaangalia juu juu tu kwa sababu unapata kiasi fulani cha pesa kwa siku ukadhani ndo ilivyo utaumia.
 
Ndio maana wenzetu wanakuwa na watoto wachache; hakuna cha babu wala bibi.
 
Unaweza kukuta mtu ana watoto wanne mjini, wawili wa kike na wawili wa kiume halafu wanaishi nyumba ya vyumba vitatu!
Mkuu njoo Magomeni, familia ina watoto watatu, wawili wa kiume, mmoja wa kike na wana chumba kimoja,
Iko hivi.
Chumba kimetengwa kwa pazia, upande mmoja baba na mama,
Upande wa pili mtoto wa kike,(binti )
Watoto wa kiume wanalala ukumbuni, (yani chumba kirefu)
Uswahilini ni zaidi ujuavyo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mazoezi ya pushapu yakianza hapo inakuwaje?
 
Sawa. Tumekusoma ndugu! Ila hayo matumizi ya shilingi elfu 70 kwa siku kwa familia ya 6 ni makubwa mno kwa familia ya kipato cha kati. Elfu 25 inatosha kwa siku moja.
Nyama wanakula kiasi gani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeeh sanaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…