Unaonyesha unaongea kitu usicho na uzoefu nacho
unaongea stori za kuambiana huko...
nijibu hili swali then ndipo tuendelee na Ligi maana unaonyesha unataka ligi
mafuta ya 5000 yanaweza kukupa sh ngapi kwenye Boda boda??
Assume piki piki haina mafuta kabisa then mtu akaenda sheli akakuekea kwenye tank mafuta ya 5000
Niambie mpk yale mafuta yanaisha yatakupa sio chini ya sh ngapi????
Naomba jibu..
Eti kama Zakaria alivyo mkimbiza TISS, ila yule mkurya ni mpambanaji, asante sana kwa kunifahamisha, nashukuru ubarikiwe ngoja nikalifanyie mchakato maana kodi zinaongezeka kila leo, ukienda tu kadirio jipya hii inatia hasira sana., ila hili unabidi uwe na fremu ambayo haizidi 50,000?! Ukikaa kwenye fremu ya laki mbili italeta msala.vizuri kabisa mkuuu
kile kitambulisho kipo kufata MTAJI wako tu
hakipo kufata unafanya wapi biashara yako
hata ukienda mlimani city kukodi frem ila mtaji ni chini ya 4M
kulingana na FATHER HOUSE wewe tuna ku consider kama Chinga
Point ya msingi ukiwa kwenye frem vitakuja siku vianafunzi vya CHUO (TRA hao)
hao ndio wanajitia wanajua sheria sana hao ndio unatakiwa uwakimbize kama Zakaria alivyowakimbiza TISS
yani usipigwe mkwara na TRA uchwara kama unajiamini mtaji wako ni below 4M
Kuna wakat biashara ni zaidi ya pesa unayo weka kama mtajiKama unataka mtaji wa 30k-50k means kwa mwezi unakusanya 900k-1.5M
Basi jua iyo biashara ni kubwa inahitaji capital ya kuanzia 5M-10M na kuendelea
Kumbuka pikipiki kama boda boda na bajaji zinauzwa bei mkasi sana mfano boda boda 2.5M na wanarejesha kila siku 8000-10,000
Hivyo hivyo Bajaji inauzwa 7M wanarejesha kila siku 15,000-18,000
Uber yaani gari kama IST au tufanye vitz inacost approximatel 9M-13M
Wanarejesha 25k-30k
Hivyo unaweza ukachanganua ulicho nacho mfukoni kwako utaelewa iyo faida ya kila siku 30-50 unahitaji kuweka pesa kiasi gani
Na log out
Nawaonaga watoto wakikuchukulia poa wakati una uwezo wakuwawekaMkuu mbona unatoa siri ya kambi
mimi frem nalipa 300k per monthEti kama Zakaria alivyo mkimbiza TISS, ila yule mkurya ni mpambanaji, asante sana kwa kunifahamisha, nashukuru ubarikiwe ngoja nikalifanyie mchakato maana kodi zinaongezeka kila leo, ukienda tu kadirio jipya hii inatia hasira sana., ila hili unabidi uwe na fremu ambayo haizidi 50,000?! Ukikaa kwenye fremu ya laki mbili italeta msala.
Heshima yako mkuu, barikiwa sana.mimi frem nalipa 300k per month
walikuja wakaniuliza nikawambia kabla ya kuingia nilikua na hela kweli
so nililipa kodi ya miaka 7 ili kuepuka usumbufu maana hii frem tulikua tunaigombania watu kama 28
wakaniambia niwape mkataba,nikaenda waletea mkataba nilisha u draft kodi nimeweka inaisha 2025 november 29
so usiogope we kaa frem yyte ile then wakija wambie frem nimelipia kodi miaka hiyo nilipokuaga na mkwanja
saivi nishafilisika,unawapa maneno kibaooo unawambia unaona mashelfu haya yote nilikua nimejaza mzigoooooo
nishafilisika ebu msinitie simanzi ondokeni bwanaaaa then unawatimua kwa hasira
yule namwambia akawa analeta ligi eti boda boda anaingiza 15000Mafuta ya elfu 5 yananipa hadi elfu 30. Mimi huendesha pikipiki some days nikiwa na mizunguko yangu town. Napiga misele sana na mafuta ya buku 5.
mbona hujazingatia onyo.Biashara ya chips kwa mtaji wa 1-3M
Inakupatia hiyo income vizuri tu.
Kikubwa location na watendaji waaminifu.
mkuu naendaga nunua mandazi bakery najutagaHAPANA mkuu nakataa,, maana ingekua ni hivo basi bakery zingekua zimefungwa coz ndio kazi Yao hiyo, na pia huwezi kusema ni biashara ya hasara ilihali ulaji wa mtanzania kwa kiwango kikubwa unategemea bidhaa za ngano
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ifanye kuwa siriNawaonaga watoto wakikuchukulia poa wakati una uwezo wakuwaweka
Ndani mwezi mzima wakala wakanywa na simu zako zisikose vocha
na wakawa wanapishana choooni kama vile wanafunzi wanaofatilia mkopo wizarani.
Unajifunzaje kupaka RangiKutengeneza kucha na kupaka rangi akina dada nakubali kwasiku 30k au 40k ni kawaida....
mimi frem nalipa 300k per month
walikuja wakaniuliza nikawambia kabla ya kuingia nilikua na hela kweli
so nililipa kodi ya miaka 7 ili kuepuka usumbufu maana hii frem tulikua tunaigombania watu kama 28
wakaniambia niwape mkataba,nikaenda waletea mkataba nilisha u draft kodi nimeweka inaisha 2025 november 29
so usiogope we kaa frem yyte ile then wakija wambie frem nimelipia kodi miaka hiyo nilipokuaga na mkwanja
saivi nishafilisika,unawapa maneno kibaooo unawambia unaona mashelfu haya yote nilikua nimejaza mzigoooooo
nishafilisika ebu msinitie simanzi ondokeni bwanaaaa then unawatimua kwa hasira
250,000Hahaha hongera. Ulipiga mpunga wa bei gani?
Usichoke MkuuNguruwe unatafuta maporini,vijijini,mashambani na unachinja daily.unatakiwa uchinjie machinjio ya kitimoto kama yapo ile ugongewe mihuri na mabwana afya,kazi yako inakuwa kusupply kwa wateja wako ambao ni mabucha,majiko ya wauzaji rejareja,na wanaonunua kilo nyingi kwa ku pre-order,unatakiwa uwe na kijana wa kusambaza kwa wahusika daily,Asubuhi ukiamka ni simu tu kwa wateja wako kuuliza wanahitaji kg ngapi?,hii kazi ukiacha hata siku moja unapoteza wateja wote,maana ni kazi ya 365 days.kazi ni kupata Nguruwe na kuna hasara pia.Mr nimechoka kuandika nafanya nshu nyingine saa hii
Mbona humu hutangazi biashara yako tukakuungisha jamaniiii.Nauza mkorogo [emoji23][emoji23] vifaa vinanigarimu 50000 natoa kopo 10, kila kopo nauza 25000. Kwa siku naweza kuuza kopo mbili mpk nne. Wateja Facebook na Instagram. Na business nyingine ila hii ndio inanipa faida kubwa.
Mkuu Hongera upo vizuri japo nimecheka Sana🤣🤣🤣nishafilisika ebu msinitie simanzi ondokeni bwanaaaa then unawatimua kwa hasira
Ebana ilikua dilwale kumbe!250,000
Ungeshusha nondo mkuu unawezaji kuingiza hiyo 150k sasa kwa mil 7-10mkuu kuwekeza 10m kwenye uber au 7m kwenye bajaji then ukawa unakusanya 20k to 30k kwa siku huo ni udhaifu wa akili labda kama unaendesha mwenyewe, kwa mtaji huo mimi nakusanya zaidi ya 150k mpaka 300k per day kama faida