Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

Mafuta ya elfu 5 yananipa hadi elfu 30. Mimi huendesha pikipiki some days nikiwa na mizunguko yangu town. Napiga misele sana na mafuta ya buku 5.
Unaonyesha unaongea kitu usicho na uzoefu nacho

unaongea stori za kuambiana huko...

nijibu hili swali then ndipo tuendelee na Ligi maana unaonyesha unataka ligi

mafuta ya 5000 yanaweza kukupa sh ngapi kwenye Boda boda??

Assume piki piki haina mafuta kabisa then mtu akaenda sheli akakuekea kwenye tank mafuta ya 5000

Niambie mpk yale mafuta yanaisha yatakupa sio chini ya sh ngapi????

Naomba jibu..
 
vizuri kabisa mkuuu

kile kitambulisho kipo kufata MTAJI wako tu

hakipo kufata unafanya wapi biashara yako

hata ukienda mlimani city kukodi frem ila mtaji ni chini ya 4M

kulingana na FATHER HOUSE wewe tuna ku consider kama Chinga

Point ya msingi ukiwa kwenye frem vitakuja siku vianafunzi vya CHUO (TRA hao)

hao ndio wanajitia wanajua sheria sana hao ndio unatakiwa uwakimbize kama Zakaria alivyowakimbiza TISS

yani usipigwe mkwara na TRA uchwara kama unajiamini mtaji wako ni below 4M
Eti kama Zakaria alivyo mkimbiza TISS, ila yule mkurya ni mpambanaji, asante sana kwa kunifahamisha, nashukuru ubarikiwe ngoja nikalifanyie mchakato maana kodi zinaongezeka kila leo, ukienda tu kadirio jipya hii inatia hasira sana., ila hili unabidi uwe na fremu ambayo haizidi 50,000?! Ukikaa kwenye fremu ya laki mbili italeta msala.
 
Kama unataka mtaji wa 30k-50k means kwa mwezi unakusanya 900k-1.5M
Basi jua iyo biashara ni kubwa inahitaji capital ya kuanzia 5M-10M na kuendelea

Kumbuka pikipiki kama boda boda na bajaji zinauzwa bei mkasi sana mfano boda boda 2.5M na wanarejesha kila siku 8000-10,000
Hivyo hivyo Bajaji inauzwa 7M wanarejesha kila siku 15,000-18,000

Uber yaani gari kama IST au tufanye vitz inacost approximatel 9M-13M
Wanarejesha 25k-30k

Hivyo unaweza ukachanganua ulicho nacho mfukoni kwako utaelewa iyo faida ya kila siku 30-50 unahitaji kuweka pesa kiasi gani

Na log out
Kuna wakat biashara ni zaidi ya pesa unayo weka kama mtaji
 
Eti kama Zakaria alivyo mkimbiza TISS, ila yule mkurya ni mpambanaji, asante sana kwa kunifahamisha, nashukuru ubarikiwe ngoja nikalifanyie mchakato maana kodi zinaongezeka kila leo, ukienda tu kadirio jipya hii inatia hasira sana., ila hili unabidi uwe na fremu ambayo haizidi 50,000?! Ukikaa kwenye fremu ya laki mbili italeta msala.
mimi frem nalipa 300k per month

walikuja wakaniuliza nikawambia kabla ya kuingia nilikua na hela kweli

so nililipa kodi ya miaka 7 ili kuepuka usumbufu maana hii frem tulikua tunaigombania watu kama 28

wakaniambia niwape mkataba,nikaenda waletea mkataba nilisha u draft kodi nimeweka inaisha 2025 november 29

so usiogope we kaa frem yyte ile then wakija wambie frem nimelipia kodi miaka hiyo nilipokuaga na mkwanja

saivi nishafilisika,unawapa maneno kibaooo unawambia unaona mashelfu haya yote nilikua nimejaza mzigoooooo

nishafilisika ebu msinitie simanzi ondokeni bwanaaaa then unawatimua kwa hasira
 
mimi frem nalipa 300k per month

walikuja wakaniuliza nikawambia kabla ya kuingia nilikua na hela kweli

so nililipa kodi ya miaka 7 ili kuepuka usumbufu maana hii frem tulikua tunaigombania watu kama 28

wakaniambia niwape mkataba,nikaenda waletea mkataba nilisha u draft kodi nimeweka inaisha 2025 november 29

so usiogope we kaa frem yyte ile then wakija wambie frem nimelipia kodi miaka hiyo nilipokuaga na mkwanja

saivi nishafilisika,unawapa maneno kibaooo unawambia unaona mashelfu haya yote nilikua nimejaza mzigoooooo

nishafilisika ebu msinitie simanzi ondokeni bwanaaaa then unawatimua kwa hasira
Heshima yako mkuu, barikiwa sana.
 
HAPANA mkuu nakataa,, maana ingekua ni hivo basi bakery zingekua zimefungwa coz ndio kazi Yao hiyo, na pia huwezi kusema ni biashara ya hasara ilihali ulaji wa mtanzania kwa kiwango kikubwa unategemea bidhaa za ngano
mkuu naendaga nunua mandazi bakery najutaga

mandazi unayala unaskia kabisa hii taste ni andazi la mwaka juzi
 
Nawaonaga watoto wakikuchukulia poa wakati una uwezo wakuwaweka

Ndani mwezi mzima wakala wakanywa na simu zako zisikose vocha

na wakawa wanapishana choooni kama vile wanafunzi wanaofatilia mkopo wizarani.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ifanye kuwa siri
 
Wako humu wanakusoma tu mkuu
mimi frem nalipa 300k per month

walikuja wakaniuliza nikawambia kabla ya kuingia nilikua na hela kweli

so nililipa kodi ya miaka 7 ili kuepuka usumbufu maana hii frem tulikua tunaigombania watu kama 28

wakaniambia niwape mkataba,nikaenda waletea mkataba nilisha u draft kodi nimeweka inaisha 2025 november 29

so usiogope we kaa frem yyte ile then wakija wambie frem nimelipia kodi miaka hiyo nilipokuaga na mkwanja

saivi nishafilisika,unawapa maneno kibaooo unawambia unaona mashelfu haya yote nilikua nimejaza mzigoooooo

nishafilisika ebu msinitie simanzi ondokeni bwanaaaa then unawatimua kwa hasira
 
Nguruwe unatafuta maporini,vijijini,mashambani na unachinja daily.unatakiwa uchinjie machinjio ya kitimoto kama yapo ile ugongewe mihuri na mabwana afya,kazi yako inakuwa kusupply kwa wateja wako ambao ni mabucha,majiko ya wauzaji rejareja,na wanaonunua kilo nyingi kwa ku pre-order,unatakiwa uwe na kijana wa kusambaza kwa wahusika daily,Asubuhi ukiamka ni simu tu kwa wateja wako kuuliza wanahitaji kg ngapi?,hii kazi ukiacha hata siku moja unapoteza wateja wote,maana ni kazi ya 365 days.kazi ni kupata Nguruwe na kuna hasara pia.Mr nimechoka kuandika nafanya nshu nyingine saa hii
Usichoke Mkuu
 
Hii ya nguruwe ina faida,,mh ila kuchinja nguruwe inataka moyo,,kichefuchefu kweli kweli
 
mkuu kuwekeza 10m kwenye uber au 7m kwenye bajaji then ukawa unakusanya 20k to 30k kwa siku huo ni udhaifu wa akili labda kama unaendesha mwenyewe, kwa mtaji huo mimi nakusanya zaidi ya 150k mpaka 300k per day kama faida
Ungeshusha nondo mkuu unawezaji kuingiza hiyo 150k sasa kwa mil 7-10
 
Back
Top Bottom