Hii w/holding tax serikali inabidi iitoe tu maana ni wizi, unamkata mtu kodi unamwambia mwenye nyumba atairudisha, anairudishaje? na wengi hawarudishi maana wanakuwa wamelipa kodi ya jengo hivyo kurudisha hiyo kodi kwa mpangaji ni kumuumiza zaidi, huu mpango JPM inabidi aingilie kati.
hawa voda na tgo mbna wamepunguza kias cha commision lakn naona ww hapo unafikisha hadi 400k unafanyj fanyaje aseeHapo chini gawanya kwa siku 31 za August. Halafu hiyo ofisi moja ziko tatu hizo zenye performance inayo karibiana. Uzuri ni kwamba hizi wala hazina kazi nimechanganya na stationeries zinaingiza zaidi kuliko hizo kila moja.View attachment 1247447
Sana na ajabu waliopewa dhamana hakuna anae ona kama kuna vitu vidogo sana lakini ni mzigo mzito sana kwa wafanyabiashara, hawaangalii kwa nini kila mtu anataka kuwa mmachinga wanapiga makofi tu.Na ndio maana pamoja na kwamba tunapanda juu ktk vigezo vya nchi ambazo zina mazingira rahisi ya kufanya biz lkn bado vikwazo kama hivi kwa kweli vinatuangusha.
Na kuongeza misambwandaMisosi na mikorogo ndiyo inayolipa kwa sasa
How do you make it mkuu?... I wish sana kuwa na hii business....ila nina tigo pesa na mpesa tu....ila commision yake ni ndogo sana mkuu....tatizo nipo sehemu ambayo ni population less....dah hongera boss...sometimes nikiona kuna wanaofanikiwa napata moyo kwamba kama na ninyi mmeweza so hata kwangu inawezekana...mkuu naomba hata nipm your secrets of how you make it boss...please!
Mkuu nimeku PM naimani utanisaidia kitu fulaniBiashara ya chakula/mghahawa ama vibamda vya chips ukiwa na mtaji wa 5M kwa haraka haraka hukosi sehemu 3 - 4 za kuuza chips, kazi yako kuboresha na kuzidisha
Usi settle na biashara moja, fungua matawi sehemu mbali mbali
Mzunguko mtu mkuu, tena hapo nilikuwaga wateja wa voda nawakataa wanaoutuma mbali. Ila mwezi huu sichague muamala yesterday night niliacha above hizo figure na hata tigo ziko over 500k karibu katika ofisi zangu zote. Tunapeana hamasa ili muamasike na mchukue hatua.hawa voda na tgo mbna wamepunguza kias cha commision lakn naona ww hapo unafikisha hadi 400k unafanyj fanyaje asee
Na kusimamisha matiti..kupunguza vitambi.Na kuongeza misambwanda
mkuu kuwekeza 10m kwenye uber au 7m kwenye bajaji then ukawa unakusanya 20k to 30k kwa siku huo ni udhaifu wa akili labda kama unaendesha mwenyewe, kwa mtaji huo mimi nakusanya zaidi ya 150k mpaka 300k per day kama faida
nilikuwa busy kidogo mkuu but nitaeleza nikituliabiashara gan unafanya
nilikuwa busy kidogo mkuu but nitaeleza nikitulia
Hana hata mchumba..!analilia kuolewa balaa...!namwambiaga ninheipata hyo chance mm manengelo tht am free to move everywhr🤔🤔🤔!huyo atakuwa ana mchumba huku dar
mkuu, possibly unapiga mishe za madini/mchanga wa madini
Na kuongeza misambwanda
Hiyo mindset ndio tatizo la wengi. Kuamini biashara lazima uchawi au mchungaji akuombee ni potofu. Siri kubwa ni eneo sahihi kwa huduma sahihi na mtegemee MUNGU.
Linapokuja suala la ushindani hapo ndipo unapaswa kuwa makini. Mteja anapenda anapofika umthamini kwa kumuona yeye ni wa muhimu mpe attention, fanyia kazi mapungufu yoyote watakayo kuambia. Hivi wangapi mmewahi hata kuweka Kisanduku cha maoni ya wateja wenu hasa kama wewe ukai katika biashara yako? Kama uweki ina maana unaamini biashara yako ni perfect kitu ambacho ni kosa kubwa.
Achana na wachawi, wenyewe watakugeuza fursa faida yote irudi kwao mwisho utayumba. Lakini pia kila utakapopata majaribu hutoamini kama ni challenge za biashara.
Leta link ya huo uzi wako ili tujifunze samaki unachukua wa aina gani na unachukuliwa wapiNimewahi kutoa uzi kuhusu samaki na maziwa. Miminatumia mtaji wa 60000 kwa siku usafiri 4000 nakunja 33000 kwa siku kama faida